Simulizi: Milango ya mafanikio

Simulizi: Milango ya mafanikio

SEHEMU YA THELATHINI NA NNE

Samson alidandia Daladala huku akipata wakati mgumu kutokana na watu walivyobanana huku kero ya konda kusimamisha gari Mara kwa Mara huku gari ikiwa imejaa kulimuudhi sana Samson.
Akiona anachelewa kufika nyumbani, hata hivyo tamaa za kumuwaza Rahma ndizo zilimfikisha hapo.

Samson alifika nyumbani huku akiikuta nyumba iko peke yake ila Kuna gari tu la baba yake ikionekana yupo mazingira yale yale.
Alifungua mlango, huku akigundua hata Salma anaonekana yupo,

Sasa yupo wapi huyu, inaonekana hata hii mboga alikuwa anaichambua si muda mrefu, kwani kaenda wapi? alijiuliza Samson asipate jibu huku akiinama kuiangalia mboga fulani spinach iliyoko kwenye ungo, alitoka nje akazunguka nyumba yote hakumuona Rahma wala nani
Moyo ukaanza kumwenda mbio Samson, mtu ambaye ametokea kumpenda na kumkubali vibaya mno, mtu ambaye alimuwahi akijiona anachelewa lakini Sasa kaelekea wapi alikata tamaa Samson.

Aliingia ndani hadi sehemu ilipo meza ya dinning akakikuta Chakula akapakua saizi yake huku masikio yakiwa nje, akihisi pengine Rahma ataingia si muda mrefu.
Akiwa anaendelea kula alisikia vishindi nje, vikionekana vinakuja karibu na mlango, alifurahi huku moyo ukimdunda dunda kwani akili yake ilimtuma ni Rahma tu na si mwingine, ikabidi aache kula akaangalie nani anakuja, baada ya kufungua mlango alishangaa kuonana na Dullah uso kwa uso huku wote wakishangaana.

Samson naona umeijua Temeke, umejua viunga vyake, yaani kiufupi hakuna kunachokusumbua, ila freshi tu mwanangu, tangu Jana nimegundua upo mbali kabisa na mimi, kwanini Sam? Mimi, Mimi Abdallah ndiyo wakunifanyia hivyo,lakini kama Kuna jambo nimekukosea au kukukwaza ni Bora uniambie tu kuliko kunyamaza, kwani unaniweka njiapanda sana.
aliweka kituo Dullah.

Samson alifikiria kitambo kidogo huku akizizuia hasira zake, ili asigombane naye,
Unajua Dullah Kuna hali huwa inakuja tu, unaweza sema nakuchukia, lakini ukweli ni kwamba Mimi sikuchukii, ninajisikia vibaya, maana tangu Jana nimepewa taarifa mbaya kutoka nyumbani Sasa Kuna hali fulani napitia naomba uniache tu, wewe ni rafiki yangu siwezi kukudharau sawa mwanangu Dullah mwenyewe.
aliongea Samson huku akijichekesha ili Dullah asijisikie vibaya ila hakupenda Tena kuchangama naye popote.

Sawa mwanangu, ila umenipa mawazo sana maana nikahisi kweli binadamu ni binadamu tu Samson wakunikacha Mimi mwanaye kweli, sikuamini ujue?
Lakini umeongelea matatizo ya huko nyumbani kwenu vipi Kuna Nini, mgonjwa, msiba ama nini.
aliuliza Dullah huku akiamini uongo wa Samson.

Hapana ni maswala tu ya kifamilia, ila yataisha tu haya, usihofu mwanangu Kila kitu kitakaa sawa, alijibu Samson huku akimuona Rahma akisukuma geti dogo la ile nyumba akiingia ndani,

Oyaa Sam Nina ubao kishenzi (akimaanisha njaa)acha niwahi hapo home basi, aliaga Dullah huku Rahma akimwangalia dulla na kumsindikiza kwa macho hadi getini.

Hivi Samson unakumbuka ni juzi tu ulionywa juu ya ukaribu na huyu unayemuita rafiki yako? maana nashangaa kumkuta hapa tena, sema nini twende ndani nikakuekeze jambo.
aliongea Rahma huku akishindwa hata kusalimia, wakaingia ndani.

Hapa Samson bwana tuna matatizo, mama kaibiwa hela zake asubuhi mida ya saa nne au saa tano ila hakuna anayejua kwani majirani na mashuhuda ndiyo wanabahatisha huo muda, Iko hivi mama katika hapa baada ya kupata kufungua kinywa akaelekea dukani kwake, ambapo alivamiwa na watu wasiojulikana wakimtaka awape hela, ndipo alipokuwa anagoma wakampiga na kuzimisha, huku baadhi ya wauzaji wa eneo hilo wakishindwa kutoa msaada kutokana na hofu kwani inasemekana walikuwa na silaha za moto.

Hata hivyo taarifa Mimi imenifikia saa nane kasoro na nimeambiwa na baba, ambaye sijui nani kamtaatifu akaniambia mama yako yupo hospital tukatoka tukaenda kumwangalia. aliweka kituo Rahma huku akiwa kavurugwa fulani hivi,

Vipi mama kaumia sana, aliuliza Samson.

Mmmmh mwenzangu yule hata fahamu hazijamrudia Sawa sawa, kwakuwa hata yeye kashituka kuona yupo hospital, na daktari anasema kwa mujibu wa vipimo vyake Hana maumivu makubwa , na hata kupoteza kwake fahamu huenda ulikuwa ni mstuko tu, baada ya kutishiwa kuuawa, na tulitoka pale hospital na baba tukaenda polisi baba akatoa maelezo, na tukaenda Hadi dukani kwa mama na kukuta kumevurugika Droo zote za meza zimefunguliwa huwenda walikuwa wanatafuta hela, huku bidhaa zote zikionekana zipo kwani wanaonekana walilenga kuchukua pesa tu.
aliweka kituo Rahma.

Sasa vipi tunaweza kwenda kumuona mama huko hospital?
Samson aliuliza.

Hapana, watarudi Sasa hivi, baba aliniambia niwahi kulinda nyumba yeye anarudi polisi, Kuna taarifa za msingi anazipeleka kwaajili ya uchunguzi, kwani Kuna bangili ya silver ya kiume imeokotwa pake pamoja na kitambaa fulani vikisadikika ni vya hao majambazi.
Rahma alifafanua vizuri.

Samson akimwangalia Rahma akigundua lile suala limemvuruga na kumtoa kwenye reli hata hivyo, hawezi kuongea mambo yake ya kipuuzi tena.

Sema nini Sam, Mimi naona hii tabia ya kuendelea kuwa karibu na Dullah hii itakugharimu maana kwa stori za ndani tulizopata inaonekana Kaka wa Dullah aitwaye Kassim, huwa anaenda dukani kwa mama kwa lengo la kumtaka kimapenzi, na hata hivyo mama aligombana naye kwamba kwanini amkosee adabu, na pia ni mtoto mdogo, Lakini huyo Kassim huwa hakomi tu, kwa taarifa za wanaomjua Kassim ni kwamba kutongoza huwa ni gia tu, ya kutaka afike kwako ili achore ramani zake, Sasa Samson kuendelea urafiki na Hawa watuuuuuu....... alishindwa kumalizia sentensi yake Rahma.

Taarifa ile ilipenya sawasawa kwenye ubongo wa Samson, akiona Sasa huu ni mtihani, nawezaje kumkataa Dullah nitamwambia kwa gia gani, ila lazima nimchane potelea mbali mambo yenyewe yameshakuwa makubwa haya Tena hii taarifa ndiyo nitakayo muelekeza najua atanielewa tu, siwezi endelea kuwa na ukaribu naye hata baba najua atanishangaa na nitakosa msaada, alijiwazia Samson.

***************************************

Mida ya saa moja jioni Mzee Mgaya alirudi peke yake, huku akiwa kavurugwa kwa kiasi fulani, aliwasalimia wanae wale Kisha akaanza kuwaeleza taarifa fulani.

Kwanza sitaki niongee mengi, nadhani samson umeshaambiwa kuhusu kilichotokea, Samson akatikia kwa kichwa kuonesha amesikia.

Sasa mama yenu anaumwa niwaambie tu ukweli, maana wakati mwingine Kuna vitu anaongea hata simuelewi, yule ana shida yule na hapa ninapoongea tayari Kuna Ambulance imemtoa hospital ya mwanzo tunaenda sehemu nyingine kwa uchunguzi zaidi.
aliongea kwa masikitiko Mzee Mgaya, huku akiingia chumbani kwake akiwa anaongea peke yake,

Hawa vijana wametangaza vita na Mimi, Hawa wananijaribu, wametaka nioneshe roho mbaya, Sasa nitawaonesha , uzuri mbona kila kitu kipo wazi, hawawezi kuniumizia Tausi wangu was**ge hao, Sasa watajua kuwa Mimi ni muhuni niliyezeeka.

aliendelea kuongea peke yake huku akitoka akiwa kabadilisha nguo bila hata kuoga na hakuna aliyemuuliza, maana uso wake aliukunja akionesha hahitaji stori zozote,
Wanangu, Mimi natoka lazima nihakikishe afya ya mama yenu hatua kwa hatua, Samson naomba nyumba hii ilindwe maana hao mabaradhuli wamekosa hela dukani, wanaweza kuzifuata huku, hivyo milango yote ya geti ifungwe na asifunguliwe mtu yeyote ambaye si muhusika humu sawa? Mzee Mgaya aliyasema yale Kisha akalitoa gari lake na kutokomea kwa speed.

Samson na Rahma waliendelea kusindikiza Lile gari huku Kila mmoja akizama kwenye mawazo binafsi, wasijue Cha kufanya,
Mara wakatoka na kubamiza geti kwa woga wakatia komeo sehemu zote na kuingia ndani huku wakiwa hawaongeleshani chochote.

Samson kitendo cha kuambiwa, huenda wale majambazi wakaja hapo, kilimuumiza sana huku akitishika akilaumu kwanini Mzee Mgaya alisema vile, Kila akivuta taswira namna majambazi watakavyokuja alijikuta tumbo linakoroga huku haja ikitaka kutoka kabla ya wakati wake,

Akitazama Kuta za ile fence, zilivyofupi, aligundua kuwa mtu mwenye Nia ovu yeyote Wala hatozuiliwa na lile geti Bali ataruka ukuta tu, hata hisia zake za mapenzi kwa Rahma zilienda likizo kidogo, maana uoga ulichukua sehemu kubwa.

Samson vipi, mbona umejiinamia hivyo? hebu funga mlango maana Giza limeingia sawa, halafu hii taarifa ya mzee Mgaya kusema wale majambazi wanaweza kuja ujue inaniogopesha mwenzio Samson, yaani hapa hata njaa sina wallah.
aliongea Rahma huku akijichekesha kiuoga ili Samson asimuone muoga.

Usiwaze dada labda baba kaongea tu, wewe mtu gani ataendelea kuing'ang'ania familia moja, kwamba anaimudu sana au,? Aliongea Samson akijikaza mbele ya mtoto wa kike ili asionekane boya, lakini kiukweli na yeye aliogopa sana alitamani angefumba macho na kufumbua aione kesho hii hapa.

Vipi Samson tunapika nini, aliuliza Rahma.
Mimi sili kwakuwa nimekula jioni hii hakuna haja tena, Alijibu Samson.

Basi kama ni hivyo na Mimi sili maana kwa haya yanayoendelea hata hamu ya kula imepotea mwenzangu, Mimi naenda kulala, aliongea Rahma huku akiinuka na kuingia chumbani kwake.
. Samson yeye alitoka akaenda kwenye bafu la nje akaoga Kisha akarudi ndani, lakini alishangaa kumkuta Rahma akiwa karibu na mlango wa chumba chake, akajiuliza huyu anataka nini?

Yaani kiukweli ile kauli ya baba mi inanitisha yaani nimejaribu kukaa chumbani peke yangu naona siwezi, yaani Samson hapa njoo na godoro lako utandike huku chumbani kwangu ila kulala peke yangu hapana, aliongea Rahma kwa kumaanisha

Sasa kama ni hivyo, uje ulale hukuhuku na wewe, alitania Samson huku akikung'uta miguu na kuingia chumbani kwake.

Wewe nani alale huko bwana,toka nifike hapa sijawahi kuona unafua mashuka yako, na sijui kama hata kufagia unafagia , mi siingii huko bwaaanna. aliongea kwa kudeka Rahma.

Basi Mimi nakuja Tulale huko huko si umesema mashuka yangu machafu Sasa nayaletaje kwenye chumba chako kisafi, au wewe unaonaje Da Rahma. aliongea kwa kujiamini Samson huku ule uoga ukimtoka bila hata kujijua maana hisia za mapenzi zilikuwa kwenye kiwango cha juu.

Unasemaje Samson, yaani ulale na Mimi kitanda kimoja?
Hebu kuwa na adabu basi Sam.
aliongea Rahma akionesha hajapenda kauli ya Samson.

Basi kama ni hivyoo Kila mtu alale chumbani kwake wewe unafikiri kama ndiyo majambazi wanatuvamia
Mimi nitakusaidia Nini hata kama tupo wote chumba kimoja, wewe kalale bwana, aliongea Samson akiwa anataka kufunga mlango ili apumzike, lakini Rahma aliuzuia kwa nguvu usifungwe ili tu Samson akalale chumbani kwake.

Milango ya mafanikio, ambayo ili ifunguke unahitaji kudra za mwenyezi pekee.

Itaendelea..........................
 
Mwanadamu anahitaji mahitaji makuu matatu.

Kula,
Kulala (usingizi)
Kufanya mapenzi.

Mishemishe zote afanyazo mwanadamu ni kwaajili ya hivyo vitu vitatu vikuu.
Sasa unashindwaje kuongelea mapenzi
Na Yana sehemu kubwa mno Mana Ni hisia Kali Sana kuliko sijui Nini.
 
SEHEMU YA THELATHINI NA NNE

Samson alidandia Daladala huku akipata wakati mgumu kutokana na watu walivyobanana huku kero ya konda kusimamisha gari Mara kwa Mara huku gari ikiwa imejaa kulimuudhi sana Samson.
Akiona anachelewa kufika nyumbani, hata hivyo tamaa za kumuwaza Rahma ndizo zilimfikisha hapo.

Samson alifika nyumbani huku akiikuta nyumba iko peke yake ila Kuna gari tu la baba yake ikionekana yupo mazingira yale yale.
Alifungua mlango, huku akigundua hata Salma anaonekana yupo,

Sasa yupo wapi huyu, inaonekana hata hii mboga alikuwa anaichambua si muda mrefu, kwani kaenda wapi? alijiuliza Samson asipate jibu huku akiinama kuiangalia mboga fulani spinach iliyoko kwenye ungo, alitoka nje akazunguka nyumba yote hakumuona Rahma wala nani
Moyo ukaanza kumwenda mbio Samson, mtu ambaye ametokea kumpenda na kumkubali vibaya mno, mtu ambaye alimuwahi akijiona anachelewa lakini Sasa kaelekea wapi alikata tamaa Samson.

Aliingia ndani hadi sehemu ilipo meza ya dinning akakikuta Chakula akapakua saizi yake huku masikio yakiwa nje, akihisi pengine Rahma ataingia si muda mrefu.
Akiwa anaendelea kula alisikia vishindi nje, vikionekana vinakuja karibu na mlango, alifurahi huku moyo ukimdunda dunda kwani akili yake ilimtuma ni Rahma tu na si mwingine, ikabidi aache kula akaangalie nani anakuja, baada ya kufungua mlango alishangaa kuonana na Dullah uso kwa uso huku wote wakishangaana.

Samson naona umeijua Temeke, umejua viunga vyake, yaani kiufupi hakuna kunachokusumbua, ila freshi tu mwanangu, tangu Jana nimegundua upo mbali kabisa na mimi, kwanini Sam? Mimi, Mimi Abdallah ndiyo wakunifanyia hivyo,lakini kama Kuna jambo nimekukosea au kukukwaza ni Bora uniambie tu kuliko kunyamaza, kwani unaniweka njiapanda sana.
aliweka kituo Dullah.

Samson alifikiria kitambo kidogo huku akizizuia hasira zake, ili asigombane naye,
Unajua Dullah Kuna hali huwa inakuja tu, unaweza sema nakuchukia, lakini ukweli ni kwamba Mimi sikuchukii, ninajisikia vibaya, maana tangu Jana nimepewa taarifa mbaya kutoka nyumbani Sasa Kuna hali fulani napitia naomba uniache tu, wewe ni rafiki yangu siwezi kukudharau sawa mwanangu Dullah mwenyewe.
aliongea Samson huku akijichekesha ili Dullah asijisikie vibaya ila hakupenda Tena kuchangama naye popote.

Sawa mwanangu, ila umenipa mawazo sana maana nikahisi kweli binadamu ni binadamu tu Samson wakunikacha Mimi mwanaye kweli, sikuamini ujue?
Lakini umeongelea matatizo ya huko nyumbani kwenu vipi Kuna Nini, mgonjwa, msiba ama nini.
aliuliza Dullah huku akiamini uongo wa Samson.

Hapana ni maswala tu ya kifamilia, ila yataisha tu haya, usihofu mwanangu Kila kitu kitakaa sawa, alijibu Samson huku akimuona Rahma akisukuma geti dogo la ile nyumba akiingia ndani,

Oyaa Sam Nina ubao kishenzi (akimaanisha njaa)acha niwahi hapo home basi, aliaga Dullah huku Rahma akimwangalia dulla na kumsindikiza kwa macho hadi getini.

Hivi Samson unakumbuka ni juzi tu ulionywa juu ya ukaribu na huyu unayemuita rafiki yako? maana nashangaa kumkuta hapa tena, sema nini twende ndani nikakuekeze jambo.
aliongea Rahma huku akishindwa hata kusalimia, wakaingia ndani.

Hapa Samson bwana tuna matatizo, mama kaibiwa hela zake asubuhi mida ya saa nne au saa tano ila hakuna anayejua kwani majirani na mashuhuda ndiyo wanabahatisha huo muda, Iko hivi mama katika hapa baada ya kupata kufungua kinywa akaelekea dukani kwake, ambapo alivamiwa na watu wasiojulikana wakimtaka awape hela, ndipo alipokuwa anagoma wakampiga na kuzimisha, huku baadhi ya wauzaji wa eneo hilo wakishindwa kutoa msaada kutokana na hofu kwani inasemekana walikuwa na silaha za moto.

Hata hivyo taarifa Mimi imenifikia saa nane kasoro na nimeambiwa na baba, ambaye sijui nani kamtaatifu akaniambia mama yako yupo hospital tukatoka tukaenda kumwangalia. aliweka kituo Rahma huku akiwa kavurugwa fulani hivi,

Vipi mama kaumia sana, aliuliza Samson.

Mmmmh mwenzangu yule hata fahamu hazijamrudia Sawa sawa, kwakuwa hata yeye kashituka kuona yupo hospital, na daktari anasema kwa mujibu wa vipimo vyake Hana maumivu makubwa , na hata kupoteza kwake fahamu huenda ulikuwa ni mstuko tu, baada ya kutishiwa kuuawa, na tulitoka pale hospital na baba tukaenda polisi baba akatoa maelezo, na tukaenda Hadi dukani kwa mama na kukuta kumevurugika Droo zote za meza zimefunguliwa huwenda walikuwa wanatafuta hela, huku bidhaa zote zikionekana zipo kwani wanaonekana walilenga kuchukua pesa tu.
aliweka kituo Rahma.

Sasa vipi tunaweza kwenda kumuona mama huko hospital?
Samson aliuliza.

Hapana, watarudi Sasa hivi, baba aliniambia niwahi kulinda nyumba yeye anarudi polisi, Kuna taarifa za msingi anazipeleka kwaajili ya uchunguzi, kwani Kuna bangili ya silver ya kiume imeokotwa pake pamoja na kitambaa fulani vikisadikika ni vya hao majambazi.
Rahma alifafanua vizuri.

Samson akimwangalia Rahma akigundua lile suala limemvuruga na kumtoa kwenye reli hata hivyo, hawezi kuongea mambo yake ya kipuuzi tena.

Sema nini Sam, Mimi naona hii tabia ya kuendelea kuwa karibu na Dullah hii itakugharimu maana kwa stori za ndani tulizopata inaonekana Kaka wa Dullah aitwaye Kassim, huwa anaenda dukani kwa mama kwa lengo la kumtaka kimapenzi, na hata hivyo mama aligombana naye kwamba kwanini amkosee adabu, na pia ni mtoto mdogo, Lakini huyo Kassim huwa hakomi tu, kwa taarifa za wanaomjua Kassim ni kwamba kutongoza huwa ni gia tu, ya kutaka afike kwako ili achore ramani zake, Sasa Samson kuendelea urafiki na Hawa watuuuuuu....... alishindwa kumalizia sentensi yake Rahma.

Taarifa ile ilipenya sawasawa kwenye ubongo wa Samson, akiona Sasa huu ni mtihani, nawezaje kumkataa Dullah nitamwambia kwa gia gani, ila lazima nimchane potelea mbali mambo yenyewe yameshakuwa makubwa haya Tena hii taarifa ndiyo nitakayo muelekeza najua atanielewa tu, siwezi endelea kuwa na ukaribu naye hata baba najua atanishangaa na nitakosa msaada, alijiwazia Samson.

***************************************

Mida ya saa moja jioni Mzee Mgaya alirudi peke yake, huku akiwa kavurugwa kwa kiasi fulani, aliwasalimia wanae wale Kisha akaanza kuwaeleza taarifa fulani.

Kwanza sitaki niongee mengi, nadhani samson umeshaambiwa kuhusu kilichotokea, Samson akatikia kwa kichwa kuonesha amesikia.

Sasa mama yenu anaumwa niwaambie tu ukweli, maana wakati mwingine Kuna vitu anaongea hata simuelewi, yule ana shida yule na hapa ninapoongea tayari Kuna Ambulance imemtoa hospital ya mwanzo tunaenda sehemu nyingine kwa uchunguzi zaidi.
aliongea kwa masikitiko Mzee Mgaya, huku akiingia chumbani kwake akiwa anaongea peke yake,

Hawa vijana wametangaza vita na Mimi, Hawa wananijaribu, wametaka nioneshe roho mbaya, Sasa nitawaonesha , uzuri mbona kila kitu kipo wazi, hawawezi kuniumizia Tausi wangu was**ge hao, Sasa watajua kuwa Mimi ni muhuni niliyezeeka.

aliendelea kuongea peke yake huku akitoka akiwa kabadilisha nguo bila hata kuoga na hakuna aliyemuuliza, maana uso wake aliukunja akionesha hahitaji stori zozote,
Wanangu, Mimi natoka lazima nihakikishe afya ya mama yenu hatua kwa hatua, Samson naomba nyumba hii ilindwe maana hao mabaradhuli wamekosa hela dukani, wanaweza kuzifuata huku, hivyo milango yote ya geti ifungwe na asifunguliwe mtu yeyote ambaye si muhusika humu sawa? Mzee Mgaya aliyasema yale Kisha akalitoa gari lake na kutokomea kwa speed.

Samson na Rahma waliendelea kusindikiza Lile gari huku Kila mmoja akizama kwenye mawazo binafsi, wasijue Cha kufanya,
Mara wakatoka na kubamiza geti kwa woga wakatia komeo sehemu zote na kuingia ndani huku wakiwa hawaongeleshani chochote.

Samson kitendo cha kuambiwa, huenda wale majambazi wakaja hapo, kilimuumiza sana huku akitishika akilaumu kwanini Mzee Mgaya alisema vile, Kila akivuta taswira namna majambazi watakavyokuja alijikuta tumbo linakoroga huku haja ikitaka kutoka kabla ya wakati wake,

Akitazama Kuta za ile fence, zilivyofupi, aligundua kuwa mtu mwenye Nia ovu yeyote Wala hatozuiliwa na lile geti Bali ataruka ukuta tu, hata hisia zake za mapenzi kwa Rahma zilienda likizo kidogo, maana uoga ulichukua sehemu kubwa.

Samson vipi, mbona umejiinamia hivyo? hebu funga mlango maana Giza limeingia sawa, halafu hii taarifa ya mzee Mgaya kusema wale majambazi wanaweza kuja ujue inaniogopesha mwenzio Samson, yaani hapa hata njaa sina wallah.
aliongea Rahma huku akijichekesha kiuoga ili Samson asimuone muoga.

Usiwaze dada labda baba kaongea tu, wewe mtu gani ataendelea kuing'ang'ania familia moja, kwamba anaimudu sana au,? Aliongea Samson akijikaza mbele ya mtoto wa kike ili asionekane boya, lakini kiukweli na yeye aliogopa sana alitamani angefumba macho na kufumbua aione kesho hii hapa.

Vipi Samson tunapika nini, aliuliza Rahma.
Mimi sili kwakuwa nimekula jioni hii hakuna haja tena, Alijibu Samson.

Basi kama ni hivyo na Mimi sili maana kwa haya yanayoendelea hata hamu ya kula imepotea mwenzangu, Mimi naenda kulala, aliongea Rahma huku akiinuka na kuingia chumbani kwake.
. Samson yeye alitoka akaenda kwenye bafu la nje akaoga Kisha akarudi ndani, lakini alishangaa kumkuta Rahma akiwa karibu na mlango wa chumba chake, akajiuliza huyu anataka nini?

Yaani kiukweli ile kauli ya baba mi inanitisha yaani nimejaribu kukaa chumbani peke yangu naona siwezi, yaani Samson hapa njoo na godoro lako utandike huku chumbani kwangu ila kulala peke yangu hapana, aliongea Rahma kwa kumaanisha

Sasa kama ni hivyo, uje ulale hukuhuku na wewe, alitania Samson huku akikung'uta miguu na kuingia chumbani kwake.

Wewe nani alale huko bwana,toka nifike hapa sijawahi kuona unafua mashuka yako, na sijui kama hata kufagia unafagia , mi siingii huko bwaaanna. aliongea kwa kudeka Rahma.

Basi Mimi nakuja Tulale huko huko si umesema mashuka yangu machafu Sasa nayaletaje kwenye chumba chako kisafi, au wewe unaonaje Da Rahma. aliongea kwa kujiamini Samson huku ule uoga ukimtoka bila hata kujijua maana hisia za mapenzi zilikuwa kwenye kiwango cha juu.

Unasemaje Samson, yaani ulale na Mimi kitanda kimoja?
Hebu kuwa na adabu basi Sam.
aliongea Rahma akionesha hajapenda kauli ya Samson.

Basi kama ni hivyoo Kila mtu alale chumbani kwake wewe unafikiri kama ndiyo majambazi wanatuvamia
Mimi nitakusaidia Nini hata kama tupo wote chumba kimoja, wewe kalale bwana, aliongea Samson akiwa anataka kufunga mlango ili apumzike, lakini Rahma aliuzuia kwa nguvu usifungwe ili tu Samson akalale chumbani kwake.

Milango ya mafanikio, ambayo ili ifunguke unahitaji kudra za mwenyezi pekee.

Itaendelea..........................
moneytalk beb njoo uone samson anatka kula mzigo huku
 
SEHEMU YA THELATHINI NA TANO

Wakati Samson na Rahma wakiendelea kubishana pale mlangoni kuhusu nani alale kwa mwenzie, geti lilisikika likigongwa tena mgongaji akionekana ni mgeni, kwani aligonga kwa nguvu bila ustaarabu

Sam na Rahma waliangaliana kisha, wakatoka nje huku Samson akitangulia akiwa na tahadhari iliyochanganyika na uoga, na Rahma akiwa nyuma yake,
Wewe ni nani usiku hebu jitambulishe maana haruhusiwi mtu kuingia ndani muda huu, aliongea Samson akiwa anajikaza.

Hebu fungueni geti bwana Mimi mama Dullah, ilisikika sauti yake huku akiwashangaza, Samson na Rahma Nini kimefanya aje usiku ule.

Samahani mama kama una la kuongea, zungumza hapohapo kwakuwa leo wazazi wetu hawapo. aliongeza Rahma.

Ahaaaaah sawa, Sasa naomba mumwambie baba yenu Mzee Mgaya kwamba sitaki na sijapenda habari za kumtishia mwanangu Kassim eti amemwibia mkewe, mwambieni habari zake na vitisho vyote nimesikia Sasa kama anataka Shari ashindane na Mimi aachane na mwanangu, kwanza huyo K (Kassim)hayupo mji huu yupo mkoani kusini na mishe zake, yeye anawezaje kusema amemwibia?
Mwambieni tutafikishaba pabaya .
alibwata mama yake Dullah huku akiwa hajajibiwa chochote na akina Samson.

Samson yaani mwenzio hapa njaa ishaanza kuniuma, tena sidhani kama, nitaweza kulala hivihivi, mi nawasha jiko nipike mwenzangu, siwezi kulala na njaa, aliongea Rahma huku akisogea usawa wa jikoni,
Ila mimi sili hivyo kama Kuna kiugali chako tengeneza wa kwako mwenyewe, alishauri Samson huku akiwa anaelekea chumbani kwake.

Sasa Sam unaenda wapi? Mimi hapa nishakwambia siwezi kulala peke yangu bwaana, nenda kalale chumbani kwangu halafu nitakukuta, alishauri Rahma,
Samson aliingia ndani kwake akachukua daftari fulani akaingia nalo chumbani kwa Rahma, huku akishangaa chumba kizuri na kisafi mno, akigundua Kuna upendeleo ulifanyika baina yake yeye na Rahma kwani kuanzia kitanda, godoro na hata uzuri wa chumba haukufanana na chumba chake, alitulia pale kitandani huku akifaidi harufu nzuri ya marashi mle ndani tofauti na kwake.

Mara Rahma akaingia baada ya kumuona Samson akatabasamu,
Mwenzangu yaani huko nje napika huku nageuka geuka nahisi yale aliyoongea baba yatatokea lakini pia nimegundua kweli huenda Kuna suala zito hapa, unaonaje hivyo vitisho vya mama Dullah, Rahma aliuliza.

Yaani Mimi mwenyewe hata sielewi, nadhani tunapaswa kuchukua tahadhari tu, huenda watu wanatafutana kweli, Alijibu Samson.

Kwahiyo Samson huli kweli chakula maana bado kidogo tu. aliuliza Rahma.
Mimi niko vizuri wewe kula tu, alijibu Samson huku akimsindikiza Rahma kwa macho ya tamaa za ngono, Samson ambaye pale mjini hakuwahi kupata Wala kumpenda demu yoyote, pili hata kijijini alikotoka kulikuwa na uhaba wa wasichana hivyo jibu ni kwamba hakuwahi kufanya mapenzi maishani mwake licha ya kuwa alikuwa na umri mkubwa sana tu.
alitoka akachungulia sebuleni akiangalia saa ya ukutani akaona ni saa sita kasoro usiku.akakiri muda umeenda sana.

Alichukua daftari lake akaanza kupekua huku akisomasoma kwa kuzuga tu lengo muda uende, aliwaza namna atakavyomuanza Rahma pale kitandani, huku akikumbuka video ambazo alioneshwa na wanafunzi wa form four shuleni kwao, akawa anajaribu kuvaa uhalisia, ili mradi imuongezee hali ya kujiamini, lakini ukweli una baki kuwa samson alikuwa mgeni kwenye Mambo yenyewe.

Kila kiungo chake cha mwili kilifanya kazi, huku akijikuta hawezi kabisa hata kusoma, akatupia kile kijidaftari pembeni kisha akajilaza kidogo kumsubiri Rahma.

Alikuja kushituka baada ya kuamshwa na Rahma akiambiwa kumekucha, hili ni jambo lilimkera na kumuudhi sana, hakujua alilala saa ngapi, kweli usingizi hauna adabu, alimwangalia Rahma aliyekuwa kajifunga Kitenge huku mwili wake mzuri wenye vinyweleo Ukiwa karibu kabisa na yeye, alijilaumu sana akijiona kwenye kundi la wavivu na wazembe yeye anastahili kuwa wa mwisho.alitamani muda ungerudi nyuma lakini haikuwezekana tena.

Mbona umeduwaa, unashangaa ina maana huendi shule, kunazidi kukucha ujue, ohooooh
Kwanza toka humu wasirudi watu wakatukuta bwanaa
aliongea Rahma kwa kudeka huku akimuamrisha Samson atoke.

Samson alijiswafi, Kisha akaelekea kwenye kituo Cha Daladala huku akiwa kama hajielewi hivi, akajitoma kwenye Daladala huku akishtuka kuwa kasahau hela ya nauli na ya kula
alijilaumu huku akionesha kuchanganyikiwa

***************************************

Samson akiwa shule huku akijiuliza atakula nini kutwa nzima, maana kwenye Daladala alilipiwa na mwanamke mmoja baada ya ugomvi wa yeye na konda,
muda wa mapumziko ulifika huku wenzie wakiwa wanakula vitu mbalimbali kutokana na Kila mtu anachokimudu, Samson alijibanza sehemu huku akishangaa rafiki yake Dullah akipita mbele yake bila hata kumsalimia , alifikiria kwa muda fulani lakini akapata majibu, huku akiwa kafurahi kama Dullah ataamua kujitenga basi itampa wepesi maana alikuwa anawaza atamkataaje.

Wakati akizubaazubaa pale, alifuatwa na mwanafunzi fulani, akiambiwa anaitwa,
akiwa anajaribu kubahatisha atakuwa nani, kwani tangu afike pale shuleni hakuwahi kutembelewa hata na mzee Mgaya,
Alisogea hadi sehemu fulani ambapo alimkuta mwalimu mkuu akiongea na mama Kulwa ambaye alikuwa kwenye gari upande wa kushoto wa dereva.

Basi mwalimu tunashukuru, tunaomba tuongee na huyu kijana.
aliongea mama Kulwa huku akipungiana mikono na mwalimu mkuu wa shule ile wakiagana.

Samson aliingia kwenye gari, huku akikaa siti za nyuma za ile gari, akishangaa shangaa mle ndani. Samson hakuwa mzoefu wa magari ila akili zake zilimwambia ile gari ni mpya kwani Kila kitu mle ndani kilionekana kipya.

Samson habari za Temeke maana toka umeondoka nyumbani kwangu hutaki hata kuja kututembelea yaani mwanangu wewe wakunifanyia hivyo, kweli? Usifanye hivyo bwana, Mimi ni mama yako tu kwa hapa mjini, hata Ukiwa kule bado unatakiwa kutambua umuhimu wangu, alilalamika mama Kulwa .

Enhee hebu niambie,
Nini kimetokea huko nyumbani kwenu maana baba yako hata hatulii na nikimuuliza Nini kinamfanya awe vile hataki kuniambia, Jana kutwa nzima anarudi, Mara aende lakini haniambii chochote, ila kwa umbea tulioupata japo nusu nusu ni kuwa mama yako Tausi kaibiwa, je ni kweli?aliuliza mama Kulwa

Ni kweli kaibiwa kama mlivyosikia, ila na Mimi sijaambiwa chochote, alijibu Kwa kifupi Samson.

Kwahiyo huyo Tausi yeye hajasema chochote juu ya kuibiwa kwake,na kwanini awafiche, aliuliza Cathy ambaye alikuwa dereva wa gari ile.

Kwanza Mimi tangu narudi shule Jana, sikumkuta mamdogo , tuliambiwa yupo hospital anaumwa, na baadaye baba alirudi akatueleza kuwa mama hali yake si nzuri hivyo wanaenda hospital nyingine, alijibu Samson.

Mama Kulwa na Cathy waliangaliana huku wakitabasamu kwa mshangao, huku wakionesha kuongea mambo fulani Kwa Code ambapo Samson hakuelewa.

Sasa Samson nyumbani utakuja lini, maana kwasasa nipo peke yangu tu na dada yako yule wa kazi amenitoroka nilimleta mwingine wiki iliyopita alikaa siku tatu tu akakimbia tena na kuniibia juu, hivyo nakuomba mwanangu urudi pale nyumbani, kwanza hapa Mimi Kuna biashara tumefungua na huyu dada yako Sasa nyumba unakuwa peke yake hivyo nakuomba baba yangu urudi.
aliongea kwa hisia sana mama Kulwa.

Unajua mama Mimi nilitoka kijijini nikaja kwako kwa amri ya mzee na pia ndiye aliyenitoa hapo kwako na kunipeleka kule kwa amri yake, hivyo Mimi namsikiliza yeye, ongea naye akiniambia nirudi sitakuwa na pingamizi . alijibu Samson na kumfanya mama Kulwa ajisikie vibaya, kwani jibu la Samson halikuwa la kawaida.

Sawa, nitaongea na baba yako, najua atanielewa tu. alijibu mama Kulwa Kisha akachukua kuasi fulani cha pesa na kumkabidhi Samson, Kisha wakaagana na kuondoka huku akigundua lile gari ni jipya huenda ni la mama yake kwani namna alivyokuwa anajiachia mle ndani lakini pia kwenye gari ilitundikwa Rozari ambayo anaifahamu siku nyingi kuwa ni ya mama Kulwa.

**************************************
Samson akiwa darasani alitafakari maneno ya mama Kulwa huku akizidi kushangaa Nini kimefanya mama Kulwa kuwa mpole vile, na hata hivyo kumpatia kiasi kikubwa cha pesa, ambacho haikuwa rahisi kwa yule mama kutoa ile hela.
hakuwa na majibu rahisi akabaki anafurahia zile hela ambazo kwa kujibana angeweza kutumia hata miezi miwili.

Alianza kuwaza akilinganisha ubora wa makazi yote mawili, aligundua kuwa kwa mama Kulwa ni kuzuri na kumekaa kishua zaidi kwani nyumba hazijabanana kama kule kwa Tausi, lakini pia ilikuwa karibu na shule akajikuta kwa asilimia tisini ni bora kwa mama Kulwa, ila akazidiwa na jambo moja tu lililoshusha asilimia zote za kule kwa mama Kulwa,
Alikuwa ni Rahma.

Rahma alimteka sana Samson, kiasi Cha kufikia kuwa hata angeambiwa afanye kazi zote kwa Tausi angefanya lengo awe karibu na Samson tu, hakika mambo mengi yalianza kushuka kwa Samson hata ufanisi na umahiri wake darasani ulipungua kiasi cha baadhi ya walimu kumshitukia.
Alirudi nyumbani jioni ile akawakuta familia nzima yaani Mzee Mgaya, Tausi mwenyewe pamoja na majirani waliokuja kutoa pole kwa Tausi.

Jamani mwanangu Samson huyoo yaani nimetoka kukuulizia kwa dadako siyo muda maaba hata sisi tumefika hapa kama masaa mawili yaliyopita, aliongea Tausi huku Mzee Mgaya akipenda jinsi mkewe alivyopata nafuu.

Mawazo ya samson yalikuwa kwa Rahma tu, alitamani awaulize waliokaa pale kuhusu Rahma lakini akaona asije akashitukiwa Maana familia nzima inajua Hana mazoea naye.

Alitoka nje akamuona Rahma kwa mbali yupo karibu na lilipo Bomba la maji akiwa anafunga mpira ili amwagilie maua kuizunguka nyumba yao macho yaligongana wote wawili wakitabasamu, Rahma akamuita Samson kwa ishara ya kufumba na kufumbua kiganja cha mkono.

Yaani Samson wewe bado mtoto sana tu, tena mtoto mdogo
Sasa ule usingizi gani, mtu unalala kama umekufa, Sasa kwa mfano tungevamiwa? yaani badala ya kulala huku Ukiwa ngangari kusikilizia nini kimejiri nje wewe unalala kama mlevi. Sasa Cha kuja kulala kwangu ni nini si bora ningelala mwenyewe.
aliongea Rahma akionesha kukerwa na hata uso wake ulionesha dharau kwa Samson.

Itaendelea.......................
 
SEHEMU YA THELATHINI NA TANO

Wakati Samson na Rahma wakiendelea kubishana pale mlangoni kuhusu nani alale kwa mwenzie, geti lilisikika likigongwa tena mgongaji akionekana ni mgeni, kwani aligonga kwa nguvu bila ustaarabu

Sam na Rahma waliangaliana kisha, wakatoka nje huku Samson akitangulia akiwa na tahadhari iliyochanganyika na uoga, na Rahma akiwa nyuma yake,
Wewe ni nani usiku hebu jitambulishe maana haruhusiwi mtu kuingia ndani muda huu, aliongea Samson akiwa anajikaza.

Hebu fungueni geti bwana Mimi mama Dullah, ilisikika sauti yake huku akiwashangaza, Samson na Rahma Nini kimefanya aje usiku ule.

Samahani mama kama una la kuongea, zungumza hapohapo kwakuwa leo wazazi wetu hawapo. aliongeza Rahma.

Ahaaaaah sawa, Sasa naomba mumwambie baba yenu Mzee Mgaya kwamba sitaki na sijapenda habari za kumtishia mwanangu Kassim eti amemwibia mkewe, mwambieni habari zake na vitisho vyote nimesikia Sasa kama anataka Shari ashindane na Mimi aachane na mwanangu, kwanza huyo K (Kassim)hayupo mji huu yupo mkoani kusini na mishe zake, yeye anawezaje kusema amemwibia?
Mwambieni tutafikishaba pabaya .
alibwata mama yake Dullah huku akiwa hajajibiwa chochote na akina Samson.

Samson yaani mwenzio hapa njaa ishaanza kuniuma, tena sidhani kama, nitaweza kulala hivihivi, mi nawasha jiko nipike mwenzangu, siwezi kulala na njaa, aliongea Rahma huku akisogea usawa wa jikoni,
Ila mimi sili hivyo kama Kuna kiugali chako tengeneza wa kwako mwenyewe, alishauri Samson huku akiwa anaelekea chumbani kwake.

Sasa Sam unaenda wapi? Mimi hapa nishakwambia siwezi kulala peke yangu bwaana, nenda kalale chumbani kwangu halafu nitakukuta, alishauri Rahma,
Samson aliingia ndani kwake akachukua daftari fulani akaingia nalo chumbani kwa Rahma, huku akishangaa chumba kizuri na kisafi mno, akigundua Kuna upendeleo ulifanyika baina yake yeye na Rahma kwani kuanzia kitanda, godoro na hata uzuri wa chumba haukufanana na chumba chake, alitulia pale kitandani huku akifaidi harufu nzuri ya marashi mle ndani tofauti na kwake.

Mara Rahma akaingia baada ya kumuona Samson akatabasamu,
Mwenzangu yaani huko nje napika huku nageuka geuka nahisi yale aliyoongea baba yatatokea lakini pia nimegundua kweli huenda Kuna suala zito hapa, unaonaje hivyo vitisho vya mama Dullah, Rahma aliuliza.

Yaani Mimi mwenyewe hata sielewi, nadhani tunapaswa kuchukua tahadhari tu, huenda watu wanatafutana kweli, Alijibu Samson.

Kwahiyo Samson huli kweli chakula maana bado kidogo tu. aliuliza Rahma.
Mimi niko vizuri wewe kula tu, alijibu Samson huku akimsindikiza Rahma kwa macho ya tamaa za ngono, Samson ambaye pale mjini hakuwahi kupata Wala kumpenda demu yoyote, pili hata kijijini alikotoka kulikuwa na uhaba wa wasichana hivyo jibu ni kwamba hakuwahi kufanya mapenzi maishani mwake licha ya kuwa alikuwa na umri mkubwa sana tu.
alitoka akachungulia sebuleni akiangalia saa ya ukutani akaona ni saa sita kasoro usiku.akakiri muda umeenda sana.

Alichukua daftari lake akaanza kupekua huku akisomasoma kwa kuzuga tu lengo muda uende, aliwaza namna atakavyomuanza Rahma pale kitandani, huku akikumbuka video ambazo alioneshwa na wanafunzi wa form four shuleni kwao, akawa anajaribu kuvaa uhalisia, ili mradi imuongezee hali ya kujiamini, lakini ukweli una baki kuwa samson alikuwa mgeni kwenye Mambo yenyewe.

Kila kiungo chake cha mwili kilifanya kazi, huku akijikuta hawezi kabisa hata kusoma, akatupia kile kijidaftari pembeni kisha akajilaza kidogo kumsubiri Rahma.

Alikuja kushituka baada ya kuamshwa na Rahma akiambiwa kumekucha, hili ni jambo lilimkera na kumuudhi sana, hakujua alilala saa ngapi, kweli usingizi hauna adabu, alimwangalia Rahma aliyekuwa kajifunga Kitenge huku mwili wake mzuri wenye vinyweleo Ukiwa karibu kabisa na yeye, alijilaumu sana akijiona kwenye kundi la wavivu na wazembe yeye anastahili kuwa wa mwisho.alitamani muda ungerudi nyuma lakini haikuwezekana tena.

Mbona umeduwaa, unashangaa ina maana huendi shule, kunazidi kukucha ujue, ohooooh
Kwanza toka humu wasirudi watu wakatukuta bwanaa
aliongea Rahma kwa kudeka huku akimuamrisha Samson atoke.

Samson alijiswafi, Kisha akaelekea kwenye kituo Cha Daladala huku akiwa kama hajielewi hivi, akajitoma kwenye Daladala huku akishtuka kuwa kasahau hela ya nauli na ya kula
alijilaumu huku akionesha kuchanganyikiwa

***************************************

Samson akiwa shule huku akijiuliza atakula nini kutwa nzima, maana kwenye Daladala alilipiwa na mwanamke mmoja baada ya ugomvi wa yeye na konda,
muda wa mapumziko ulifika huku wenzie wakiwa wanakula vitu mbalimbali kutokana na Kila mtu anachokimudu, Samson alijibanza sehemu huku akishangaa rafiki yake Dullah akipita mbele yake bila hata kumsalimia , alifikiria kwa muda fulani lakini akapata majibu, huku akiwa kafurahi kama Dullah ataamua kujitenga basi itampa wepesi maana alikuwa anawaza atamkataaje.

Wakati akizubaazubaa pale, alifuatwa na mwanafunzi fulani, akiambiwa anaitwa,
akiwa anajaribu kubahatisha atakuwa nani, kwani tangu afike pale shuleni hakuwahi kutembelewa hata na mzee Mgaya,
Alisogea hadi sehemu fulani ambapo alimkuta mwalimu mkuu akiongea na mama Kulwa ambaye alikuwa kwenye gari upande wa kushoto wa dereva.

Basi mwalimu tunashukuru, tunaomba tuongee na huyu kijana.
aliongea mama Kulwa huku akipungiana mikono na mwalimu mkuu wa shule ile wakiagana.

Samson aliingia kwenye gari, huku akikaa siti za nyuma za ile gari, akishangaa shangaa mle ndani. Samson hakuwa mzoefu wa magari ila akili zake zilimwambia ile gari ni mpya kwani Kila kitu mle ndani kilionekana kipya.

Samson habari za Temeke maana toka umeondoka nyumbani kwangu hutaki hata kuja kututembelea yaani mwanangu wewe wakunifanyia hivyo, kweli? Usifanye hivyo bwana, Mimi ni mama yako tu kwa hapa mjini, hata Ukiwa kule bado unatakiwa kutambua umuhimu wangu, alilalamika mama Kulwa .

Enhee hebu niambie,
Nini kimetokea huko nyumbani kwenu maana baba yako hata hatulii na nikimuuliza Nini kinamfanya awe vile hataki kuniambia, Jana kutwa nzima anarudi, Mara aende lakini haniambii chochote, ila kwa umbea tulioupata japo nusu nusu ni kuwa mama yako Tausi kaibiwa, je ni kweli?aliuliza mama Kulwa

Ni kweli kaibiwa kama mlivyosikia, ila na Mimi sijaambiwa chochote, alijibu Kwa kifupi Samson.

Kwahiyo huyo Tausi yeye hajasema chochote juu ya kuibiwa kwake,na kwanini awafiche, aliuliza Cathy ambaye alikuwa dereva wa gari ile.

Kwanza Mimi tangu narudi shule Jana, sikumkuta mamdogo , tuliambiwa yupo hospital anaumwa, na baadaye baba alirudi akatueleza kuwa mama hali yake si nzuri hivyo wanaenda hospital nyingine, alijibu Samson.

Mama Kulwa na Cathy waliangaliana huku wakitabasamu kwa mshangao, huku wakionesha kuongea mambo fulani Kwa Code ambapo Samson hakuelewa.

Sasa Samson nyumbani utakuja lini, maana kwasasa nipo peke yangu tu na dada yako yule wa kazi amenitoroka nilimleta mwingine wiki iliyopita alikaa siku tatu tu akakimbia tena na kuniibia juu, hivyo nakuomba mwanangu urudi pale nyumbani, kwanza hapa Mimi Kuna biashara tumefungua na huyu dada yako Sasa nyumba unakuwa peke yake hivyo nakuomba baba yangu urudi.
aliongea kwa hisia sana mama Kulwa.

Unajua mama Mimi nilitoka kijijini nikaja kwako kwa amri ya mzee na pia ndiye aliyenitoa hapo kwako na kunipeleka kule kwa amri yake, hivyo Mimi namsikiliza yeye, ongea naye akiniambia nirudi sitakuwa na pingamizi . alijibu Samson na kumfanya mama Kulwa ajisikie vibaya, kwani jibu la Samson halikuwa la kawaida.

Sawa, nitaongea na baba yako, najua atanielewa tu. alijibu mama Kulwa Kisha akachukua kuasi fulani cha pesa na kumkabidhi Samson, Kisha wakaagana na kuondoka huku akigundua lile gari ni jipya huenda ni la mama yake kwani namna alivyokuwa anajiachia mle ndani lakini pia kwenye gari ilitundikwa Rozari ambayo anaifahamu siku nyingi kuwa ni ya mama Kulwa.

**************************************
Samson akiwa darasani alitafakari maneno ya mama Kulwa huku akizidi kushangaa Nini kimefanya mama Kulwa kuwa mpole vile, na hata hivyo kumpatia kiasi kikubwa cha pesa, ambacho haikuwa rahisi kwa yule mama kutoa ile hela.
hakuwa na majibu rahisi akabaki anafurahia zile hela ambazo kwa kujibana angeweza kutumia hata miezi miwili.

Alianza kuwaza akilinganisha ubora wa makazi yote mawili, aligundua kuwa kwa mama Kulwa ni kuzuri na kumekaa kishua zaidi kwani nyumba hazijabanana kama kule kwa Tausi, lakini pia ilikuwa karibu na shule akajikuta kwa asilimia tisini ni bora kwa mama Kulwa, ila akazidiwa na jambo moja tu lililoshusha asilimia zote za kule kwa mama Kulwa,
Alikuwa ni Rahma.

Rahma alimteka sana Samson, kiasi Cha kufikia kuwa hata angeambiwa afanye kazi zote kwa Tausi angefanya lengo awe karibu na Samson tu, hakika mambo mengi yalianza kushuka kwa Samson hata ufanisi na umahiri wake darasani ulipungua kiasi cha baadhi ya walimu kumshitukia.
Alirudi nyumbani jioni ile akawakuta familia nzima yaani Mzee Mgaya, Tausi mwenyewe pamoja na majirani waliokuja kutoa pole kwa Tausi.

Jamani mwanangu Samson huyoo yaani nimetoka kukuulizia kwa dadako siyo muda maaba hata sisi tumefika hapa kama masaa mawili yaliyopita, aliongea Tausi huku Mzee Mgaya akipenda jinsi mkewe alivyopata nafuu.

Mawazo ya samson yalikuwa kwa Rahma tu, alitamani awaulize waliokaa pale kuhusu Rahma lakini akaona asije akashitukiwa Maana familia nzima inajua Hana mazoea naye.

Alitoka nje akamuona Rahma kwa mbali yupo karibu na lilipo Bomba la maji akiwa anafunga mpira ili amwagilie maua kuizunguka nyumba yao macho yaligongana wote wawili wakitabasamu, Rahma akamuita Samson kwa ishara ya kufumba na kufumbua kiganja cha mkono.

Yaani Samson wewe bado mtoto sana tu, tena mtoto mdogo
Sasa ule usingizi gani, mtu unalala kama umekufa, Sasa kwa mfano tungevamiwa? yaani badala ya kulala huku Ukiwa ngangari kusikilizia nini kimejiri nje wewe unalala kama mlevi. Sasa Cha kuja kulala kwangu ni nini si bora ningelala mwenyewe.
aliongea Rahma akionesha kukerwa na hata uso wake ulionesha dharau kwa Samson.

Itaendelea.......................
Pamoja dokta , unaendeleaje lakini
 
SEHEMU YA THELATHINI NA TANO

Wakati Samson na Rahma wakiendelea kubishana pale mlangoni kuhusu nani alale kwa mwenzie, geti lilisikika likigongwa tena mgongaji akionekana ni mgeni, kwani aligonga kwa nguvu bila ustaarabu

Sam na Rahma waliangaliana kisha, wakatoka nje huku Samson akitangulia akiwa na tahadhari iliyochanganyika na uoga, na Rahma akiwa nyuma yake,
Wewe ni nani usiku hebu jitambulishe maana haruhusiwi mtu kuingia ndani muda huu, aliongea Samson akiwa anajikaza.

Hebu fungueni geti bwana Mimi mama Dullah, ilisikika sauti yake huku akiwashangaza, Samson na Rahma Nini kimefanya aje usiku ule.

Samahani mama kama una la kuongea, zungumza hapohapo kwakuwa leo wazazi wetu hawapo. aliongeza Rahma.

Ahaaaaah sawa, Sasa naomba mumwambie baba yenu Mzee Mgaya kwamba sitaki na sijapenda habari za kumtishia mwanangu Kassim eti amemwibia mkewe, mwambieni habari zake na vitisho vyote nimesikia Sasa kama anataka Shari ashindane na Mimi aachane na mwanangu, kwanza huyo K (Kassim)hayupo mji huu yupo mkoani kusini na mishe zake, yeye anawezaje kusema amemwibia?
Mwambieni tutafikishaba pabaya .
alibwata mama yake Dullah huku akiwa hajajibiwa chochote na akina Samson.

Samson yaani mwenzio hapa njaa ishaanza kuniuma, tena sidhani kama, nitaweza kulala hivihivi, mi nawasha jiko nipike mwenzangu, siwezi kulala na njaa, aliongea Rahma huku akisogea usawa wa jikoni,
Ila mimi sili hivyo kama Kuna kiugali chako tengeneza wa kwako mwenyewe, alishauri Samson huku akiwa anaelekea chumbani kwake.

Sasa Sam unaenda wapi? Mimi hapa nishakwambia siwezi kulala peke yangu bwaana, nenda kalale chumbani kwangu halafu nitakukuta, alishauri Rahma,
Samson aliingia ndani kwake akachukua daftari fulani akaingia nalo chumbani kwa Rahma, huku akishangaa chumba kizuri na kisafi mno, akigundua Kuna upendeleo ulifanyika baina yake yeye na Rahma kwani kuanzia kitanda, godoro na hata uzuri wa chumba haukufanana na chumba chake, alitulia pale kitandani huku akifaidi harufu nzuri ya marashi mle ndani tofauti na kwake.

Mara Rahma akaingia baada ya kumuona Samson akatabasamu,
Mwenzangu yaani huko nje napika huku nageuka geuka nahisi yale aliyoongea baba yatatokea lakini pia nimegundua kweli huenda Kuna suala zito hapa, unaonaje hivyo vitisho vya mama Dullah, Rahma aliuliza.

Yaani Mimi mwenyewe hata sielewi, nadhani tunapaswa kuchukua tahadhari tu, huenda watu wanatafutana kweli, Alijibu Samson.

Kwahiyo Samson huli kweli chakula maana bado kidogo tu. aliuliza Rahma.
Mimi niko vizuri wewe kula tu, alijibu Samson huku akimsindikiza Rahma kwa macho ya tamaa za ngono, Samson ambaye pale mjini hakuwahi kupata Wala kumpenda demu yoyote, pili hata kijijini alikotoka kulikuwa na uhaba wa wasichana hivyo jibu ni kwamba hakuwahi kufanya mapenzi maishani mwake licha ya kuwa alikuwa na umri mkubwa sana tu.
alitoka akachungulia sebuleni akiangalia saa ya ukutani akaona ni saa sita kasoro usiku.akakiri muda umeenda sana.

Alichukua daftari lake akaanza kupekua huku akisomasoma kwa kuzuga tu lengo muda uende, aliwaza namna atakavyomuanza Rahma pale kitandani, huku akikumbuka video ambazo alioneshwa na wanafunzi wa form four shuleni kwao, akawa anajaribu kuvaa uhalisia, ili mradi imuongezee hali ya kujiamini, lakini ukweli una baki kuwa samson alikuwa mgeni kwenye Mambo yenyewe.

Kila kiungo chake cha mwili kilifanya kazi, huku akijikuta hawezi kabisa hata kusoma, akatupia kile kijidaftari pembeni kisha akajilaza kidogo kumsubiri Rahma.

Alikuja kushituka baada ya kuamshwa na Rahma akiambiwa kumekucha, hili ni jambo lilimkera na kumuudhi sana, hakujua alilala saa ngapi, kweli usingizi hauna adabu, alimwangalia Rahma aliyekuwa kajifunga Kitenge huku mwili wake mzuri wenye vinyweleo Ukiwa karibu kabisa na yeye, alijilaumu sana akijiona kwenye kundi la wavivu na wazembe yeye anastahili kuwa wa mwisho.alitamani muda ungerudi nyuma lakini haikuwezekana tena.

Mbona umeduwaa, unashangaa ina maana huendi shule, kunazidi kukucha ujue, ohooooh
Kwanza toka humu wasirudi watu wakatukuta bwanaa
aliongea Rahma kwa kudeka huku akimuamrisha Samson atoke.

Samson alijiswafi, Kisha akaelekea kwenye kituo Cha Daladala huku akiwa kama hajielewi hivi, akajitoma kwenye Daladala huku akishtuka kuwa kasahau hela ya nauli na ya kula
alijilaumu huku akionesha kuchanganyikiwa

***************************************

Samson akiwa shule huku akijiuliza atakula nini kutwa nzima, maana kwenye Daladala alilipiwa na mwanamke mmoja baada ya ugomvi wa yeye na konda,
muda wa mapumziko ulifika huku wenzie wakiwa wanakula vitu mbalimbali kutokana na Kila mtu anachokimudu, Samson alijibanza sehemu huku akishangaa rafiki yake Dullah akipita mbele yake bila hata kumsalimia , alifikiria kwa muda fulani lakini akapata majibu, huku akiwa kafurahi kama Dullah ataamua kujitenga basi itampa wepesi maana alikuwa anawaza atamkataaje.

Wakati akizubaazubaa pale, alifuatwa na mwanafunzi fulani, akiambiwa anaitwa,
akiwa anajaribu kubahatisha atakuwa nani, kwani tangu afike pale shuleni hakuwahi kutembelewa hata na mzee Mgaya,
Alisogea hadi sehemu fulani ambapo alimkuta mwalimu mkuu akiongea na mama Kulwa ambaye alikuwa kwenye gari upande wa kushoto wa dereva.

Basi mwalimu tunashukuru, tunaomba tuongee na huyu kijana.
aliongea mama Kulwa huku akipungiana mikono na mwalimu mkuu wa shule ile wakiagana.

Samson aliingia kwenye gari, huku akikaa siti za nyuma za ile gari, akishangaa shangaa mle ndani. Samson hakuwa mzoefu wa magari ila akili zake zilimwambia ile gari ni mpya kwani Kila kitu mle ndani kilionekana kipya.

Samson habari za Temeke maana toka umeondoka nyumbani kwangu hutaki hata kuja kututembelea yaani mwanangu wewe wakunifanyia hivyo, kweli? Usifanye hivyo bwana, Mimi ni mama yako tu kwa hapa mjini, hata Ukiwa kule bado unatakiwa kutambua umuhimu wangu, alilalamika mama Kulwa .

Enhee hebu niambie,
Nini kimetokea huko nyumbani kwenu maana baba yako hata hatulii na nikimuuliza Nini kinamfanya awe vile hataki kuniambia, Jana kutwa nzima anarudi, Mara aende lakini haniambii chochote, ila kwa umbea tulioupata japo nusu nusu ni kuwa mama yako Tausi kaibiwa, je ni kweli?aliuliza mama Kulwa

Ni kweli kaibiwa kama mlivyosikia, ila na Mimi sijaambiwa chochote, alijibu Kwa kifupi Samson.

Kwahiyo huyo Tausi yeye hajasema chochote juu ya kuibiwa kwake,na kwanini awafiche, aliuliza Cathy ambaye alikuwa dereva wa gari ile.

Kwanza Mimi tangu narudi shule Jana, sikumkuta mamdogo , tuliambiwa yupo hospital anaumwa, na baadaye baba alirudi akatueleza kuwa mama hali yake si nzuri hivyo wanaenda hospital nyingine, alijibu Samson.

Mama Kulwa na Cathy waliangaliana huku wakitabasamu kwa mshangao, huku wakionesha kuongea mambo fulani Kwa Code ambapo Samson hakuelewa.

Sasa Samson nyumbani utakuja lini, maana kwasasa nipo peke yangu tu na dada yako yule wa kazi amenitoroka nilimleta mwingine wiki iliyopita alikaa siku tatu tu akakimbia tena na kuniibia juu, hivyo nakuomba mwanangu urudi pale nyumbani, kwanza hapa Mimi Kuna biashara tumefungua na huyu dada yako Sasa nyumba unakuwa peke yake hivyo nakuomba baba yangu urudi.
aliongea kwa hisia sana mama Kulwa.

Unajua mama Mimi nilitoka kijijini nikaja kwako kwa amri ya mzee na pia ndiye aliyenitoa hapo kwako na kunipeleka kule kwa amri yake, hivyo Mimi namsikiliza yeye, ongea naye akiniambia nirudi sitakuwa na pingamizi . alijibu Samson na kumfanya mama Kulwa ajisikie vibaya, kwani jibu la Samson halikuwa la kawaida.

Sawa, nitaongea na baba yako, najua atanielewa tu. alijibu mama Kulwa Kisha akachukua kuasi fulani cha pesa na kumkabidhi Samson, Kisha wakaagana na kuondoka huku akigundua lile gari ni jipya huenda ni la mama yake kwani namna alivyokuwa anajiachia mle ndani lakini pia kwenye gari ilitundikwa Rozari ambayo anaifahamu siku nyingi kuwa ni ya mama Kulwa.

**************************************
Samson akiwa darasani alitafakari maneno ya mama Kulwa huku akizidi kushangaa Nini kimefanya mama Kulwa kuwa mpole vile, na hata hivyo kumpatia kiasi kikubwa cha pesa, ambacho haikuwa rahisi kwa yule mama kutoa ile hela.
hakuwa na majibu rahisi akabaki anafurahia zile hela ambazo kwa kujibana angeweza kutumia hata miezi miwili.

Alianza kuwaza akilinganisha ubora wa makazi yote mawili, aligundua kuwa kwa mama Kulwa ni kuzuri na kumekaa kishua zaidi kwani nyumba hazijabanana kama kule kwa Tausi, lakini pia ilikuwa karibu na shule akajikuta kwa asilimia tisini ni bora kwa mama Kulwa, ila akazidiwa na jambo moja tu lililoshusha asilimia zote za kule kwa mama Kulwa,
Alikuwa ni Rahma.

Rahma alimteka sana Samson, kiasi Cha kufikia kuwa hata angeambiwa afanye kazi zote kwa Tausi angefanya lengo awe karibu na Samson tu, hakika mambo mengi yalianza kushuka kwa Samson hata ufanisi na umahiri wake darasani ulipungua kiasi cha baadhi ya walimu kumshitukia.
Alirudi nyumbani jioni ile akawakuta familia nzima yaani Mzee Mgaya, Tausi mwenyewe pamoja na majirani waliokuja kutoa pole kwa Tausi.

Jamani mwanangu Samson huyoo yaani nimetoka kukuulizia kwa dadako siyo muda maaba hata sisi tumefika hapa kama masaa mawili yaliyopita, aliongea Tausi huku Mzee Mgaya akipenda jinsi mkewe alivyopata nafuu.

Mawazo ya samson yalikuwa kwa Rahma tu, alitamani awaulize waliokaa pale kuhusu Rahma lakini akaona asije akashitukiwa Maana familia nzima inajua Hana mazoea naye.

Alitoka nje akamuona Rahma kwa mbali yupo karibu na lilipo Bomba la maji akiwa anafunga mpira ili amwagilie maua kuizunguka nyumba yao macho yaligongana wote wawili wakitabasamu, Rahma akamuita Samson kwa ishara ya kufumba na kufumbua kiganja cha mkono.

Yaani Samson wewe bado mtoto sana tu, tena mtoto mdogo
Sasa ule usingizi gani, mtu unalala kama umekufa, Sasa kwa mfano tungevamiwa? yaani badala ya kulala huku Ukiwa ngangari kusikilizia nini kimejiri nje wewe unalala kama mlevi. Sasa Cha kuja kulala kwangu ni nini si bora ningelala mwenyewe.
aliongea Rahma akionesha kukerwa na hata uso wake ulionesha dharau kwa Samson.

Itaendelea.......................
Shukrani Mkuu. Tupo tunasubiri muendelezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom