Simulation gaming videos from Iringa Tanzania

Simulation gaming videos from Iringa Tanzania

nasubiri mwez wa 12 wakishusha bei ninunue jumla hii ets2 nianze kuicheza online
 
Jaman hizi mods mm siwez kuziweka nisaidieni natumia version 1.25.2.6s
download mod unayoitaka , iextract kama ipo kwenye mfumo wa rar , zip au 7Z , then copy mod yako kaipaste kwenye my documents/euro truck sim/mods
 
habari naomba maelekezo ya jinsi ya ku upgrade version ya euro simulator. mimi ninayotumia ni v. 1.3
 
Wakuu naomba msaada jinsi ya ku download game kwa kutumia kik kass torrent, mfano nataka kudownload battlefield bad company, nikiingia sehemu ya ku search pale zinakuja nyingi nashindwa kuelewa ni ipi ya kudownload
 
Wakuu naomba msaada jinsi ya ku download game kwa kutumia kik kass torrent, mfano nataka kudownload battlefield bad company, nikiingia sehemu ya ku search pale zinakuja nyingi nashindwa kuelewa ni ipi ya kudownload
Ukisearch angalia zile zenye seeders wengi na pia pitia comments za wenzako utapata mwanga wa quality ya unachotaka kudownload..
 
habari naomba maelekezo ya jinsi ya ku upgrade version ya euro simulator. mimi ninayotumia ni v. 1.3
Sidhani kama ets ina option ya ku upgrade directly.. Ni lazima udownload version mpya yote kisha uinstall upya.. Ila profile zako za nyuma huwa inavuta kama zilivyo kwa level uliyopo..
 
download mod unayoitaka , iextract kama ipo kwenye mfumo wa rar , zip au 7Z , then copy mod yako kaipaste kwenye my documents/euro truck sim/mods
Je naweza kupata wapi mods za version Yangu mkuu.. afu pia hii niliyo nayo aiwezi kuinstall naecheza kupitia file lake la bin
 
American truck simulator sjaitumia sana ila kwenye euro truck simulator kuna map nyingi sana.. Mi naipenda moja tu yenye part of african countries (north africa) humo kuna barabara kama za bongo tu.. Kuna sehem nyingine ukiwa na gari haina nguvu hupandishi na mzigo wako..
Hiyo map unatumia kweny version ipi ya ets?
 
Hongera sana ila lugha uliyotumia kuelezea video yako imekufanya ikutoe katika reli, ungetumia native language ungetoka bomba sana, okey! hiyo meza na vikorokoro vyake vyote unauzaje?
 
Je naweza kupata wapi mods za version Yangu mkuu.. afu pia hii niliyo nayo aiwezi kuinstall naecheza kupitia file lake la bin
sio kesi bado folder la mods utalikuta palepale kwenye documents
 
Asanteni wakuu nmepata pes 2017. Ne nina download need for speed 2017 kwa wenye experince je ni nzuri?
 
Back
Top Bottom