HansMapunda
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 456
- 260
- Thread starter
- #121
Hongera sana ila lugha uliyotumia kuelezea video yako imekufanya ikutoe katika reli, ungetumia native language ungetoka bomba sana, okey! hiyo meza na vikorokoro vyake vyote unauzaje?
Swala ambalo lilijitokeza ni kwamba video zangu za nyuma watu walitoa maoni kwamba nitengeze kwa kingereza ili wengi waelewe. Ila haina shida kuna nyingine naitenegeneza nitaedit kwa lugha ya kiswahili pia. Video hiyo itakuwa deep zaidi. asante kwa ushauri itazungumzia jinsi ya kuhack gamepad na kutumia arduino Uno kwa ajili ya projects mbalimbali.