Simulation gaming videos from Iringa Tanzania

Simulation gaming videos from Iringa Tanzania

Umatuma version gani mkuu.. Mbona ipo.. Ukienda kwenye settings then chagua gameplay scrow hadi kwenye truck settings kuna sehem imeandikwa truck speed limiter uncheck hiyo..
Mm natumia euro truck simulator 2 v1.3.1 nmetafuta sana yn
 
Duh.. V 1.3 ni ya zamani sana.. Kuna vingi sana vimebadilika hito hata mi skumbuki settings zake zinakuaje.. Tafuta latest kidogo kuanzia v1. 22. Hivi na kuendelea ndo utafaidi... Hiyo iko nyuma sana manake saiz tupo v1. 25 mkuu..
 
Ukienda kwenye settings then gameplay kama skosei kuna sehem ya ku uncheck automatic speed limit something like that.. Hii huwa inalimit gari automatic kwenye speed limit ya eneo husika.. Yaani kama limit ni 30mph gari automatic linarudi kwenye speed hiyo hata ukanyage vipi sanasana itaongezeka kidogo sana na gari inakuwa nzito.. Ukitoa hiyo gari inakuwa free kutembea speed kulingana na uwezo wa gari lenyewe.. Ila nakushauri pia tumia gari zenye horse power kubwa kama volvo..kuna volvo moja ukiupgrade inaenda mpka hp 700 nadhani.. So linakuwa na nguvu balaa na kwenye tambarare ni control yako tu..
Volvo inaenda mpaka 750
 
Duh.. V 1.3 ni ya zamani sana.. Kuna vingi sana vimebadilika hito hata mi skumbuki settings zake zinakuaje.. Tafuta latest kidogo kuanzia v1. 22. Hivi na kuendelea ndo utafaidi... Hiyo iko nyuma sana manake saiz tupo v1. 25 mkuu..
Daah pw ase hyo latest version maximum ina gb ngp
 
kwenye American truck simulator 2, map ipi ipo powaaa maana mi natumia ile map ya kawaida na viva Mexican v1.9 ila nimezicheza hadi zinachosha nataka map mpya, garage nyingi
 
kwenye American truck simulator 2, map ipi ipo powaaa maana mi natumia ile map ya kawaida na viva Mexican v1.9 ila nimezicheza hadi zinachosha nataka map mpya, garage nyingi
American truck simulator sjaitumia sana ila kwenye euro truck simulator kuna map nyingi sana.. Mi naipenda moja tu yenye part of african countries (north africa) humo kuna barabara kama za bongo tu.. Kuna sehem nyingine ukiwa na gari haina nguvu hupandishi na mzigo wako..
 
American truck simulator sjaitumia sana ila kwenye euro truck simulator kuna map nyingi sana.. Mi naipenda moja tu yenye part of african countries (north africa) humo kuna barabara kama za bongo tu.. Kuna sehem nyingine ukiwa na gari haina nguvu hupandishi na mzigo wako..
Euro truck simulator, ilinishinda safari zake zinachukua muda sana kuisha hata uende speed vip, mfano km 1800 unaeza utumie hata dakika 45 tofaut na American truck speed ndo inadetermine finishing time
 
Euro truck simulator, ilinishinda safari zake zinachukua muda sana kuisha hata uende speed vip, mfano km 1800 unaeza utumie hata dakika 45 tofaut na American truck speed ndo inadetermine finishing time
Duh.. Kweli tunatofautiana.. Mi naona kawaida tu..sanasana inategemea na speed yako pia.. Na mimi huwa napenda haswa safari ndefu sanasana from casablanca hadi miji ya libya huko..
 
Duh.. Kweli tunatofautiana.. Mi naona kawaida tu..sanasana inategemea na speed yako pia.. Na mimi huwa napenda haswa safari ndefu sanasana from casablanca hadi miji ya libya huko..
yaaan mkuu ungekuwa umecheza na American truck kwa muda mrefu ungenielewa ninachosema yaan mfano, mi nikiwa na job ya 2500kms kwa American truck na wewe ukawa na 2500kms Euro truck let say mi niende maximum 150km/h wewe hata uende 168km/hr mi ntawahi kufika kabla yako, American truck inacount kms kama seconds hv
 
Flight simulator zipo nyingi mkuu.. Kuna ya Microsoft, kuna flightgear, kuna x plane.. So inategemea we unataka ipi.. Mi natumia maranyingi Microsoft flight simulator ingawa flightgear nayo ipo poa afu ndo free.. Microsoft ni ya kununua labda utumie za crack kama mimi..
 
Back
Top Bottom