pablojunior
Senior Member
- Apr 15, 2014
- 159
- 38
mkuu pole ila huyo ni tabia yake aisee sasa una muda gani hujawai shika cmu yake ni sina shaka huyo ---- anakuja hapo kwako ukiwa haupo fanya maamuzi magumu ila ya busara piga chini malaya huyo.
nashukuru kwa ushauri wako wanawake ni viumbe wanaostaajabisha sana hawajui hata kumeasure energy ambazo mtu unatumia ili kuweka life kuwa shwari/kazi kubwa ni ushetani tu!mkuu hivi unawajua wanawake akipata hawara anayempa kiburi au unawasikia kama hayajakukuta omba mungu yasikukute ndugu yangu , kuna braza angu mpaka leo hajaoa maana baada ya kugundua mengi ya mkewe alinrudia mungu, lakini malipo hapa hapa duniani, ushauri kwa mtoa mada kuwa mvumilivu , kunywa maji mengi, japo msosi hautopanda kwa mwezi mmoja, jichanganye kwa watu ..kuwa bize tu wapende wanao ikipita miezi mitatu utapata maamuzi sahihi ila magumu..
Kama nimezoe kupigwa miti nasikilizia kooni nakuja kutana na kitu konagusa juu juu unategemea what next?
Kuhusu kwa omary alishaenda kwahiyo hamna issue....cha muhimu ni kupunguza machungu!Mawazo mengine MH.... Usipomjali anamfuata Ommary wanajinafasi vilivyo; Kipigo unaweza kuua ukafia jela; Kutoibanjua k ni green light ya Ommary kujilia bila matatizo. Machungu yapo ni vyema akazidisha upendo kwa mke wake na kama ni kutafuta viagra aitafute mapema. Mwanamke hapigwi kwa fimbo bali (utajaza mwenyewe).
hana haja ya kumpata Ommy.....paka shume ni paka shume tu! Get rid of that thing(her)Haya nenda sasa kamsaidie kumpata huyo ommy,manake naona unang'ang'ania ukimwi huku umesahau ulipitia vingapi mpaka hapo ulipokuja kugutuka na kupata elmu ya Ukimwi,
Mkuu najua unavyojisikia wakati huu mgumu ila hao 18yrs unaotaka kuwakimbilia hakika utalia zaidi ya hapa....miss chagga kwa mimi nimavyofamu maisha ktk ndoa ni kuvumiliana na kuheshimiana na kuwa mwili mmoja ili kutengeneza future ya watoto/nafahamu ktk ndoa kuna kuzoeana na hata kuchokana sometimes hapo hupaswa kuwa makini/ni kweli utakapo chepuka hapo tu hukutana na pengine mambo mapya na endapo kama wewe ni limbukeni ndio wale wanaodump familia zao kwa ajili ya penzi jipya k ni zilezile/g's ziko shm ileile clrs imekaa palepale kwa zote duniani/tatizo kutojitambua nafikiri/she now 31 jua linaelekea kuzama myself am 36 naweza kuoa mwenye miaka 18 quickly/ni nani hapo atapata hasara!
18 mwdnye maadili mema anayemjua mungu/pia kuna jambo moja naweza kutoa ujuzi kidogo,kivuli cha maisha ya wazazi wa bint ni muhimu sana/ktk kuoa/nilipuuza hilo/Mkuu najua unavyojisikia wakati huu mgumu ila hao 18yrs unaotaka kuwakimbilia hakika utalia zaidi ya hapa....
Kinatekenya
Inawezekana ikawa ya @SIMIYU YETU au @IFWEERO
hasara inategemea na malengo yake... kama atahitaji kuolewa hapo ndiyo itakuwa hasaramiss chagga kwa mimi nimavyofamu maisha ktk ndoa ni kuvumiliana na kuheshimiana na kuwa mwili mmoja ili kutengeneza future ya watoto/nafahamu ktk ndoa kuna kuzoeana na hata kuchokana sometimes hapo hupaswa kuwa makini/ni kweli utakapo chepuka hapo tu hukutana na pengine mambo mapya na endapo kama wewe ni limbukeni ndio wale wanaodump familia zao kwa ajili ya penzi jipya k ni zilezile/g's ziko shm ileile clrs imekaa palepale kwa zote duniani/tatizo kutojitambua nafikiri/she now 31 jua linaelekea kuzama myself am 36 naweza kuoa mwenye miaka 18 quickly/ni nani hapo atapata hasara!
Mkuu najua unavyojisikia wakati huu mgumu ila hao 18yrs unaotaka kuwakimbilia hakika utalia zaidi ya hapa....
Mbona unakazania sana kibamia ww?
Labda nikuulize swali, wanawake wote wanaotoka nje ya ndoa zao waume zao wanavibamia?
Siku hizi kila mtu amekuwa jinamizi la talaka kwani mapenzi yamewekwa rehani na mjanja ndiyo anawahi. We unaenda kazini wenzako wanarudi kujivinjari tena kitandani kwako. Inauma ila ndiyo hivyo tena, ni kujikaza tu kaka.