Simu ya wife

Simu ya wife

mkuu pole ila huyo ni tabia yake aisee sasa una muda gani hujawai shika cmu yake ni sina shaka huyo ---- anakuja hapo kwako ukiwa haupo fanya maamuzi magumu ila ya busara piga chini malaya huyo.
 
mkuu hivi unawajua wanawake akipata hawara anayempa kiburi au unawasikia kama hayajakukuta omba mungu yasikukute ndugu yangu , kuna braza angu mpaka leo hajaoa maana baada ya kugundua mengi ya mkewe alinrudia mungu, lakini malipo hapa hapa duniani, ushauri kwa mtoa mada kuwa mvumilivu , kunywa maji mengi, japo msosi hautopanda kwa mwezi mmoja, jichanganye kwa watu ..kuwa bize tu wapende wanao ikipita miezi mitatu utapata maamuzi sahihi ila magumu..
nashukuru kwa ushauri wako wanawake ni viumbe wanaostaajabisha sana hawajui hata kumeasure energy ambazo mtu unatumia ili kuweka life kuwa shwari/kazi kubwa ni ushetani tu!
 
Mawazo mengine MH.... Usipomjali anamfuata Ommary wanajinafasi vilivyo; Kipigo unaweza kuua ukafia jela; Kutoibanjua k ni green light ya Ommary kujilia bila matatizo. Machungu yapo ni vyema akazidisha upendo kwa mke wake na kama ni kutafuta viagra aitafute mapema. Mwanamke hapigwi kwa fimbo bali (utajaza mwenyewe).
Kuhusu kwa omary alishaenda kwahiyo hamna issue....cha muhimu ni kupunguza machungu!
hata akiamua kumchukua huyo mwananmke na kumpeleka kwa omary tena kirafiki kabisa kuwa kaa naye hata wiki ama mwezi kabisa halafu aje na kwangu pia unahalalisha sharing kabisa, uone kama wataweza!
 
Haya nenda sasa kamsaidie kumpata huyo ommy,manake naona unang'ang'ania ukimwi huku umesahau ulipitia vingapi mpaka hapo ulipokuja kugutuka na kupata elmu ya Ukimwi,
hana haja ya kumpata Ommy.....paka shume ni paka shume tu! Get rid of that thing(her)
 
miss chagga kwa mimi nimavyofamu maisha ktk ndoa ni kuvumiliana na kuheshimiana na kuwa mwili mmoja ili kutengeneza future ya watoto/nafahamu ktk ndoa kuna kuzoeana na hata kuchokana sometimes hapo hupaswa kuwa makini/ni kweli utakapo chepuka hapo tu hukutana na pengine mambo mapya na endapo kama wewe ni limbukeni ndio wale wanaodump familia zao kwa ajili ya penzi jipya k ni zilezile/g's ziko shm ileile clrs imekaa palepale kwa zote duniani/tatizo kutojitambua nafikiri/she now 31 jua linaelekea kuzama myself am 36 naweza kuoa mwenye miaka 18 quickly/ni nani hapo atapata hasara!
 
Last edited by a moderator:
miss chagga kwa mimi nimavyofamu maisha ktk ndoa ni kuvumiliana na kuheshimiana na kuwa mwili mmoja ili kutengeneza future ya watoto/nafahamu ktk ndoa kuna kuzoeana na hata kuchokana sometimes hapo hupaswa kuwa makini/ni kweli utakapo chepuka hapo tu hukutana na pengine mambo mapya na endapo kama wewe ni limbukeni ndio wale wanaodump familia zao kwa ajili ya penzi jipya k ni zilezile/g's ziko shm ileile clrs imekaa palepale kwa zote duniani/tatizo kutojitambua nafikiri/she now 31 jua linaelekea kuzama myself am 36 naweza kuoa mwenye miaka 18 quickly/ni nani hapo atapata hasara!
Mkuu najua unavyojisikia wakati huu mgumu ila hao 18yrs unaotaka kuwakimbilia hakika utalia zaidi ya hapa....
 
Last edited by a moderator:
Mkuu najua unavyojisikia wakati huu mgumu ila hao 18yrs unaotaka kuwakimbilia hakika utalia zaidi ya hapa....
18 mwdnye maadili mema anayemjua mungu/pia kuna jambo moja naweza kutoa ujuzi kidogo,kivuli cha maisha ya wazazi wa bint ni muhimu sana/ktk kuoa/nilipuuza hilo/
 
Crocodiletooth akueleze ukweli kisha umkanye;
Angalia watoto wenu wawili hata omary hatakubali kuwaleya;
Hujui pia ya huko mbele unaweza kukutana na kichwa ngumu
na kila mara akakuambia ndiyo maana ulishindwa kukaa na mkeo;

Mpe onyo, mvumilie hiyo ni jana bado mna mwendo mrefu sana
kufika kesho;

Watoto hao jamani wataanza kuzodolewa vidole vya puani na wamama wa kambo.

Chonde chonde yamalize kiume.
 
Siku hizi kila mtu amekuwa jinamizi la talaka kwani mapenzi yamewekwa rehani na mjanja ndiyo anawahi. We unaenda kazini wenzako wanarudi kujivinjari tena kitandani kwako. Inauma ila ndiyo hivyo tena, ni kujikaza tu kaka.
 
miss chagga kwa mimi nimavyofamu maisha ktk ndoa ni kuvumiliana na kuheshimiana na kuwa mwili mmoja ili kutengeneza future ya watoto/nafahamu ktk ndoa kuna kuzoeana na hata kuchokana sometimes hapo hupaswa kuwa makini/ni kweli utakapo chepuka hapo tu hukutana na pengine mambo mapya na endapo kama wewe ni limbukeni ndio wale wanaodump familia zao kwa ajili ya penzi jipya k ni zilezile/g's ziko shm ileile clrs imekaa palepale kwa zote duniani/tatizo kutojitambua nafikiri/she now 31 jua linaelekea kuzama myself am 36 naweza kuoa mwenye miaka 18 quickly/ni nani hapo atapata hasara!
hasara inategemea na malengo yake... kama atahitaji kuolewa hapo ndiyo itakuwa hasara
 
Pole kaka dunia imebadilika kwa sasa. Kikubwa ufuatilie kwa umakini ujue kama kweli huyo mtu anamahusiano naye ya kimapenzi ama la! au ukute mume wa dada yake au mdogo wake wa kike ndio maana kasave hivyo maana nao wanaitanaga mke au mume wangu. Hata wifi yake pia kwa kaka yake wengine wanaitana mume wangu cz wao ndio wameoa. Labda kama tabia yake ya kuficha simu ndio ikufikishe kwenye hiyo hofu pamoja na hiyo msg.

But all in all u get where to start. Ila hala hala ucje kuwa nawe ndio hao hao maana kunya anye kuku akinya bata KAHARISHA
 
jaman barabara kuu foleni, michepuko ndo dili ila huyu yeye amezidi adi kumsave mchepuko wake "mume wangu" apo mkuu omba poo
 
simu ya mkeo ulikuwa unatafuta nini mangi? au ndo mwizi kutopenda kuibiwa!!!! hakuna cha kujadili hapa,,, umepekua simu wenzio wanapekua mashine.... amua mwenyewe mkuu.....ulichokuwa unakitafuta umekipata, ushauri wa nini tena....
 
ungepokea ujue moja...but kwa ushauri mpige chini fasta kabla hajakuletea ngoma
 
Siku hizi kila mtu amekuwa jinamizi la talaka kwani mapenzi yamewekwa rehani na mjanja ndiyo anawahi. We unaenda kazini wenzako wanarudi kujivinjari tena kitandani kwako. Inauma ila ndiyo hivyo tena, ni kujikaza tu kaka.

duh....kujikaza!!!!! usiombe yakukute jamaa.....endelea kuwa mbishi tuu....
 
Back
Top Bottom