Simu ya wife

Simu ya wife

Kwa nini unapekuwa vitu visivyo kuhusu, maisha ya ndoa ni ya kuaminiana, hayo mengine mnatafuta matatizo tu hapa duniani. Wengi tumekuta wake zetu sio bikra watu wameisha pita kinachokuaminisha kuwa ukioa basi ile njia inakuwa yako peke yako kitu gani.
 
mpige kbooty huyo ni kahaba hana mpango/tengeneza njia mpya bro! jivue gamba huyo ni mchangu tu! aikenyi saana
 
boresha mapenzi labda humpatii anachopenda....ndo maaana anachepuka.Mjulishe kuwa umeona hiyo number usimpe nafasi ajieleze.cha msingi msamehe songa mbele na life
 
Wana JF leo nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo ukizingatia huificha kibindoni kila dakika, leo alipotea timing hivyo aliiwacha katika kochi sebuleni, kilicho nishtua ni vibration hamadi nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa "mmewangu".

Hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI

NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?

Yani kweli keo anategemea kua na mwanaume ka wewe ambaye umeshindwa kufanya maamuzi katika jambo ka hilo, anajuta kuolewa na mvulana ka wewe ndo mana amekutafutia mwenzako.

Inaonekana hata moto ukitokea kwako utakuja kuomba ushauri kwanza huku.
 
he he he, afu namba yangu nimesajili Hamis A. Juma.

!
!
hakuna haja ya kuoa kwa sababu hakuna kilicho ndani ya ndoa ambacho nje hakipo, ila vipo vingi nje ambavyo ndani havipo.
All in all natamani ingekuwa mimi ndio kaniletea huo udambu udambu mbona ningemshikisha adabu.....nimgemtengeneza mpaka akinikumbuka atamani kutapika,ningemuektia bonge la series ambalo producer na sterling ningekuwa mie mwenyewe lingeitwa "paybacktime kwa ma@nina bladful kenge manyoya"

Hawa mbwiga wanasumbua sana siku hizi mkuu, ndio maana hawaolewi, list ya wagongaji imekuwa kubwa kuliko list ya waoaji, mpaka mwanaume anatoa mahari anaoa, anakuhudumia kwa kila kitu bado unaleta ubazazi, lol!
 
Hawa mbwiga wanasumbua sana siku hizi mkuu, ndio maana hawaolewi, list ya wagongaji imekuwa kubwa kuliko list ya waoaji, mpaka mwanaume anatoa mahari anaoa, anakuhudumia kwa kila kitu bado unaleta ubazazi, lol!

!
!
hawa kenge ni kipigo mpaka wamwelewe Ali Kiba na Jide.....maana Mavoko havumiliki, haiwezi kuwa siri ya ndani
 
mapenzi ya sasa hivi ruksa kushikana ila sio kushikiana simu
fid q
 
kuna mshenzi mmoja, yeye ckumgundua kua ana mtu, ila alikua anaonesha dharau na kushindwa kutofautisha kati ya ndoa na mahsiano ya kishenzi
nliperemba na kmvutia kasi kw miezi kama 6 ivi, kila nkimvumilia kumueka sawa anazidisha, anafkiria kua nashindwa kutake action.
aiseee siku nlipomuamulia nlimtia mikonono, nlimshikisha adabu
kudadeki hansahau maisha yke, mana nlimsagasaga asirudie upuuzi wake ata kwa mwanaume mwingine,
nmemuachia kovu la maisha ili akumbuke kua m.mme c wakuchezea, akichoka na m.mme mwambie aafu sepa, sio kumfanyia vitimbi, utaumizwaaa
 
Wana JF leo
nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo
ukizingatia huificha kibindoni kila dakika, leo alipotea timing hivyo
aliiwacha katika kochi sebuleni, kilicho nishtua ni vibration hamadi
nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa
"mmewangu".

Hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK
PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI

NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?

mwambie kwa upole akupe maelezo pole ila mkuu kuanzia leo jua unachokitafta kwenye sim ya mtu alwayz kipo so...?
 
kuna mshenzi mmoja, yeye
ckumgundua kua ana mtu, ila alikua anaonesha dharau na kushindwa
kutofautisha kati ya ndoa na mahsiano ya kishenzi
nliperemba na kmvutia kasi kw miezi kama 6 ivi, kila nkimvumilia kumueka
sawa anazidisha, anafkiria kua nashindwa kutake action.
aiseee siku nlipomuamulia nlimtia mikonono, nlimshikisha adabu
kudadeki hansahau maisha yke, mana nlimsagasaga asirudie upuuzi wake ata
kwa mwanaume mwingine,
nmemuachia kovu la maisha ili akumbuke kua m.mme c wakuchezea, akichoka
na m.mme mwambie aafu sepa, sio kumfanyia vitimbi, utaumizwaaa

sio vizur ungempuuzia aendelee na maisha yake mkuu
 
Back
Top Bottom