Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,436
- 50,163
Hiyo ni disqualification ya kuwa nawe katika ndoa, in other words yeye hakutambui wewe kama mumewe, which implies that hapo ulipo unaishi na mke wa mtu bila kujijua,
Hapo unamtunza ng'ombe then wenzako wanakuja kukamua maziwa huku wewe umewashikia mapembe
Hapo unamtunza ng'ombe then wenzako wanakuja kukamua maziwa huku wewe umewashikia mapembe