Simu ya wife

Simu ya wife

Kiranga komooooooo.........................
Ndo ujue kwa nini wife anaificha ficha simu yake na hataki uione. Nawe ilibidi uiogope kama ukoma kuepusha ajali kama hizo ona sasa utapungua kilo bila kupenda.
Ushauri: Nenda nae na umuulize taratibu na kiustaarabu kama unakunywa mipombe hakikisha haugusii hili suala ukiwa umelewa mana utakuwa unauliza huku unaogopa ogopa
BT: KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI.

Umesema amuulize taratibu na kiustaarabu???!!!!! Khaaaa...... Aiseee
 
Jadoki kama jina la kiomera hivi? Mkuu kauli yako imeniogopesha,kwamba nipende nisipende ntaoa tu! Una maana gani?

Umeogopa nini mkuu maana kuoa ni wajibu bora ufanye maamuzi sasa ili upambane na changamoto za ndoa kama zitajitokeza kuliko kusema huoi itafika muda tu utahitaji kuwa na mtu permanent maana hata milupo nayo ina umri wake kwani ukifika muda flani inabidi uwe na cash lakini wakati wa ujana hata kama una hela unaweza ukawa mzee wa fiksi na siku zinakwenda. Unachotakiwa kuangalia hasa mtaa uliokaa na rafiki uliowafahamu ni wangapi ndoa zao zilikuwa na shida mpaka zikapalanganyika jibu utakalopata hapo ndilo litakalokufanya ufanye maamuzi
 
Kwahiyo we ni hawara basi, huyo aliyekuwa anapiga simu ndo mume. Sasa kwanini hujamuliza huyo mume anakaa wapi ili we hawara ujue utaratibu mwingine maana ukikutwa hapo utageuzwa wewe. Kama haukumuliza basi umepoteza ushahidi muhimu.
 
Wana JF leo nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo ukizingatia huificha kibindoni kila dakika, leo alipotea timing hivyo aliiwacha katika kochi sebuleni, kilicho nishtua ni vibration hamadi nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa "mmewangu".

Hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI

NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?



Unataka kupata shinikizo la moyo,,,,endelea na upekuzi wa simu
 
Muite ba' mkwe aje amchukue binti ake, siku nyege zikimuisha utamfata
pambafff zake
 
Wana JF leo nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo ukizingatia huificha kibindoni kila dakika, leo alipotea timing hivyo aliiwacha katika kochi sebuleni, kilicho nishtua ni vibration hamadi nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa "mmewangu".

Hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI

NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?
labda binamu yake?, usikurupuke ndugu wakati mwingine wana pima imani zenu?
 
Wana JF leo nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo ukizingatia huificha kibindoni kila dakika, leo alipotea timing hivyo aliiwacha katika kochi sebuleni, kilicho nishtua ni vibration hamadi nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa "mmewangu".

Hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI

NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?
Mkuu ni mkeo umefunga nae ndoa au ndo hivo kimjini mjini, kama ni kimjini I got nothn to say but kama ni wife wa ndoa basi fuatilia kimyakimya tena bila hata kumwambia mkeo mpaka ukishapata uhakika then it will b ur choice
 
ukome kupekua simu ya mwenzio.... kwa hiyo umetoa wapi guvu za kuandika uzi ? nataka kuamini wewe unashida kitandani au mbahili au mchoyo au unakibamia ndiyo maana ujachukua hatua mpaka sasa kwa kuwa anakufichia siri

Ana nn? Acha bas
 
inasaidia kujua kama kilichompeleka ni genye tu au ndio kesha fall jumla jumla....

Si unaona hapa tunapata shida kumtuliza mleta thread kwa kuwa mamaa ametumia neno zito 'mume wangu'...

Ukijua ni genye tu utafanyaje? Na ukija kugundua kuwa mchepeko ni mashallah umejaliwa kuliko wewe itakuwaje? (Maana wanawake mnatabia za kuangaliana kwa jicho hilo). Wanaume tupo kimshiko na madaraka zaidi. Na ukigundua mchepuko ndoo upo ka kinyago utafanyaje? Nyumba kubwa, kula maisha achana na simu yake. Shauri yako, utakuja nikumbuka siku moja. Labda kama unatafuta talaka endelea
 
Wana JF leo nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo ukizingatia huificha kibindoni kila dakika, leo alipotea timing hivyo aliiwacha katika kochi sebuleni, kilicho nishtua ni vibration hamadi nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa "mmewangu".

Hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI

NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?

Huenda mimi mgeni nina miaka mitatu ya ndoa simu yangu ya mke wangu ipo free mdaa wote kuna watu hua wakisimulia wanavyoishi na wake zao hua nashangaa saana wewe mke wako anaficha simu unaonaa tuu unaweza kua stipid....

Tangu siku nilipofunga ndoa sisi ji mwili mmoja hakuna kufichana chochote mimi naoga na mke wangu nakula nae natoka nae out simu yangu kwake free anacheza game kama hana salio anatumia simu yangu kama sina natumia yake ...
 
Huenda mimi mgeni nina miaka mitatu ya ndoa simu yangu ya mke wangu ipo free mdaa wote kuna watu hua wakisimulia wanavyoishi na wake zao hua nashangaa saana wewe mke wako anaficha simu unaonaa tuu unaweza kua stipid....

Tangu siku nilipofunga ndoa sisi ji mwili mmoja hakuna kufichana chochote mimi naoga na mke wangu nakula nae natoka nae out simu yangu kwake free anacheza game kama hana salio anatumia simu yangu kama sina natumia yake ...
Hata mimi ilikuwa hivyo,/let keep waiting! pia omba mungu shetani asiingilie / hakuna anayetarajia upuuzi huu /walishaandikwa ktk vitabu ni weak creature/ref~ adam&eve bro!
 
Back
Top Bottom