Simu ya wife

Simu ya wife

Hizi zinaweza kua kamba tu,ctaki kuamini kua mke wako anaweza kuwa na mchepuko akathubutu kuusave "mmewake" kwa nadharia ya ww kutoshika simu yake,inawezekana basi ww ndo mchepuko na huyo jamaa ndo mme wake,au kuna mtu aliiba simu yake akasave hivyo ili ukiiona amuharibie,bt all in all u ar a man brother thnk twice bfore acting!

Mkuu unabusara sana na kichwa chako kinafanya kazi vilivyo.
 
ukome kupekua simu ya mwenzio.... kwa hiyo umetoa wapi guvu za kuandika uzi ? nataka kuamini wewe unashida kitandani au mbahili au mchoyo au unakibamia ndiyo maana ujachukua hatua mpaka sasa kwa kuwa anakufichia siri
Utakuta Huyo mwenye namba ana UKUNI balaa ndo' maana mke kanasa..
 
Kha! Yani hapo hata sina ushauri. Yani ni sawa sawa mambo yamemshinda professa, sasa anahitaji mtoto wa form one amsaidie. Ni sheedah! Muombe Mungu wako akufunulie cha kufanya. Unaweza uka muimplicate huyo Omari kumbe wife tu ndio kajichanganya na wara huyo Omari wala hana time na mke wako.
 
Taasisi ya ndoa ni mtihani mkubwa sana. Muite bila woga akupe majibu ya kutosha, otherwise mpeleke kwao kabla hajakuunganisha kwenye grid ya taifa.
hapo ni sawa kabisa i must quit inakera sara sana kwani hakosi chochote! nafikiri labda sio wife material by nature!
 
Hata mimi nadhani ni wale wanaopenda matani ya kupitiliza wawapo makzini...

atakuwa tahahira kiasi gani mpaka a save jina la mchepuko njia kuu...

Kuna wengine wanaitumia hilo jina kuwaita mababu zao...

Kabla ya kuchukua uamuzi peleleza...

(ila mi siruhusu hubby amsave mtu yeyote kimahaba na simu napekenyua any time t..)

Ha ha ha haa unajiumiza bure. Unadhani akimsave vibaya mfano aamsave jambazi ndoo atamuacha?
 
umejitakia mwenyewe, ulitumwa, muone vile sikupi ushauri maana umetaka mwenyewe nilishasema simu ya mke/mume/mchumba si yakushika utakufa mapema kama ebola. sasa hapo umevunja ndoa yako wewe mwenyewe na si mwingine. K na mb zipogo.
 
Mkuu ndio ushaa megewa ivo kwa vile huyo jamaa anatumia line ya Tigo na wewe mtigolize tu!duuh kumegewa ina uma sana mkuu...
 
Mtupie makonde mawili, sukumizia ndonga angalau 3 na mashuti si haba then kaa nae chini akupe udaku, km majibu si ya kuridhisha MPOTEZE.
 
Pole sana mpendwa mwombe mungu akujalie maamuzi yenye busara
 
inasaidia kujua kama kilichompeleka ni genye tu au ndio kesha fall jumla jumla....

Si unaona hapa tunapata shida kumtuliza mleta thread kwa kuwa mamaa ametumia neno zito 'mume wangu'...


Ha ha ha haa unajiumiza bure. Unadhani akimsave vibaya mfano aamsave jambazi ndoo atamuacha?
 
Wana JF leo nimejaribu kupekuwa simu ya mke wangu ambayo huwa siko huru nayo ukizingatia huificha kibindoni kila dakika, leo alipotea timing hivyo aliiwacha katika kochi sebuleni, kilicho nishtua ni vibration hamadi nikaitia mkononi kuangalia nikakuta jina linaloita limeseviwa "mmewangu".

Hakika nguvu zimeniishia jina hilo lilikuwa na namba 0718 178 87(.)/KTK PEKUA PEKUWA ILISOMEKA KAMA NDG OMARY, A HAKIKA SIELEWI

NIFANYEJE MPAKA MUDA HUU! TOTAL COMFUSED, SO WHAT SHOULD I DO?

Mkuu bora ukae kimya maana ninavyokusoma ukimuuliza anaweza kukushushia kichapo cha kufa mtu, unanshangaza sana mwanaume kutokuwa na maamuzi kiasi cha kuchanganyikiwa..weak!weak!
 
Hizi zinaweza kua kamba tu,ctaki kuamini kua mke wako anaweza kuwa na mchepuko akathubutu kuusave "mmewake" kwa nadharia ya ww kutoshika simu yake,inawezekana basi ww ndo mchepuko na huyo jamaa ndo mme wake,au kuna mtu aliiba simu yake akasave hivyo ili ukiiona amuharibie,bt all in all u ar a man brother thnk twice bfore acting!

mkuu hivi unawajua wanawake akipata hawara anayempa kiburi au unawasikia kama hayajakukuta omba mungu yasikukute ndugu yangu , kuna braza angu mpaka leo hajaoa maana baada ya kugundua mengi ya mkewe alinrudia mungu, lakini malipo hapa hapa duniani, ushauri kwa mtoa mada kuwa mvumilivu , kunywa maji mengi, japo msosi hautopanda kwa mwezi mmoja, jichanganye kwa watu ..kuwa bize tu wapende wanao ikipita miezi mitatu utapata maamuzi sahihi ila magumu..
 
mkuu kufall kwa hawara daah haya mapenzi ya kisasa shida tupu ,mtoa mada hawa viumbe wetu ni wakuishi nao kwa umakini sana , mkuu coz hawaeleweki kama kabisa, ukiwa na moyo mwepesi wanaweza kuharibu maisha ukaishia jela, sasa hivi usimuulize coz kipindi hichi anaweza akakejeli , kwa maneni kama na ww mwanaume katika wanaume au kwetu cjaua narudi kwetu nk, ww muache tu kwa mda kama wa miezi mitatu hata k usipige then cku umuite umuulize taratibu . NB;;;NB;;;;NB;;;;;KASHAKUA ADUI YAKO TU ALIYE KUZALIA WATOTO...
 
Back
Top Bottom