kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,250
- 13,257
Hizi zinaweza kua kamba tu,ctaki kuamini kua mke wako anaweza kuwa na mchepuko akathubutu kuusave "mmewake" kwa nadharia ya ww kutoshika simu yake,inawezekana basi ww ndo mchepuko na huyo jamaa ndo mme wake,au kuna mtu aliiba simu yake akasave hivyo ili ukiiona amuharibie,bt all in all u ar a man brother thnk twice bfore acting!
Mkuu unabusara sana na kichwa chako kinafanya kazi vilivyo.