Simu ya wife

Simu ya wife

Mnunulie redio kolu, hiyo ndio suluhisho la tatizo lako la upekuzi wa simu ya mkeo
 
Pole sana kaka.ukiona watu adi wanafika uzeeni wakiwa kwenye ndoa wamepita mengi.
 
Hakika,mpaka amekuwa na ujasiri wa kum-save 'mme wangu' basi ujue kuna vingi ana provide huko pengine zaidi ya anavyokupa wewe,hana uoga! Zungumza nae,let her know kuwa umeshajua...atakachokujibu kita-determine maamuz yako whether kuendelea nae au kuachana nae.
Ila kama utafanya maamuz ya kuachana nae then itabd ushirikishe wazee.
 
Maamuzi yako binafsi ni muhimu.....ila kama huitaji kuendelea kuishi naye basi astahili adhabu yeyote zaidi ya kuchukua kilicho chake na kusepa!
Kama unahitaji kuendelea kuishi naye ni vema kufanya kitachokupa auheni na kupunguza machungu ama hasira, hivi vyaweza kuwa kutokumjali tena, kipigo cha mbwa koko, kutokushare naye chochote kwa muda utakao...kikubwa ni kupunguza machungu ndo muende sawa! Ila ubabe kwenye hili ni lazima Broo vinginevyo atakufanya bikini!
Mawazo mengine MH.... Usipomjali anamfuata Ommary wanajinafasi vilivyo; Kipigo unaweza kuua ukafia jela; Kutoibanjua k ni green light ya Ommary kujilia bila matatizo. Machungu yapo ni vyema akazidisha upendo kwa mke wake na kama ni kutafuta viagra aitafute mapema. Mwanamke hapigwi kwa fimbo bali (utajaza mwenyewe).
 
Kweli mkeo ninja yani na ukute wewe ujakusave kama huyo mzee wa dushe..ila sio mbaya ukachukua simu yake ujibip unaweza ukaambulia mmewangu2.,
 
ukome kupekua simu ya mwenzio.... kwa hiyo umetoa wapi guvu za kuandika uzi ? nataka kuamini wewe unashida kitandani au mbahili au mchoyo au unakibamia ndiyo maana ujachukua hatua mpaka sasa kwa kuwa anakufichia siri[/QUOTE miss chagga uamifu ktk ndoa ni jambo la muhimu sana/nimemtandika sana mikanda/by tommorrow namrudisha kwao mbeya/ujinga huu hauvumiliki!
Hongera kwa kuhalalisha Ommary kujitwalia bila hiana maana atamtumia nauli arejee kiulaini. Usimrudishe tafuta njia ya kumtuliza pepo la ngono
 
Hizi zinaweza kua kamba tu,ctaki kuamini kua mke wako anaweza kuwa na mchepuko akathubutu kuusave "mmewake" kwa nadharia ya ww kutoshika simu yake,inawezekana basi ww ndo mchepuko na huyo jamaa ndo mme wake,au kuna mtu aliiba simu yake akasave hivyo ili ukiiona amuharibie,bt all in all u ar a man brother thnk twice bfore acting!
 
Wanawake wanatabia ya kuitana ''dear'' na wanawake wenzao. Huenda huyo Ommy A ni demu mwenzie. Tuliza munkari kijana!

umeongea point kubwa sana ila sio mahala pake,ndio tunatabia ya kuitana dear,honey,sweetheart lakini mpaka kuserv mme wangu tena ni omary hmm hapana aisee
 
Naweza kukuazima kile cha kibindoni ukimaliza nacho kazi please nirudishie! Kova akijua ataniua!
 
ukome kupekua simu ya mwenzio.... kwa hiyo umetoa wapi guvu za kuandika uzi ? nataka kuamini wewe unashida kitandani au mbahili au mchoyo au unakibamia ndiyo maana ujachukua hatua mpaka sasa kwa kuwa anakufichia siri[/QUOTE miss chagga uamifu ktk ndoa ni jambo la muhimu sana/nimemtandika sana mikanda/by tommorrow namrudisha kwao mbeya/ujinga huu hauvumiliki!

Umekosea kumpiga mikanda ungemwacha tu
 
Last edited by a moderator:
Mamito kuwa mpole, kwa vile wewe upo mjini jaribu kupiga namba zifuatayo ukianzia na 0 hadi 9 mwishoni utampata huyo omary (0718 178 87(.). Ukimpata mtafazalishe aachane na mke wa huyu jamaa ukimpiga mkwara kuwa ana miwaya. Nitakushukuru kwa msaada huo. Baadaye usisahau kuleta mrejesho hapa jamvini

Naogopa kuchepuliwa na omari... ngoja nisajili namba nyingine nimpigie
 
Back
Top Bottom