BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,345
- Thread starter
- #61
Tecno hazijulikan kwenye soko la duniaTakwimu uchara hizi, tecno haipo!!!!, yani hadi Samsung inaipiku tecno???.
Tecno hazijulikan kwenye soko la duniaTakwimu uchara hizi, tecno haipo!!!!, yani hadi Samsung inaipiku tecno???.
2350mAh bado ni simu ya kusifia kweli kwa upande wa kukaa na chaji!!?, L8 ilikuwa na 5050mAh na L9 ina 5000mAh hapo nitaunga mkono, muda wote hutozima data na utacheza games bila wasiwasiSamsung galaxy A3 inayozungumziwa hapa ni ya mwaka 2017
View attachment 656976
Avatar hyo ni yako... Uko vizuri mnoo mtoto mashalahBila tecno hii mada hainogi hahaaa uwiii
Kuna Tecno L9 plus battery yake ina 5050mah sijaioba hapoEmbu weka apo tecno c9 huu mzigo nikichaji nasahaa kabisa
[emoji1] [emoji2] [emoji3] acha dharau mkuu,utafiti umeeleza cm zinazo julikana kwenye soko, au zinazo kaa na charge mudamrefu.Tecno hazijulikan kwenye soko la dunia
Takwimu uchara hizi, tecno haipo!!!!, yani hadi Samsung inaipiku tecno???.
Tecno sio SIMU ataiwekaje hapo?Mleta Mada kaamua kuchangamsha genge tu, hajui kuwa tecno zote versions za L na phantom zinakaa na chaji balaa ,hata Kama tecno hawazipendi lakini haki yake hii waipe basi
Hivi hakuna modification ya kuweka betri ya tecno kuiweka kwenye iPhone....!!!?
Tecno sio SIMU ataiwekaje hapo?