Simu Janja (Smartphone) 19 bora zinazokaa na chaji muda mrefu

Simu Janja (Smartphone) 19 bora zinazokaa na chaji muda mrefu

Bado huzijui Sony Xperia Z2 from the box ingetosha kukunyamazisha kabisa.
Nshatumia T, Z,C,M na sasa najipanga kuhamia kwenye X. Sony wapo vizuri kwa utunzaji wa charge
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sony kimeo kutana na Z4 iliyochoka dooh mpk basi
 
Mimi nimekuwa loyal customer wa blackberry hata iweje kwangu ndio chaguo la kwanza lianapokuja swala la kuchagua simu.
Hizo nyingine tumieni tu.
 
hata infinix, xiaomi, huawei, oppo, vivo, hawapo soko la magharibi.
Mkuu
Chief mkwawa we ni mwl wangu lakini hapo kwa Huawei nakupinga!

Huawei wameshajipenyeza kwenye soko la magharibi kitambo sasa
Huawei doubles smartphone market share in UK and France

Hiyo link japo ni data za nyuma ila zinaeleza ukweli

Honor, mate na p-series zinauzika sana ulaya mkuu!

https://www.google.com/amp/s/m.gadg...one-companies/lg-4/amp_photolist/60392658.cms
00cd3e3c749a335d3c383f0c4ce6d583.jpg



Hiyo contract wanayotafta kwa Network carries ni kuongeza ushindani kwa Samsung pamoja na apple ambao wame-monopolize zaidi soko la US!
 
Mkuu
Chief mkwawa we ni mwl wangu lakini hapo kwa Huawei nakupinga!

Huawei wameshajipenyeza kwenye soko la magharibi kitambo sasa
Huawei doubles smartphone market share in UK and France

Hiyo link japo ni data za nyuma ila zinaeleza ukweli

Honor, mate na p-series zinauzika sana ulaya mkuu!

LG - 4% - World's 7 biggest smartphone companies | Gadgets Now
00cd3e3c749a335d3c383f0c4ce6d583.jpg



Hiyo contract wanayotafta kwa Network carries ni kuongeza ushindani kwa Samsung pamoja na apple ambao wame-monopolize zaidi soko la US!
mkuu soko la magharibi mtu anaposema most of time anamaanisha marekani. na unapozungumzia marekani unazungumzia mitandao yao ya simu, wenzetu uuzaji wao wa simu si kama sisi, mitandao ya simu ndio imeshikilia kila sehemu. kama haupo At&T, verizon, T-mobile etc ni kama hu exist.

soko la marekani ni kubwa kuliko ulaya nzima ukiunganisha,

soma zaidi hapa
Huawei's Smartphone Market Share Is Growing Fast, But It Needs To Break The U.S. Market, And Soon
 
mi nadhani hapo mtoa uzi angezungumzia ukubwa wa battery yaani MAh
 
Samsung wanazingua kwenye charg japo wapo vizuri. Wameshindwa kwenye btry
Wapo vizuri kwenye nini ?

Ukiliangalia wale mashabiki wa kombe la dunia pale uwanjan utaona wengi wameshika Iphone.
 
Back
Top Bottom