Vp umeshawahi kuitumia hiyo?Kwasasa chati itabid ibadlike hapo weka infinix note 5 # 1
Bado ndo naisubiri 550 mpaka 6 kulingana na unaponunulia jumia pre order ni 450Vp umeshawahi kuitumia hiyo?
Kwasasa bei yake ipoje hapa Tz?
Tuondolee uchawiBila tecno hii mada hainogi hahaaa uwiii
Hii L5 inajitahidi saana.Kboko ya chaji tecno L5/L8 na L9Plus
Mkuu Chief-Mkwawa naomba nitajie smartphone inayokaa na chaji kwa sasa,angalau siku mbili au tatu kwa matumizi ya ubize mda hasa wote, hasa kuongea.sasa hivi Huawei na xiaomi wapo kwenye mazungumzo wauze simu zao usa na mitandao kama Verizon na AT&T, huawei ana visimu vidogo tu anauza tena kupitia site za online kama bestbuy na amazon huwezi kuta kwenye mitandao ya simu flagship za huawei ama xiaomi.
kama nadanganya lete ushahidi.
mimi ushahidi wangu huu hapa
Huawei and Xiaomi are trying to forge carrier partnerships and enter the US market
Kwa budget kiasi gani?Mkuu Chief-Mkwawa naomba nitajie smartphone inayokaa na chaji kwa sasa,angalau siku mbili au tatu kwa matumizi ya ubize mda hasa wote, hasa kuongea.
Kwa budget kiasi gani?
Angalia Uzi ni WA mwaka gani na hiyo simu imetoka mwaka gani?Siioni hapo Samsung Galaxy M31
Laki 4.5 mpaka 5.Kwa budget kiasi gani?
Simu za oppo kwa ubizi ni masaa 48 ukiitumia sana inakaa masaa 24Mkuu Chief-Mkwawa naomba nitajie smartphone inayokaa na chaji kwa sasa,angalau siku mbili au tatu kwa matumizi ya ubize mda hasa wote, hasa kuongea.
Na wewe pia unaangalia kupiga simu kama kigezo cha ukaaji chaji?Laki 5
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Ninayo moja A52 haikamati mitandao.Simu za oppo kwa ubizi ni masaa 48 ukiitumia sana inakaa masaa 24
Jamaa nimemjibu hapo, Moto G9 power ama Xiaomi Redmi 9T uhakika zote mbili zitakaa siku 3 kwa heavy use za kupiga simu.Laki 4.5 mpaka 5.
Tecno ndio habari ya mjini mkuu, hizo zingine ni porojo tu
Simu za oppo kwa ubizi ni masaa 48 ukiitumia sana inakaa masaa 24