Hiyo Uliyoiweka Wewe Ni Aina Gani Ya SimuGsm Arena hawajaiwekea maelezo yakutosha. Sijui kwa nn
Niliwahi kuandika humu, hii ni usb standard mpya ambayo inaenda hadi watts 240, hivyo tegemea simu kibao kuwa hivi, even infinix wana yao.
Hii itakuwa nzuri especially kwa sisi Waafrika sababu nishati ya umeme ni changamotoNiliwahi kuandika humu, hii ni usb standard mpya ambayo inaenda hadi watts 240, hivyo tegemea simu kibao kuwa hivi, even infinix wana yao.
Hivyo mkuu soon unatoona simu kibao zinazojaa kwa robo saa tu.
Hili panga linakata kote kote, maana battery nayo inakufa mapema, mwaka ama miaka 2 kama una matumizi makubwa kwisha kazi, battery inatakiwa ibadilishwe.Hii itakuwa nzuri especially kwa sisi Waafrika sababu nishati ya umeme ni changamoto
hapa batterh within 6 month's or a year lazma ubadishe au life kabisa
Tusubiri labda uko baadae watazifanyia marekebisho.Hili panga linakata kote kote, maana battery nayo inakufa mapema, mwaka ama miaka 2 kama una matumizi makubwa kwisha kazi, battery inatakiwa ibadilishwe.
Bado hazijatoka kwa simu ila prototype ya Xiaomi ya 200W inatumia dakika 8 kujaza simu.Tusubiri labda uko baadae watazifanyia marekebisho.
hivi simu yenye 240W.inatumia muda kiasi gani mpaka simu ijae full