Simu gani inajaa chaji mapema zaidi ya hii

Prev77

Member
Nov 8, 2017
46
50
Simu gani inajaa chaji mapema zaidi duniani kuliko hii


Screenshot_20211014-145024.jpg



 
Hakuna haja yakuacha simu kwenye charge overnight...kama iphone(joking)
Unaamka asubuhi unaboost shorlty inakutosha kwa siku nzima.....
Pia uhitaji wa battery kubwa utapungua kwasababu hata ikikuishia chaji unaboost kwa muda mfupi sana
 
Hili panga linakata kote kote, maana battery nayo inakufa mapema, mwaka ama miaka 2 kama una matumizi makubwa kwisha kazi, battery inatakiwa ibadilishwe.
Tusubiri labda uko baadae watazifanyia marekebisho.

hivi simu yenye 240W.inatumia muda kiasi gani mpaka simu ijae full
 
Back
Top Bottom