ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,625
- 2,443
Mkuu hii ni application gani umetumia kuangalia capacity ya betri lako?Hapana battery zinakaa miaka hadi mitano ukizitunza vizuri, ama Zaidi.
Hii simu ya 2017 Mwaka wa 4 huu ina 2700mah, now real capacity ni 2500mah imepoteza kama 10% tu,
View attachment 1974682