Simple math's hii hapa,jibu ni ngapi?

Simple math's hii hapa,jibu ni ngapi?

Nimetazama upya na kuona kuwa kwenye BODMAS hiyo 'O' ni order kwa maana ya square root na squared. Hii ndio tofauti na MAGAZIJUTO. Kwingine ziko sawa na 'order' niliomaanisha hapo juu ni sawa yaani kwenda kulia!!
 
Umepata mkuu congratulations...!.

Swali la jana linipita kuja kuamuka asubuhi wajaja wamepata jibu nikasema nikusubiri! naona nimekunyaka! ha ha ha ha ha darasa la saba kashida wanachuo, kweli nimeani chuoni ni sehemu ya mkusanyiko wa kambi ya kujifariji na kusoma hadithi za kina newton bila hata kuzifanyia kazi ha ha ha ha Mwanamayu upo?
 
Last edited by a moderator:
Jibu si D) 6, MFUKUZI yuko sahihi kabisa. uwezi ukabadili uhalisia wa 3 kuwa hasi au chanya sababu iko kwenye kutoa. Kama sign ikiwa silent kwenye namba basi inabaki kuwa positive (+).

MAGAZIJUTO: fungua Mabano kwanza, halafu Gawanya, kisha Zidisha, halafu Jumlisha na mwisho Unatoa

3 + 3 * 3 - 3 + 3 = 3 + 3 * 3 + (-3) + 3

3*3 =9
3+9 =12
3+3 =6
12-6=6

Hesabu zina misingi na kanuni zake na hakuna kubahatisha.

Wakuu mi hapa ndio mwenye karatasi ya maswali na majibu na kwa formula iliyopo na jibu lililopo kwenye A/S yangu sio 6 wakuu jibu la hiyo hesabu ni 12, THATS IT.
 
Swali la jana linipita kuja kuamuka asubuhi wajaja wamepata jibu nikasema nikusubiri! naona nimekunyaka! ha ha ha ha ha darasa la saba kashida wanachuo, kweli nimeani chuoni ni sehemu ya mkusanyiko wa kambi ya kujifariji na kusoma hadithi za kina newton bila hata kuzifanyia kazi ha ha ha ha Mwanamayu upo?

Hahahaaa,watu waliwahi kujibu mkuu halaf mara nyingi hesabu zinawekwa USIKU si unajua mchana kichwa kina moto sana ila jana nilichelewa sana lakini leo itakuwa mapema tu usilale mapema sasa,BRAVO.
 
Last edited by a moderator:
wakuu mi hapa ndio mwenye karatasi ya maswali na majibu na kwa formula iliyopo na jibu lililopo kwenye a/s yangu sio 6 wakuu jibu la hiyo hesabu ni 12, thats it.

oooh!!! Sasa nimekuelewa kumbe wewe umepewa swali na jibu HIVYO hata kama haviko sahihi wewe huo ndiyo muongozo wako, sawasawa kabisa.

 
Hahahaaa,watu waliwahi kujibu mkuu halaf mara nyingi hesabu zinawekwa USIKU si unajua mchana kichwa kina moto sana ila jana nilichelewa sana lakini leo itakuwa mapema tu usilale mapema sasa,BRAVO.

Nimebaini kumbe JF hata ukileta swala la
8-6+3 watu wanakosa!
 
mkuu tupe jibu 8-6+3=?

msingi wa hesabu kama hizi ni magazijuto/ bodmas: Shughulikia zenye mabano kwanza, kisha gawanya, tatu zidisha, nne jumlisha kisha toa. Utapata jibu.

Jumlisha kwanza 6+3 kisha toa kwenye 8.

Hesabu hazina mambo ya siasa ni rahisi sana.
 
oooh!!! Sasa nimekuelewa kumbe wewe umepewa swali na jibu HIVYO hata kama haviko sahihi wewe huo ndiyo muongozo wako, sawasawa kabisa.


Nimepewa na nani...........Wee ndio uliyenipa mkuu............nimeandika kuwa nimepewa............kwani mwalimu akitayarisha SWALI hawezi kutayarisha na MAJIBU yake kiongozi ?,anyway siko hapa kubishana na wewe na endelea KUNG'ANG'ANIA kuwa jibu ni 6 si basi,HAVE A LOVELY DAY.
 
Maths-Picture-Riddle.jpg

Unaanza na kuzidisha=3×3=9

Baada ya hapo unajumlishs zote...3+9+(-3)+3=12.

Nimeonq wengine wanasema ujumlishe kwanza -(3+3), jiulize hiyo 3 ya mwanzo umeitoa wapi?haipo hiyo 3 bali ipo hasi 3 yaan (-3) ambapo kama ukianzia mwisho ungefanya (-3+3=0) ungepenga kutoa basi ungenza ya mwisho 3-3 still jibu ni 0.
 
msingi wa hesabu kama hizi ni magazijuto/ bodmas: Shughulikia zenye mabano kwanza, kisha gawanya, tatu zidisha, nne jumlisha kisha toa. Utapata jibu.

Jumlisha kwanza 6+3 kisha toa kwenye 8.

Hesabu hazina mambo ya siasa ni rahisi sana.

Sauli sina cha kuongeza hapa eti 8-6+3= na hasi moja -1
 
Last edited by a moderator:
Sauli sina cha kuongeza hapa eti 8-6+3= na hasi moja -1

nadhani hii ndo coment yangu ya mwisho hapa,

nimuombe nduki afunge uzi huu, na aweke jibu pale juu, la sivyo tamaliza muda na nguvu buree..
 
Last edited by a moderator:
unaanza na kuzidisha=3×3=9

baada ya hapo unajumlishs zote...3+9+(-3)+3=12.

Nimeonq wengine wanasema ujumlishe kwanza -(3+3), jiulize hiyo 3 ya mwanzo umeitoa wapi?haipo hiyo 3 bali ipo hasi 3 yaan (-3) ambapo kama ukianzia mwisho ungefanya (-3+3=0) ungepenga kutoa basi ungenza ya mwisho 3-3 still jibu ni 0.

kweli nimeamini hesabu ni ngumu kama ukokotoaji yenyewe ndiyo huu, ila shukrani mkuu.
 
big result now ni wabishi mwehhh

hapo jibu ni 12
 
big result now ni wabishi mwehhh

hapo jibu ni 12

mkuu hesabu si miujiza hata kidogo, nionyeshe umepateje 12, umetumia misngi upi wa kihesabu then i will rest my case, simple.
 
Back
Top Bottom