Apartment simple, Chumba na Sebule

Apartment simple, Chumba na Sebule

Bin Kawambwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2012
Posts
483
Reaction score
361
Habari JF.
Hii hàpa sadakalawe "free hand" kutoka kwa fundi maiko kajumba cha kupangisha, sketch simple ya chumba, sebule na kajiko kadogo, Nyumba ni TWO in ONE.
Choo ni public kwa matumizi yako, familia yako, na wageni wako.
MATERIALS yote ya kusimamisha boma ni 5.5M (SI ZAIDI), kabla ya kupaua, Hapo utajumlisha na pesa ya fundi.

Kama una ramani yako pia, karibu kwa ajili ya ujenzi,
Call/Watsap +255 712 27 14 27
 

Attachments

  • IMG_20260424_082808_002.jpg
    IMG_20260424_082808_002.jpg
    599.4 KB · Views: 3
Habari JF.
Hii hàpa sadakalawe "free hand" kutoka kwa fundi maiko kajumba cha kupangisha, sketch simple ya chumba, sebule na kajiko kadogo, Nyumba ni TWO in ONE.
Choo ni public kwa matumizi yako, familia yako, na wageni wako.
MATERIALS yote ya kusimamisha boma ni 5.5M (SI ZAIDI), kabla ya kupaua, Hapo utajumlisha na pesa ya fundi.

Kama una ramani yako pia, karibu kwa ajili ya ujenzi,
Call/Watsap +255 712 27 14 27
Wabongo huwa mnanikosha mnapoita vyoo vilivyo kwenye nyumba zenu eti ni ''public toilets'' Yaani imekuwa kama ndiyo utamaduni wetu. Kwa nini vissitwe tu vyoo.
 
Wabongo huwa mnanikosha mnapoita vyoo vilivyo kwenye nyumba zenu eti ni ''public toilets'' Yaani imekuwa kama ndiyo utamaduni wetu. Kwa nini vissitwe tu vyoo.
Wataalamu wa lugha wakitupa jina/neno mbadala tutalitumia tu
 
Back
Top Bottom