mkuu hesabu si miujiza hata kidogo, nionyeshe umepateje 12, umetumia misngi upi wa kihesabu then i will rest my case, simple.
hivi -3+3 jibu ni ngapi ?
wewe ndugu yangu naona uko kwenye kejeli sasa.
Pia unaweza ukawa sawa na jibu la ile hesabu pale juu ila uwezo wako mdogo sana wa kuweza kueleza kwanini umepata hilo jibu.
Mjadala umeshafungwa jibu la hesabu ya nduki ni 12.
nikufanulie kwamba hesabu imekuwaje ikawa 12.
Hapo ndipo nawewe ulipochemka!! Kwenye BODMAS huwezi ukasubstute kabla huja-add
Kwenye hesabu negative(-) n hasi kwa maana ya deni au kutoa.. sasa kwa formular huwezi uka-apply postive na negative.. maana wakati mwingine itakulazimisha usubstitute kabla ya kufanya addition!!
Pitieni upya BODMAS
Jibu ni 12 mkuu sio 6.
Jibu ni 12 mkuu sio 6.
wewe ndugu yangu naona uko kwenye kejeli sasa.
Pia unaweza ukawa sawa na jibu la ile hesabu pale juu ila uwezo wako mdogo sana wa kuweza kueleza kwanini umepata hilo jibu.
Mjadala umeshafungwa jibu la hesabu ya nduki ni 12.
Kirefu cha BODMAS ni Bracket of division, multiplication, addition ,subtraction. Mkuu Nduki hebu twende pamoja taratiiiibu. Ukipewe equation kama uliyotuwekea unatakiwa uweke bracket na uanze kwanza kugawanya kama ipo, halafu ndio uzidishe halafu ujumlishe na mwisho ndio utoe. Kwahiyo 3+3*3-3+3=3+(3*3)-(3+3)=(3+9)-6=6. Narudia tena jibu ni 6 na sio 12, full stop
Kirefu cha BODMAS ni Bracket of division, multiplication, addition ,subtraction. Mkuu Nduki hebu twende pamoja taratiiiibu. Ukipewe equation kama uliyotuwekea unatakiwa uweke bracket na uanze kwanza kugawanya kama ipo, halafu ndio uzidishe halafu ujumlishe na mwisho ndio utoe. Kwahiyo 3+3*3-3+3=3+(3*3)-(3+3)=(3+9)-6=6. Narudia tena jibu ni 6 na sio 12, full stop
Nope,ukikuta mahali kuna matendo zaidi ya moja then hakuna mabano then kuna kitu kinaitwa "OPERETORS AT THE HIGHER LEVEL OF PRECEDENCE ARE EVALUATED FIRST" then ndo unakuja operator of the same level are operated from left to right...sasa operator of the highest level ni * na / ; + na - ni operator of the lowest levelHapo ndipo nawewe ulipochemka!! Kwenye BODMAS huwezi ukasubstute kabla huja-add
Kwenye hesabu negative(-) n hasi kwa maana ya deni au kutoa.. sasa kwa formular huwezi uka-apply postive na negative.. maana wakati mwingine itakulazimisha usubstitute kabla ya kufanya addition!!
Pitieni upya BODMAS
Kwakanuni yako je ukipewa 4*9/3 jibu litakuwa ngapi?Kirefu cha BODMAS ni Bracket of division, multiplication, addition ,subtraction. Mkuu Nduki hebu twende pamoja taratiiiibu. Ukipewe equation kama uliyotuwekea unatakiwa uweke bracket na uanze kwanza kugawanya kama ipo, halafu ndio uzidishe halafu ujumlishe na mwisho ndio utoe. Kwahiyo 3+3*3-3+3=3+(3*3)-(3+3)=(3+9)-6=6. Narudia tena jibu ni 6 na sio 12, full stop
Kwakanuni yako je ukipewa 4*9/3 jibu litakuwa ngapi?
jibu ni 03 MAGAZIJUTO