miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
kwani hisabati unajua au unajua hesabu ?
hesabu tu
kwani hisabati unajua au unajua hesabu ?
hesabu tu
hisabati waachie wahaya
msingi wa hesabu kama hizi ni magazijuto/ bodmas: Shughulikia zenye mabano kwanza, kisha gawanya, tatu zidisha, nne jumlisha kisha toa. Utapata jibu.
Jumlisha kwanza 6+3 kisha toa kwenye 8.
Hesabu hazina mambo ya siasa ni rahisi sana.
Jibu si D) 6, MFUKUZI yuko sahihi kabisa. uwezi ukabadili uhalisia wa 3 kuwa hasi au chanya sababu iko kwenye kutoa. Kama sign ikiwa silent kwenye namba basi inabaki kuwa positive (+).
MAGAZIJUTO: fungua Mabano kwanza, halafu Gawanya, kisha Zidisha, halafu Jumlisha na mwisho Unatoa
3 + 3 * 3 - 3 + 3 = 3 + 3 * 3 + (-3) + 3
3*3 =9
3+9 =12
3+3 =6
12-6=6
Hesabu zina misingi na kanuni zake na hakuna kubahatisha.
Unaanza na kuzidisha=3×3=9
Baada ya hapo unajumlishs zote...3+9+(-3)+3=12.
Nimeonq wengine wanasema ujumlishe kwanza -(3+3), jiulize hiyo 3 ya mwanzo umeitoa wapi?haipo hiyo 3 bali ipo hasi 3 yaan (-3) ambapo kama ukianzia mwisho ungefanya (-3+3=0) ungepenga kutoa basi ungenza ya mwisho 3-3 still jibu ni 0.
msingi wa hesabu kama hizi ni magazijuto/ bodmas: Shughulikia zenye mabano kwanza, kisha gawanya, tatu zidisha, nne jumlisha kisha toa. Utapata jibu.
Jumlisha kwanza 6+3 kisha toa kwenye 8.
Hesabu hazina mambo ya siasa ni rahisi sana.
Mkuu tupe jibu 8-6+3=?
Wakuu mi hapa ndio mwenye karatasi ya maswali na majibu na kwa formula iliyopo na jibu lililopo kwenye A/S yangu sio 6 wakuu jibu la hiyo hesabu ni 12, THATS IT.
Sikuona kuwa umeishakubali...ebu niombe msamaha basi kwa kuniita mgonjwa wa hesabu ugonjwa ambao sikuwahi kuugua toka nilipoanza kushika penseli. Ungeichukua hii mapema wala usingesumbuka.wewe ndugu yangu naona uko kwenye kejeli sasa.
Pia unaweza ukawa sawa na jibu la ile hesabu pale juu ila uwezo wako mdogo sana wa kuweza kueleza kwanini umepata hilo jibu.
Mjadala umeshafungwa jibu la hesabu ya nduki ni 12.
Unaanza na kuzidisha=3×3=9
Baada ya hapo unajumlishs zote...3+9+(-3)+3=12.
Nimeonq wengine wanasema ujumlishe kwanza -(3+3), jiulize hiyo 3 ya mwanzo umeitoa wapi?haipo hiyo 3 bali ipo hasi 3 yaan (-3) ambapo kama ukianzia mwisho ungefanya (-3+3=0) ungepenga kutoa basi ungenza ya mwisho 3-3 still jibu ni 0.
Hapo sawa...nilikuwa nataka kusema operator with equal precedence tunazifanya from left to right tofauti na ulivosema awali kuwa tunaanza kugawanya then tunazidishaJibu litakuwa 12
Hapo sawa...nilikuwa nataka kusema operator with equal precedence tunazifanya from left to right tofauti na ulivosema awali kuwa tunaanza kugawanya then tunazidisha
Hilo neno MAGAZIJUTO lina mislead watu kufikiri gawanya ina precedence over zidisha na Jumlisha ina precedence over toa.
Hilo ndilo linasababisha watu wapate jibu lisilo sawa la 6.
Tatizo siyo watu kutokujua MAGAZIJUTO tatizo watu kutokujua matumizi na sheria za hasi na chanya
Ukiipa precedence jumlisha over toa unapata jibu la 6.
Kwa hiyo huwezi kusema hilo si tatizo.
UKipata 6 siyo tatizo kivipi? wakati ni kosa.
sijasema ukipata sita si tatizo.
Nimesema ukiipa jumlisha precedence over toa utapata sita. Sita si jibu sahihi.
Kwa hiyo huwezi kusema kwamba kuipa jumlisha precedence over toa si tatizo.
(3+5)power ya 2. Nipe jibu ni kuelewe hoja yako.
BODMAS ( Hapa zinaaply:MAS Multiplication, Add, Subtraction. )jibu ni sita(6) tatizo wengine wanaenda kwa order badala ya kutumia hiyo bodmas