Hatakuwa na furaha na utamtesa dada wa watu. Tafuta unayempenda na anayekuvutia.Je nitakuwa na fraha nitakapomuoa
Ntamtesa kivipi ye atakuwa anaona kila kitu kiko sawaMkuu..utamtesa huyu mwanamke, humpendi na ukisha kaa nae ndani utaanza kutamani unaowaona wazuri.
Tafuta wakumpenda Wewe..usiwe kwenye mahusiano kwa kuoneana huruma
Pia hakuna habari za romance unakuwa mkali hata kwa mamb madogo ila muhimu ni Mimi kutawalaNikweli mkuu na ukisha ingia ndoani na mtu usiye mpenda cha kwanza unamchoka mapema,
Usishangae hata kitandani dushe likawa halisimami.
Kwel mkuu nataka kuwa na fraha hata nitakapozeekaOa huyo acha unaaa kwa mtoto wa watu..
Huyo ndio mtu sahihi kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Atazaa tutalea watoto na kuzeeka pamoja shid iko wap mkuuUsije cheza na hisia za mwenzako hii kitu ni mbaya sana
Maneno mazuri ayafanyie kazi..wewe ni mshaur mzur mkuu,keep it upMwenyewe umekiri hapo kua umemuumiza mara kadhaa kihisia so don't be selfish, huyo mwanamke hastahili kuwa na wewe sababu utamtesa, inshort wote mtateseka kwa namna tofauti ila atakayeteseka zaidi ni huyo mwanamke sababu atatumia nguvu nyingi kujaribu kukuridhisha asijue kumbe tatizo ni wewe.
Hapo cha kufanya kama kweli unamuhitaji kwanza muombe msamaha kwa mateso yote uliyomsababishia then learn to love her, ukiona hilo huwezi aisee muache dada wa watu.
Dogo anataka kujaribu sumu kwa kuilamba, itamkata kata utumbo hataamini macho yake.Mke huyo Arif...
Hakuna mwanamke m'baya
kwa ajili ya hisia zake tu nakushauri "usimuoe"
ila Utamkumbuka sana sana sana na utajuta maisha yako yote.
Labda upate wa zaidi ake tofauti na hapo,utamkumbuka mpk utakua unamuota,we subiria.
Na wew ndio unataka kujalibu sumu kwa kulambaDah, mtoa maada unapitia hali kama yangu kabisa,
Goja tusikilize ushauri
Busara nyingi sana nimetake noteDogo anataka kujaribu sumu kwa kuilamba, itamkata kata utumbo hataamini macho yake.
Unapata mwanamke ambaye kimsingi anakupenda kwa dhati kisha unamletea mchezo? Eti hampend sijui blah blah gani. Siku akija kugundua mapenzi ni sehemu ndogo sana katika uhusiano wa ndoa ila uvumilivu takes a major part.
Mwanamke ambaye anakuvumilia in hard times unampata wapi dunia ya leo? Wengi ni materialistic na serial opportunists. Watu wako kwa zero grazing tu. Mtaftie ale,ila siku mambo yakiwa magumu kwako anasonga mbele bila huruma.
Hivi vitu vinaumiza kichwa sana, i wish ningeona future yangu ili nifanye uchaguzi sahihi, kwa sasa nakua mzito hata kumpigia simu hadi nijilazimishe but yupo tu, its almost a year nowNa wew ndio unataka kujalibu sumu kwa kulamba
Ukija kupenda usipopendwa na ukawa expectations kubwa ndipo utaanza kumuelewaHivi vitu vinaumiza kichwa sana, i wish ningeona future yangu ili nifanye uchaguzi sahihi, kwa sasa nakua mzito hata kumpigia simu hadi nijilazimishe but yupo tu, its almost a year now
Mkuu nimengundua nikikurupuka nitakosa furaha maisha yangu yote
Mkuu mbona unanigusa mimi hivi karibuni nimemwacha mwenye sifa kama hizi, nilimtamkia kila mtu ajue maisha yake,, maana hapo katikati kulitokea kama kuto elewana mimi na yeye kwa mambo fulani ya kawaida ambayo niya kukaa tukazungumza lakini mimi nikachukua maamzi magumu .
Lakini yeye japo tumetengana bado upendo upo,
Sasa sijui nirudishe majeshi nyuma.
Shida ya kuishi na mtu ambae humpendi hata jambo dogo we unaliona kubwa unajaa sumu
Nimekuelewa mkuuDogo tulia omba Mungu sana sanaa
Mwanamke ni tabia sio sura wala tako
Sasa wewe oa slay queen utajutaaaa maisha yako yooote
Tafuta Mwanamke anaye kuheshimu na kukusikiliza maisha ni yenu moto ukiwaka humo ndani sisi hatupo utapambana na hali yako mzee
Kama vip oa sura na tako
Tako lenyewe limepigwa hadi kwa mpalange
Npe experience yako mkuu nijifunze kituHiyo kitu iliwahi nikuta nikapuuza but now najuta