Atomic orbital
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 375
- 486
- Thread starter
- #21
KabisaKwa hio sio pisi kali?.
KabisaKwa hio sio pisi kali?.
Ndio kitu nachohofia mkuuHakuna msalaba mzito kama ku share bed all ua life na mtu ambae humfeel
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naunga mkono hoja[emoji1666]
Kweli kbs hakufai huyo
Ila nakuomba Sana nipu namba zake please mkuu
Mgongano wa kimantiki ndiyo ukoje huo?Nina wasiwasi kama inaweza kuja kuniletea mgongano wa kimantiki mkuu
Shida ni kumpata ambae atanipenda ni Mimi nimpende wengi watakuja kwa sababu wanazozijua wao ila sio kwa mapenzi ya dhatiHautakua na furaha na utaichukia nyumba yako.
Love is all about feelings, sasa imagine unashare kitanda na mtu ambaye huna hisia nae na humpendi.
. Please nisaidie mkuu nimpate nitetee nakuomba[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mfn ukiumizwa kihisia na mwenzi wako then baada ya mda akataka mrudiane ule utata utakaokuwa unaupata ktk kuchukua maamuzi ndio mgongano wa kimantikiMgongano wa kimantiki ndiyo ukoje huo?
Shida ni kwamba nikimuacha nitampata wap kam yeye. Please nisaidie mkuu nimpate nitetee nakuomba
. Mungu yupo na atakupea wakufanana na wewe huyo hufanani naye mkuuShida ni kwamba nikimuacha nitampata wap kam yeye
Mwenyewe umekiri hapo kua umemuumiza mara kadhaa kihisia so don't be selfish, huyo mwanamke hastahili kuwa na wewe sababu utamtesa, inshort wote mtateseka kwa namna tofauti ila atakayeteseka zaidi ni huyo mwanamke sababu atatumia nguvu nyingi kujaribu kukuridhisha asijue kumbe tatizo ni wewe.Shida ni kumpata ambae atanipenda ni Mimi nimpende wengi watakuja kwa sababu wanazozijua wao ila sio kwa mapenzi ya dhati
Nikimkosa huyu nikampata ambae ana fake love kwang si ndio nitakosa fraha × 2
Hili ndio jibu.Hata uoe mwanamke gani lazima baadae utachepuka tu!
Muoe huyo ukihitaji sura, shape, rangi utazipata tu wapo kibao japo hawafai kuoa wanaofa kuoa ndio kama huyo wako
Umenishauri vyema sana naamin nitaamua vyema pia kupitia ushauri wako[emoji120][emoji120]Mwenyewe umekiri hapo kua umemuumiza mara kadhaa kihisia so don't be selfish, huyo mwanamke hastahili kuwa na wewe sababu utamtesa, inshort wote mtateseka kwa namna tofauti ila atakayeteseka zaidi ni huyo mwanamke sababu atatumia nguvu nyingi kujaribu kukuridhisha asijue kumbe tatizo ni wewe.
Hapo cha kufanya kama kweli unamuhitaji kwanza muombe msamaha kwa mateso yote uliyomsababishia then learn to love her, ukiona hilo huwezi aisee muache dada wa watu.
Mungu akuongozeUmenishauri vyema sana naamin nitaamua vyema pia kupitia ushauri wako[emoji120][emoji120]
Hana mwonekano mzuri
Kwani yeye ulimpata wapi? acha woga mwanaumeShida ni kwamba nikimuacha nitampata wap kam yeye