Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
hiyo nyekundu sio mahala pake hapa.
kimekukera nini wewe? Messi baca.du watu wengne hamsaau.
hiyo nyekundu sio mahala pake hapa.
chukua hiyo :A S thumbs_down: halafu :focus:
ndio mana mimi hapa JF nimejikalia kimya sifanyi makeke ya kujitafutia ka-umaaruf uchwara.tatizo humU JF jamvin kuna wa2 flan wanalazimisha ID zao ziwe maarufu mno.
hadi sekunde hii ff hajasikia harufu ya huu uzi tu?
faizafoxy hapendi anachokifanya'ni kazi na analipwa'nataka ujue ff sio mtu bali kikundi cha watu wengi'ndio maana walijisahau wakaonyesha ile kitu ya kuwa online 24hrs'hakuna haja ya kuwachuukia
hawashikiki kwenye nini??
I like everything about FF but her religious faith.
Utalijua Jiji......Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!! Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje...
Bora mtu aamue kuwa wa pumba tujue moja yeye huwa ni pumba. Lakini kuleta pumba katika mambo ya msingi thats amplified insanity, afu wanataka tusifie au tuchekecheke kama tuna hysteria
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!! Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
faizafoxy hapendi anachokifanya'ni kazi na analipwa'nataka ujue ff sio mtu bali kikundi cha watu wengi'ndio maana walijisahau wakaonyesha ile kitu ya kuwa online 24hrs'hakuna haja ya kuwachuukia
hanakuzidi
mimi nampenda sana huyu mwana-JF.................................ningelikuwa badi zile enzi zangu ningemfuatilia kwa khali na mali...........................bahati mbaya sana sasa nimezeeka sana............................lol endeleza mawimbi yako faizafoxy.......................it is free World with almost zero censorship.............