Ni kichwa cha ukweli...I think FaizaFoxy na AshaDii hawashikiki! Mi napenda kila kitu kutoka kwao!😛eace:
Shosti nakusalimia tu! Supu ya maini leo nahisi mateka hajapata, punguza munkari!lol
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!! Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
Aisee naomba msuba
akili itakaa mahali pake
washanchakachua akili hawa
Msimchukie sana mpk akapata umaarufu. Ni malezi mabaya ndio yanayomfanya awe alivyo. Kwa ninavyofahamu watu wa aina yake, tatizo ni elimu
Wewe unaonekana hata wazazi wako uwapendi kama unavyompenda Mkeo...huwezi kuzuia mvua.
FaizaFoxy, hanakuzidi kila kitu unachomzidi ni kimoja tu Ujinga
Ritz una mawazo mkojo...elimu niliyo nayo na uwezo wangu wa kufikiri uwezi kunifananisha na huyu mwanamke...
Nimetoka Ikulu, nilialikwa chakula cha mchana. Unajuwa leo kulikuwa kuna lunch ya watoto wa mujini, mara naambiwa FF umefunguliwa nyuzi JF, Wallahi nikashindwa hata kuitazama, si unajuwa tena ma"jokes" ya Jakaya.
Haya, nipo kwenye gari narudi, nkifika nyumbani ntasoma kwa makini.
Hongera JF kwa miaka 50 ya Uhuru, nilimuona mtu kama MAX kwenye lunch.
Nimetoka Ikulu, nilialikwa chakula cha mchana. Unajuwa leo kulikuwa kuna lunch ya watoto wa mujini, mara naambiwa FF umefunguliwa nyuzi JF, Wallahi nikashindwa hata kuitazama, si unajuwa tena ma"jokes" ya Jakaya.
Haya, nipo kwenye gari narudi, nkifika nyumbani ntasoma kwa makini.
Hongera JF kwa miaka 50 ya Uhuru, nilimuona mtu kama MAX kwenye lunch.
Mtafute MTM, mie niko kwenye parole hata moshi wake ukinipitia tu smoke detector inaitikia kwa parole officer! Damn, hela zinanipita manake when u ar desperate ndo napiga dili.
Hata akikuchanulia bado utamchukia tu?
Nimetoka Ikulu, nilialikwa chakula cha mchana. Unajuwa leo kulikuwa kuna lunch ya watoto wa mujini, mara naambiwa FF umefunguliwa nyuzi JF, Wallahi nikashindwa hata kuitazama, si unajuwa tena ma"jokes" ya Jakaya.
Haya, nipo kwenye gari narudi, nkifika nyumbani ntasoma kwa makini.
Hongera JF kwa miaka 50 ya Uhuru, nilimuona mtu kama MAX kwenye lunch.
YES,mutoto wa mujini,nakukubali,ndio maana ulivyopigwa life ban humu JF,mimi nilijitolea kuchukua ban yako ili wewe uendeleze libeneke humu JFNimetoka Ikulu, nilialikwa chakula cha mchana. Unajuwa leo kulikuwa kuna lunch ya watoto wa mujini, mara naambiwa FF umefunguliwa nyuzi JF, Wallahi nikashindwa hata kuitazama, si unajuwa tena ma"jokes" ya Jakaya.
Haya, nipo kwenye gari narudi, nkifika nyumbani ntasoma kwa makini.
Hongera JF kwa miaka 50 ya Uhuru, nilimuona mtu kama MAX kwenye lunch.
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!! Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.