Simba vs Yanga 05/11/23 mpira umeshaisha Yanga tumechukua points zetu 3 muhimu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,744
Muda huu sisi Wanayanga ndio tunatoka Uwanjani kukamilisha maagizo ya awali ambayo tumepewa na mtaalamu wetu kuhusiana na mechi ya tarehe 5 Nov.

Mechi si ngumu kama ambavyo mmedhania. Maana tayari tumeshauziwa ramani. Tunajua wapi pa kupita, tunajua wapi pa kupiga.

Kikosi cha Simba tumeshakivuruga na kuwafungia matofali miguuni, na hili tulilifanya baada tu ya kuisha mechi ya Ihefu. Maana tuliendelea kubaki na Uwanja kuufanyia ukarabati na tayari wachezaji watatu wa Simba wana hati hati ya kucheza siku ya tukio.

Usiku wa deni haukawii kufika. Zimebaki siku kadhaa tu tuje kujipigia na kuchukua points zetu tatu kujishindilia pale kileleni na ndio hatutashuka tena, piga ua garagaza.
 
Muda huu sisi wanayanga ndo tunatoka Uwanjani kukamilisha maagizo ya awali ambayo tumepewa na Mtaalamu wetu kuhusiana na match ya tarehe 5 Nov.

Match si ngumu kama ambavyo mmedhania. Maana tayari tumeshauziwa ramani. Tunajua wapi pa kupita. Tunajua wapi pa kupiga.

Kikosi cha Simba tumeshakivuruga na kuwafungia matofali miguuni. Na hili tulilifanya baada tu ya kuisha match ya Ihefu maana tuliendelea kubaki na Uwanja kuufanyia ukarabati. Na tayari wachezaji watatu wa Simba wana hati hati ya kucheza siku ya tukio.

Usiku wa deni haukawii kufika. Zimebaki siku kadhaa tu tuje kujipigia na kuchukua points zetu tatu kujishindilia pale kileleni. Na ndo hatutashuka tena. Piga ua garagaza.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Muda huu sisi wanayanga ndo tunatoka Uwanjani kukamilisha maagizo ya awali ambayo tumepewa na Mtaalamu wetu kuhusiana na match ya tarehe 5 Nov.

Match si ngumu kama ambavyo mmedhania. Maana tayari tumeshauziwa ramani. Tunajua wapi pa kupita. Tunajua wapi pa kupiga.

Kikosi cha Simba tumeshakivuruga na kuwafungia matofali miguuni. Na hili tulilifanya baada tu ya kuisha match ya Ihefu maana tuliendelea kubaki na Uwanja kuufanyia ukarabati. Na tayari wachezaji watatu wa Simba wana hati hati ya kucheza siku ya tukio.

Usiku wa deni haukawii kufika. Zimebaki siku kadhaa tu tuje kujipigia na kuchukua points zetu tatu kujishindilia pale kileleni. Na ndo hatutashuka tena. Piga ua garagaza.
🤣Wabantu bana, yaani mila na desturi za chini ya miti hadi uwanjani kwenye shughuli ya kisayansi na ambayo haina kutegeana wala kufanya makosa?
 
Muda huu sisi wanayanga ndo tunatoka Uwanjani kukamilisha maagizo ya awali ambayo tumepewa na Mtaalamu wetu kuhusiana na match ya tarehe 5 Nov.

Match si ngumu kama ambavyo mmedhania. Maana tayari tumeshauziwa ramani. Tunajua wapi pa kupita. Tunajua wapi pa kupiga.

Kikosi cha Simba tumeshakivuruga na kuwafungia matofali miguuni. Na hili tulilifanya baada tu ya kuisha match ya Ihefu maana tuliendelea kubaki na Uwanja kuufanyia ukarabati. Na tayari wachezaji watatu wa Simba wana hati hati ya kucheza siku ya tukio.

Usiku wa deni haukawii kufika. Zimebaki siku kadhaa tu tuje kujipigia na kuchukua points zetu tatu kujishindilia pale kileleni. Na ndo hatutashuka tena. Piga ua garagaza.
HV broo ulikwendaga wapi mbna sijakuona kwa kwa insider Man
 
Zimebaki siku kadhaa tu tuje kujipigia na kuchukua points zetu tatu kujishindilia pale kileleni. Na ndo hatutashuka tena.
Mchungaji wenu mwenyewe kajikausha maana anajua nafasi yenu kwa ligi ni ya 3 hadi kufikia tamati ya ligi.

Wewe leo umejileta kwa kiherehere cha kubaki kilele ilhali u Chizi Maarifa tu Uto wahed 😁
 
Mbwa anayebweka sana hana madhara.Debe tupu ndio lenye kelele nyingi.
 
Back
Top Bottom