CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,732
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kuwa huu ni utabiri wangu binafsi juu ya mechi hii yenye kuamua hatma ya Ubingwa wa Ligi kuu Tanzania Bara (NBC PREMIER LEAGUE).
Huu ni utabiri tu, unaweza kuukubali au kuukataa kwa sababu zako, ila kwangu nimetabiri Simba atafungwa na Yanga siku ya Jumapili pale Taifa.
Kwanini nimetabiri hivi? Nakupa facts mbalimbali ambazo kimsingi zitawapa shida zaidi Simba kuliko Yanga.
1. Selection ya Kikosi
Mara zote kwa miaka ya karibuni Simba imekuwa ikitoa Kikosi ambacho ama sio kile kinachoanza Mechi nyingi au Kile kinachokuwa na lengo kubwa la kuzuia bila kuweza kukaba vyema.
Ni matarajio yangu Simba mbele wataanza na CHAMA, BALEKE, NTIBAZONKIZA, SAKHO. Then Viungo Lazima wataanza na MZAMIRU, KANOUTE. So hadi hapo utaona Simba itakuwa na wachezaji 4 wasio na faida Pindi timu yao ikiwa haina mpira.
Wakati kwa upande wa YANGA, lazima ianze na MUSONDA, AZIZ, MOLOKO, MAYELE kwa juu na katikati ni AUCHO NA BANGALA.
Hapo Yanga utaona wazi itakuwa na wachezaji 2 tu ambao hawana faida pindi timu ikiwa haina mpira (MAYELE, AZIZ KI) Hao wengine wote ni watu wa kusaidia sana mabeki na viungo wao.
Game itakuwa ya namna gani?
Kwa ujumla hii game itaamuliwa sana viungo wa Yanga, na kwa namna yoyote NABI ataingia na Mfumo alioutumia kwenye game Vs Azam yaani lazima AZIZ KI atakuwa free role midfielder, atamtaka kutotumia nguvu kubwa kukaba bali awe relaxed akiwa na mpira na aongozwe na maono yake kwa uhuru kabisa.
Unajua kwanini?, NABI anataka kuipa presha SIMBA ya kuzuia Mabeki wake na Viungo wa Chini kupanda bila sababu za Msingi. Hivyo kutengeneza Gap kubwa kati ya Viungo wa Simba na washambuliaji.
2. UFINYU WA MAANDALIZI KWENYE GAME YA WYDAD.
Kwa namna yoyote SIMBA ana kazi kubwa VS WYDAD, hivyo kocha kwa uchache wa machaguo ya wachezaji wake basi atalazimika kufanya SUB nyingi second half ili kuweza kujipanga na Game hiyo ya Klabu Bingwa.
Shida ni nini hapa? Shida ni kwamba Yanga ina machaguo mengi nje ya kikosi cha kwanza na Bado ikakupa matokeo mazuri zaidi hata katika mechi kubwa. NABI anaweza akaanza na KISINDA, MORRISON, MUSONDA, NZIZE
Chini yao akaanza na SUREBOY, na BANGALA na bado akadominate game.
3. Mazingira ya GAME
At any means Yanga wanahitaji kumaliza mbio za Ubingwa siku hii, Ushindi kwao utawahakikishia ubingwa kwani watasaliwa na michezo 4 huku wakihitaji point 1 tu. Mara zote game ambazo Yanga zinaamua hatma yake kwenye Ligi, basi anapata matokeo chanya. Hii itachangiwa pia na Game yao inayofuata ya Kimataifa Vs RIVERS UTD kwamba kidogo wako kwenye uzani sawa hivyo wanaweza jilipua game ya SIMBA na bado wakabattle na RIVERS tofauti sana na SIMBA kwa WYDAD, kwani majeraha yoyote ya mchezaji muhimu wa Simba basi italeta shida game na WYDAD.
4. FORM ZA TIMU HUSIKA
Wadau, kwenye Suala la Form, msimu huu Yanga yuko juu sana ukilinganisha na SIMBA. WORK RATE ya wachezaji wa Yanga iko juu ukilinganisha na Simba ambao wengi wamekuwa ni ingia toka, hasa kutokana na majeraha ya hapa na pale.
Yanga ameshinda Game 12 mfululizo za ligi huku akiwa na Clean sheet 10, na akiruhusu magoli 3 tu. Wakati huo Simba kwenye mechi 12 za mwisho ameshinda game 10 huku 2 akienda sare na AZAM na KAGERA SUGAR na akiruhusu magoli 8 na akiwa na clean sheet 5 tu.
SIMBA ina wastani nzuri wa kufunga kwani wao kwa wastani kila mechi wamepata magoli kuanzia mawili kwenda juu. Wakati huo Yanga wao wastani ni magoli 2 kamili kwa kila mechi.
UTABIRI WA MATOKEO.
Kwa kuangalia game ilivyo, vikosi, mtindo wa uchezaji, na mechi za mbele zao.
FT SIMBA 1-3 YANGA.
Utabiri wa magoli (HII SASA NI RAMLI)
Kwa upande Simba naona kabisa nafasi ya kufunga kama anayo NTIBAZONKIZA wakati Yanga kule nafasi ya Ufungaji wanayo, AZIZ KI (80%), MORRISON na KISINDA.
NAMALIZIA LINDO HAPA. TUKUTANE KWA MKAPA 16.04.2023.
Huu ni utabiri tu, unaweza kuukubali au kuukataa kwa sababu zako, ila kwangu nimetabiri Simba atafungwa na Yanga siku ya Jumapili pale Taifa.
Kwanini nimetabiri hivi? Nakupa facts mbalimbali ambazo kimsingi zitawapa shida zaidi Simba kuliko Yanga.
1. Selection ya Kikosi
Mara zote kwa miaka ya karibuni Simba imekuwa ikitoa Kikosi ambacho ama sio kile kinachoanza Mechi nyingi au Kile kinachokuwa na lengo kubwa la kuzuia bila kuweza kukaba vyema.
Ni matarajio yangu Simba mbele wataanza na CHAMA, BALEKE, NTIBAZONKIZA, SAKHO. Then Viungo Lazima wataanza na MZAMIRU, KANOUTE. So hadi hapo utaona Simba itakuwa na wachezaji 4 wasio na faida Pindi timu yao ikiwa haina mpira.
Wakati kwa upande wa YANGA, lazima ianze na MUSONDA, AZIZ, MOLOKO, MAYELE kwa juu na katikati ni AUCHO NA BANGALA.
Hapo Yanga utaona wazi itakuwa na wachezaji 2 tu ambao hawana faida pindi timu ikiwa haina mpira (MAYELE, AZIZ KI) Hao wengine wote ni watu wa kusaidia sana mabeki na viungo wao.
Game itakuwa ya namna gani?
Kwa ujumla hii game itaamuliwa sana viungo wa Yanga, na kwa namna yoyote NABI ataingia na Mfumo alioutumia kwenye game Vs Azam yaani lazima AZIZ KI atakuwa free role midfielder, atamtaka kutotumia nguvu kubwa kukaba bali awe relaxed akiwa na mpira na aongozwe na maono yake kwa uhuru kabisa.
Unajua kwanini?, NABI anataka kuipa presha SIMBA ya kuzuia Mabeki wake na Viungo wa Chini kupanda bila sababu za Msingi. Hivyo kutengeneza Gap kubwa kati ya Viungo wa Simba na washambuliaji.
2. UFINYU WA MAANDALIZI KWENYE GAME YA WYDAD.
Kwa namna yoyote SIMBA ana kazi kubwa VS WYDAD, hivyo kocha kwa uchache wa machaguo ya wachezaji wake basi atalazimika kufanya SUB nyingi second half ili kuweza kujipanga na Game hiyo ya Klabu Bingwa.
Shida ni nini hapa? Shida ni kwamba Yanga ina machaguo mengi nje ya kikosi cha kwanza na Bado ikakupa matokeo mazuri zaidi hata katika mechi kubwa. NABI anaweza akaanza na KISINDA, MORRISON, MUSONDA, NZIZE
Chini yao akaanza na SUREBOY, na BANGALA na bado akadominate game.
3. Mazingira ya GAME
At any means Yanga wanahitaji kumaliza mbio za Ubingwa siku hii, Ushindi kwao utawahakikishia ubingwa kwani watasaliwa na michezo 4 huku wakihitaji point 1 tu. Mara zote game ambazo Yanga zinaamua hatma yake kwenye Ligi, basi anapata matokeo chanya. Hii itachangiwa pia na Game yao inayofuata ya Kimataifa Vs RIVERS UTD kwamba kidogo wako kwenye uzani sawa hivyo wanaweza jilipua game ya SIMBA na bado wakabattle na RIVERS tofauti sana na SIMBA kwa WYDAD, kwani majeraha yoyote ya mchezaji muhimu wa Simba basi italeta shida game na WYDAD.
4. FORM ZA TIMU HUSIKA
Wadau, kwenye Suala la Form, msimu huu Yanga yuko juu sana ukilinganisha na SIMBA. WORK RATE ya wachezaji wa Yanga iko juu ukilinganisha na Simba ambao wengi wamekuwa ni ingia toka, hasa kutokana na majeraha ya hapa na pale.
Yanga ameshinda Game 12 mfululizo za ligi huku akiwa na Clean sheet 10, na akiruhusu magoli 3 tu. Wakati huo Simba kwenye mechi 12 za mwisho ameshinda game 10 huku 2 akienda sare na AZAM na KAGERA SUGAR na akiruhusu magoli 8 na akiwa na clean sheet 5 tu.
SIMBA ina wastani nzuri wa kufunga kwani wao kwa wastani kila mechi wamepata magoli kuanzia mawili kwenda juu. Wakati huo Yanga wao wastani ni magoli 2 kamili kwa kila mechi.
UTABIRI WA MATOKEO.
Kwa kuangalia game ilivyo, vikosi, mtindo wa uchezaji, na mechi za mbele zao.
FT SIMBA 1-3 YANGA.
Utabiri wa magoli (HII SASA NI RAMLI)
Kwa upande Simba naona kabisa nafasi ya kufunga kama anayo NTIBAZONKIZA wakati Yanga kule nafasi ya Ufungaji wanayo, AZIZ KI (80%), MORRISON na KISINDA.
NAMALIZIA LINDO HAPA. TUKUTANE KWA MKAPA 16.04.2023.