Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,742
- 7,431
Kweli kabisa mkuuu. Nakuongezea kwamba Tiger vs African Leopards. Nakuhakikishia huyo tiger anakimbia pambano, wanyama wa apa Africa ni Habari nyingine ukimletea hao wa uko anawapiga mapema. Wanyama wa apa Africa ni hatari sana. Hata awa Nile Crocodile ni Habari nyingine. Chui wa apa Africa akikutana na tiger anampiga kwa sababu ana uwezo wa kuluka na kumshambulia huyo tiger, kitu ambacho tiger ana uwezo mkubwa wa kuluka kama African leopards. Sasa huyo Africa leopard hawezi pambano na simba, Kumbuka simba dume analinda ktk Pride yake madume wasishambulie na anapambana na madume 4 yanayotafuta utawala wa Kupata umiriki(Pride). Simba ni mashine nyingineUpo sahihi sema,nimeona video nyingi za mapampano ya Tiger na Simba mwishoni Tiger huwa anashindwa ni kutokana na kuchoka. Hawezi kupigana muda mrefu,yeye ana attack kali yenye uhakika na kwa muda mfupi tofauti na simba ambaye ana uwezo wa kupambana muda mrefu.
All in all Tiger na Simba ni kama mnyama mmoja na hawawezi kukaa eneo moja kwa sababu wote wanajijua ndo wako juu ya ile ya rank ya eco system. Thatz why Simba anapatikana Afrika na Tiger yupo Asia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app