Simba vs Tiger

Simba vs Tiger

Nilishaona battle ya simba vs tiger wakuu sio poa, ilikua hivi wote walikua shimoni sijui waliingia vipi so hakuna aliekua anaweza kutoka yani ulipigwa mkono sio poa ilifikia point tiger alikua hawezi kuamka alikua anapigana kalala chali simba ndo alikua bado yupo active alikua anapigana akiwa bado kasimama ila kajeruhiwa balaa dam zimamwagika. Mwisho wakawa wote wanatazamana. Nilichogundua simba anapumzi kuliko tiger so naweza kusema simba ni habari nyingine anapigana mpaka kufa.
 
Mkuu unaongea kishabiki ama una fact? Huyo siberian tiger aka amur msikie hivyo hivyo. Ana mkamata tembo mwenyewe kama mmoja na kumuua. Huku Africa si simba wala chui wa Africa mwenye uwezo huo unless wamzingire.

Angalia hii picha ya amur amejazia muscles kama anabeba chuma View attachment 1434536

Huyo kofi moja tu anammaliza chui wetu.

Simba pekee aliekuwa na ukubwa kama au kukaribia wa Amur ama bengali tiger ni barbarian ama atlas lion waliokuwa wakipatikana jangwa la sahara sema wamepotea huko jangwani wapo wachache zoo.

Barbary-Lion-Photos.jpg


Walikuwa ni wakubwa na manyoya hadi tumboni.

Huyo Come27 hawajui siberian tiger, tatizo wabongo wanapenda kukariri
 
na katika woote hao ma big cat ,jaguar ndio anaongoza kwa kuwa na strongest biteforce even kuliko simba na tiger ....


Mkuu, nilazima useme; bite force
relative to its body weight/size hapo Jagusr anawadi Cats wote.

Vinginevyo sio sawa hata kidogo kwamba Jaguar anamzidi Simba au Tiger kwa bite force.
 
Nilishaona battle ya simba vs tiger wakuu sio poa, ilikua hivi wote walikua shimoni sijui waliingia vipi so hakuna aliekua anaweza kutoka yani ulipigwa mkono sio poa ilifikia point tiger alikua hawezi kuamka alikua anapigana kalala chali simba ndo alikua bado yupo active alikua anapigana akiwa bado kasimama ila kajeruhiwa balaa dam zimamwagika. Mwisho wakawa wote wanatazamana. Nilichogundua simba anapumzi kuliko tiger so naweza kusema simba ni habari nyingine anapigana mpaka kufa.


Unawajua Siberian tiger wewe? Alafu Unaamini vipi hiyo video ni yakweli? Alafu tiger mwenyewe anaonekana hapo mdogo wakati tiger ni mkubwa more than jamii yoyote ya paka
 
tulishudia timbwili la kiboko na simba nakumbuka show tulikua tunafukuza ndege kipindi cha mpunga unachua asikuambie mtu tulikua juu ya kibanda asikuambie mtu kiboko na kifaa cha kazi!Simba sijiu alijitela vipi mpaka akamzingue kiboko ulipigwa mkono kama masaa 4 hivi mashamba yalivurugika ndege walihama mazima baada yakuona kuona ukimya tukaa tena kama msaa2 hivi ndio wazee wakashuka kwenda kucheki waliovyoona usalama tukaitwa nilichoka sana wale jamaa walinyofoana sana nyama mzee simba mpaka anarudisha namba kwa muumba mkono 1 tuliukuta kama mita 20 hivi nje ya ulingo kiboko hakua na jicho 1 ile vita ingekua zama hizi za smartphone ingekua na la kuonyesha mechi ilisha simba 0-kiboko 0 ila sijajua nani alieanza kuka roho
duu mkuu hili battle linaonekana nila century sema tuu kma usemavyo halikuweza kuwekwa kwenye mkandaa ...soo boss wote waliaga maisha bila bingwa ??
 
Simba Dume hawezi poteza Nguvu na Pumzi zake kuwinda Swala au Nyumbu, hizo ni kazi za Jike. Dume ana winda Big Game Nyati, Twiga nk
Big game?

Halafu watoto amuachie nani?

Kazi za uwindaji zinasimamiwa na jike halafu kwenye hiyo big game haifanywi na simba mmoja labda kama akikutana na kinda la nyati
 
Kwa mimi naona tiger is better

Huyu tiger anauwezo wa kuingia kwenye mto na kumchukua mamba akiwa mle mle kwenye maji jambo ambalo sio rahisi ukizingatia na kwamba nguvu ya mamba ni maji lakini si kwa chui

Halafu hata skills za uwindaji chui yuko vizuri zaidi, kama silaha basi naweza kumfananisha na AK47 wakati simba namfananisha na gobole

Action za chui ni noma hadi ndege anawinda, yani anajiviringa juu huko huko aliko ndege kisha anamdaka kwa mikono kama mtu

Simba dume ndo kabisa hata kuwinda halijui lenyewe kula kulala tu kazi zote limemuachia shemu
Hakuna mnyama porini mwenye tabu kama SIMBA DUME, simba dume akizembea anaweza kuzeeka bila kuoa
Maana ili awe na familia anatakiwa kuvamia pride na kugawa kipondo kwa Mzee wa kaya aliyeko
Na akikuta hiyo kaya majike wana watoto, majike pia husaidiana na Mzee wa kaya kufukuza huyu mgeni,
Kanuni Ya huko porini

Yale madume madogo madogo yanayotafuta familia Ya kujiweka, huwa yanatengeneza timu, yanawinda pamoja huku kila mmoja akifanya mishe ya kutafuta familia Ya kujiweka, na wakati Mwingine hili kundi la simba vijana huwa linatafuta mentor Mzee aliyepigwa huko kwenye familia yake kwa ajili ya kutoa mwongozo, maisha ya simba Dume ni magumu saana Sana na wana mwisho Mchungu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta documentary Win ya hii battle ni 50/50 documentary niliyoangalia Tiger alikufa, simba alipata majeraha makubwa naamini Hata yeye hakuishi siku nyingi baada ya battle
Kwa mimi naona tiger is better

Huyu tiger anauwezo wa kuingia kwenye mto na kumchukua mamba akiwa mle mle kwenye maji jambo ambalo sio rahisi ukizingatia na kwamba nguvu ya mamba ni maji lakini si kwa chui

Halafu hata skills za uwindaji chui yuko vizuri zaidi, kama silaha basi naweza kumfananisha na AK47 wakati simba namfananisha na gobole

Action za chui ni noma hadi ndege anawinda, yani anajiviringa juu huko huko aliko ndege kisha anamdaka kwa mikono kama mtu

Simba dume ndo kabisa hata kuwinda halijui lenyewe kula kulala tu kazi zote limemuachia shemu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama uko sahihi huyo unaemsema wewe anaitwa jaguar 🐆 anapatikana marekani ya kusini huyo unaemuita mamba ni alligator 🐊 ... tiger kwa asili anapatikana Asia ... na kwa taarifa tu hakuna mnyama anaeweza kufanya huo upumbavu wa kuwinda mamba mtoni ( the strongest bite on earth 🌍 ) Hakuna mnyama anaeweza kuwinda hawa jamaa nile crocodile au salt crocodile labda alligator they’re more like lizards than mazafaka crocs
Si zani kama upo sawa kuna clip week iliyopita niliona chui ametoka na mamba ndani ya maji amembana kama chura
 
Kweli kabisa mkuuu. Nakuongezea kwamba Tiger vs African Leopards. Nakuhakikishia huyo tiger anakimbia pambano

Sent using Jamii Forums mobile app

We unaota! Chui apigane na tiger tangu lini!? Anaanzia Wapi?

Tiger ni mnyama mkubwa na mwenye nguvu nyingi sana anaweza kuua mnyama yoyote yule.

Ni simba pekee anayeweza kupambana na tiger! Tena awe simba dume!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chui apambane na simba?? Huu mzaa sasa
Simba kupewa ufalme wa Pori si kwamba ata win kila battle ila ni ule ujasiri wake wa Kuto kuogopa Chochote kile Simba ana patience kubwa na yupo tayari kufa katika battle field hakati tamaa hata kidogo, Chui akiona haelewi tu ni mbio kitu ambacho simba hana ni mara chache ukute battle yao katika open space kwanza chui hana time na simba akishamuona ataendelea na mishe zake ila in real sense ukiwaweka kwenye Cage basi Simba ana likely chance ndogo sana kuchomoka mana Chui yupo na advantage nyingi sana haswa flexibility compare na simba. Tiger ni msala sana wazee ni kama unavyo ona ujinga wa Mbwa kujimwambafai akiwa na binadamu wanakimbiza Paka kwa support ya binadamu na mbwa wako wengi paka ana weza kupoteza ila fungia kwenye cage wawili ndo utajua Mbwa hafui dafu hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishaona battle ya simba vs tiger wakuu sio poa, ilikua hivi wote walikua shimoni sijui waliingia vipi so hakuna aliekua anaweza kutoka yani ulipigwa mkono sio poa ilifikia point tiger alikua hawezi kuamka alikua anapigana kalala chali simba ndo alikua bado yupo active alikua anapigana akiwa bado kasimama ila kajeruhiwa balaa dam zimamwagika. Mwisho wakawa wote wanatazamana. Nilichogundua simba anapumzi kuliko tiger so naweza kusema simba ni habari nyingine anapigana mpaka kufa.
Mi niliona Nat Geo, very huge and tough nyati vs Simba dume, wee usiombe!

Kwa mara ya kwanza nilimpigia salute Simba!

Yaan ni alichangiwa na nyati kama 200, hivi, wale mademu zake Simba wakala kona wote, kidume akadili na nyati 200,

Mpaka wanamdedisha, aliwapiga makofi, na finger za kufa mtu kama 50 hivi!

Yaan hadi anakata roho alihakikisha kaondokoka na roho zao manina!

Salute king of the jungle!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom