mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,511
blaza mamba ni habari nyingine,kwa haraka haraka kuna aina za mamba kama 3 na zaidi hiv,wanapishana umbo mpaka tabia.Upo sawa mpangilio wa wanyama wenye nguvu na wawindaji hodar 1. Ni jagwa. 2 African lion 3. Tiger. 4ndo utakuta chui na wengine wanafata. Pia kwa wanaosema jagwa hawind mamba bas sio wafuatiliaji wa wanyama. Most jagwa anapendelea kukaa kwenye misitu minee kama Amazon hivo chakula chao kikuu ni mamba na viumbe wengine wanaopatikana misituni. Simba anapewa heshima kwasababu tu anavumilia sana wataalamu wanasema simba mmoja anaweza kuwinda prey aliyemzid mara mbili tofaut na hapo itabid wawe kund kubwa ndo wapate chakula. Ila jagwa anasifika kwa kuwinda mwenyewe na huwa akimbiz yy anateka anakamata na kuua.
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu jaguar anakamata aina fulani ya mamba ni wadogo kiumbo hata kuliko yeye,kuna baadhi ya hizi mashine za huku africa,zinafunga mpaka kg 900.hapo aje jaguar na ukoo mzima wataishia kunywa maji tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
anapatikana marekani ya kusini huyo unaemuita mamba ni alligator
... tiger kwa asili anapatikana Asia ... na kwa taarifa tu hakuna mnyama anaeweza kufanya huo upumbavu wa kuwinda mamba mtoni ( the strongest bite on earth
) Hakuna mnyama anaeweza kuwinda hawa jamaa nile crocodile au salt crocodile labda alligator they’re more like lizards than mazafaka crocs