Simba vs Tiger

Simba vs Tiger

yule baharia anakamata mguu nyumbu wa kg 150,anamrudisha kwenye maji kwa kumrusha,nyumbu anasalimu amri.

ijekuwa jaguar ambaye akiwa kazipatia pesa anafika kg 70 tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mfano wako hau-relate kabisa na uhalisia

Inaonekana hujawahi ona hata ma bodybuilder wanaonyanyua heavy weight vilivyowazidi wao
 
Simba sio mkubwa kama Tiger

Kiasili Tiger wanapatikana Asia na Ulaya Mashariki ambayo ni Russia na Tiger wakubwa kbsa wanapatikana Siberia
Tofauti na wa india na kadhalika

Kwenye sifa za kuwinda

Simba ndio paka ambao wanawinda kwa ushirikiano tofauti na jamii nyingine ya paka

Kwenye kupiga simba Tiger wa umri mmoja

Kwanini simba atashinda na Tiger atashindwa

Simba anapigana kwa kutumia mguu mmoja wa mbele na kusimama kwa mitatu iliyobaki wakati Tiger yeye anapigana kwa miwili kwa wakati mmoja na miwili ya nyuma anasimamia
Simba kwenye mapigano anamoyo wakupigana mpaka kifo atakama anajua anashindwa lakini Tiger hanauwezo huo wakupigana kwa muda mrefu

Simba dume ana mane nywele za pale shingoni ile nisilaha tosha kwake inamkinga zidi ya Adui wakati Tiger hana hizo

Simba kwa kimkakati anauwezo mkubwa sana wakumpiga Tiger kuliko mikakati ya Tiger kwakuwa Tiger sio mvumilivu kama simba
Ukitaka kujua Roho ngumu ya simba ..Dume moja la simba lipo tayari kupigana na madume manne akijua kbsa hanauwezo ila analinda Heshima yake mpaka umauti unamkuta ,kwa hiyo simba amepewa sifa za ziada ambazo nitofauti na paka wengine

Pia tambua simba anaona usiku mara nane ya binamu kwa usiku

Tambua kuwa simba Dume anapounguruma sauti yake inasikika mile 8

Tambua pia simba nipaka wanaoishi kaya ambapo wapo mashangazi mabibi mama na watoto mabinamu na Baba zao na ni mwiko mwanaume kumpanda Mama au Dada yake tofauti na paka wengine

Pia tambua simba ndio paka pekee ambao wakiamua leo wale mnyama wanayemtaka wanafanya hivyo mfano tembo twiga nk

Simba jike watoto wao wanaruhusiwa kunyonya kwa mama yoyote wakaya yao na mtoto analindwa na kina mama wote atakama sio wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mdau mkubwa sana wa maswala ya wanyama na ndege nimependa maelezo yako umeeleza kwa kujiamini sana.
 
We jidanganye na stori za mtaani eti simba dime hajui kuwinda, siku ukiingia kwenye 18 zake ndo utajuta
Simba dume hana uwezo mzuri wa kuwinda kutokana na kuwa na vichwa vikubwa hivyo kukosa mwendo mzuri. Ila kwa wana nguvu nyingi sana, bila madume haya ni ngumu kwa masimba jike kuua nyati, twiga au tembo. Pia ni vizuri kuweka record sawa kuwa Simba ndie mnyama anayeongoza kwa kuwa na mwili ambao sehemu kubwa ni misuli, ndio maana unaambiwa simba dume ana uwezo wa kusukuma tani moja kwa mguu mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa, watu wanacheza na mamba ndani ya maji.

Mamba huyuhuyu atolewe na tiger kwenye maji? Huu sasa ni utani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa Jaguar anakula vile vimijusi vinavyofanana na mamba (Caiman), nadhan havina hata kilo mia moja, Jaguar akijichanganya kwa Nile crocodile siku hiyo hiyo anakutana na Israel. Nile crocodile anafikia hadi tani moja na akiwa na one of the strongest bites in the animal kingdom.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo kawa overrated sana na hiyo inatokana na ile mikwara ya sauti yake

We jifikirie tu, anaitwa lion king mara king of the jungle lakini hata kuwinda halijui lenyewe kula kulala tu kazi zote za uwindaji limemuachia demu wake

Mpaka hapo tayari simba dume hapaswi kuitwa king of the jungle wakati ni kibenten yani analelewa
Wakati mwingine wanyama wana mgawanyo wa kazi, kazi ya simba dume ni ulinzi na hili huwa analifanya vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa Jaguar anakula vile vimijusi vinavyofanana na mamba (Caiman), nadhan havina hata kilo mia moja, Jaguar akijichanganya kwa Nile crocodile siku hiyo hiyo anakutana na Israel. Nile crocodile anafikia hadi tani moja na akiwa na one of the strongest bites in the animal kingdom.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata huyo caiman unaemuongelea sidhan kama ni rahisi kumuwinda kama anavyofanya jaguar. Nafikiri bado jaguar anastahili sifa yake.
 
Mbwa mwitu SI jamii ya paka. Yaani hawa undugu na Paka. Siyo Ukoo mmoja.


Nimependa maelezo haya. Yamechambua vizuri nguvu na udhaifu wa kila mmoja katika aina hizi za paka. Ni kweli Simba hana mzaha linapokuja suala la kupambana. Huwezi ukamtoa nduki kama unavyoweza kufanya kwa Tiger and the like. Utamuua akijilinda huku akitafuta uwezekano wa kukumaliza na wewe

Ila nina swali moja mkuu. Umesema Simba ndio mnyama wa aina ya paka anaewinda kwa pamoja. Je mbwa mwitu hawako kwenye kundi hili maana wao haswaa ndio wawindaji kwa group
 
Nimependa maelezo haya. Yamechambua vizuri nguvu na udhaifu wa kila mmoja katika aina hizi za paka. Ni kweli Simba hana mzaha linapokuja suala la kupambana. Huwezi ukamtoa nduki kama unavyoweza kufanya kwa Tiger and the like. Utamuua akijilinda huku akitafuta uwezekano wa kukumaliza na wewe

Ila nina swali moja mkuu. Umesema Simba ndio mnyama wa aina ya paka anaewinda kwa pamoja. Je mbwa mwitu hawako kwenye kundi hili maana wao haswaa ndio wawindaji kwa group
kwani mbwa mwitu ni jamii ya paka? au wewe unatumia kigezo gani kuwaweka katika jamii ya paka? miguu minne?
 
kwani mbwa mwitu ni jamii ya paka? au wewe unatumia kigezo gani kuwaweka katika jamii ya paka? miguu minne?
Mimi sijawaita mbwa mwitu kua ni jamii ya paka. Ukisoma vizuri post yangu utaona kua nilikua nauliza swali kutaka kueleweshwa na nashukuru kuna wadau wamenielewesha katika post zilizopita kuhusu baadhi ya wanyama wawindao kma hao mbwa mwitu kutokua kwenye kundi la paka
 
Wakati mwingine wanyama wana mgawanyo wa kazi, kazi ya simba dume ni ulinzi na hili huwa analifanya vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
na ni miongoni mwa sifa zilizomfanya kuitwa king of a jungle,

simba wana utaratibu wa ajabu kidogo tofauti na wanyama wengine.hasa hapo pa kutokula kilichokufa bila kuuwawa,kuingilia na kuzaa na ndugu,kuua watoto wasio wake ili aanzishe kizazi damu yake.

ila paka wengine hawafanyi hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hata huyo caiman unaemuongelea sidhan kama ni rahisi kumuwinda kama anavyofanya jaguar. Nafikiri bado jaguar anastahili sifa yake.
caiman ni mamba mdogo tu,na anaowawinda jaguar hawafiki hata kg 50 asingeweza hata kuwaburuza.

sasa ukiangalia video zake,jaguar anakamata shingo halafu ananyanyua na kuondoka. yaani akishiba vizuri huyo mdudu kitendo cha kumshika shingo huwa anageuka mzima mzima kama anakataa hivi hilo swala,fikiria ni kg 100 zinageuka kwa kasi ile,lazima jaguar agairi na kuamua kula mboga ya majani siku hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
caiman ni mamba mdogo tu,na anaowawinda jaguar hawafiki hata kg 50 asingeweza hata kuwaburuza.

sasa ukiangalia video zake,jaguar anakamata shingo halafu ananyanyua na kuondoka. yaani akishiba vizuri huyo mdudu kitendo cha kumshika shingo huwa anageuka mzima mzima kama anakataa hivi hilo swala,fikiria ni kg 100 zinageuka kwa kasi ile,lazima jaguar agairi na kuamua kula mboga ya majani siku hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
caiman ni mamba mdogo tu,na anaowawinda jaguar hawafiki hata kg 50 asingeweza hata kuwaburuza.

sasa ukiangalia video zake,jaguar anakamata shingo halafu ananyanyua na kuondoka. yaani akishiba vizuri huyo mdudu kitendo cha kumshika shingo huwa anageuka mzima mzima kama anakataa hivi hilo swala,fikiria ni kg 100 zinageuka kwa kasi ile,lazima jaguar agairi na kuamua kula mboga ya majani siku hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅😅ila watu ... ale mboga za majani aisee🤣🤣🤣🤣🤣uzi ufungwe tu maana watu wanachanganya mambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom