LwandaMagere
JF-Expert Member
- Mar 15, 2020
- 264
- 2,489
- Thread starter
- #41
Hapana mkuu, simba wameumbwa kupigana (warrior cat) na tiger ameumbwa kuua (killer cats).
Hiko hivi wakikutana mbugani Kati ya simba na tiger, tiger ni mnyama wenye madharau atakimbia na kuondoka.
Lakini ikitokea wakifungiwa kwenye cage sioni nafasi ya simba kuchomoka. Tiger anazo advantage nyingi sana kuliko simba, unaambiwa kofi moja la tiger lina KG 80.

Kwahiyo mkuu hilo kofi la kg 80 mbona ni balaaTulia hivyo hivyo dawa ikuingie..

will win ...judging by the size tiger is more heavy than lion (200kg vs 235kg)...AGGRESSIVENESS tiger is more aggressive than lion ... so if same age ... same sex lion stands no chance
anapatikana marekani ya kusini huyo unaemuita mamba ni alligator
... tiger kwa asili anapatikana Asia ... na kwa taarifa tu hakuna mnyama anaeweza kufanya huo upumbavu wa kuwinda mamba mtoni ( the strongest bite on earth
) Hakuna mnyama anaeweza kuwinda hawa jamaa nile crocodile au salt crocodile labda alligator they’re more like lizards than mazafaka crocs