Simba vs Tiger

Simba vs Tiger

Hapana mkuu, simba wameumbwa kupigana (warrior cat) na tiger ameumbwa kuua (killer cats).
Hiko hivi wakikutana mbugani Kati ya simba na tiger, tiger ni mnyama wenye madharau atakimbia na kuondoka.
Lakini ikitokea wakifungiwa kwenye cage sioni nafasi ya simba kuchomoka. Tiger anazo advantage nyingi sana kuliko simba, unaambiwa kofi moja la tiger lina KG 80.
Kwahiyo mkuu hilo kofi la kg 80 mbona ni balaa

Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie..
 
Sidhani kama uko sahihi huyo unaemsema wewe anaitwa jaguar 🐆 anapatikana marekani ya kusini huyo unaemuita mamba ni alligator 🐊 ... tiger kwa asili anapatikana Asia ... na kwa taarifa tu hakuna mnyama anaeweza kufanya huo upumbavu wa kuwinda mamba mtoni ( the strongest bite on earth 🌍 ) Hakuna mnyama anaeweza kuwinda hawa jamaa nile crocodile au salt crocodile labda alligator they’re more like lizards than mazafaka crocs
Mkuu jaguar ni mweusi, hapa namzungumzia chui huyu mwenye mabaka nikipata link ntaiweka hapa

Na huyu chui inafahamika chakula chake anachokipendelea ni mamba
 
Kama watakua na umri sawa tiger will win ...judging by the size tiger is more heavy than lion (200kg vs 235kg)...AGGRESSIVENESS tiger is more aggressive than lion ... so if same age ... same sex lion stands no chance
Upo sahihi sema,nimeona video nyingi za mapampano ya Tiger na Simba mwishoni Tiger huwa anashindwa ni kutokana na kuchoka. Hawezi kupigana muda mrefu,yeye ana attack kali yenye uhakika na kwa muda mfupi tofauti na simba ambaye ana uwezo wa kupambana muda mrefu.

All in all Tiger na Simba ni kama mnyama mmoja na hawawezi kukaa eneo moja kwa sababu wote wanajijua ndo wako juu ya ile ya rank ya eco system. Thatz why Simba anapatikana Afrika na Tiger yupo Asia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba kupewa ufalme wa Pori si kwamba ata win kila battle ila ni ule ujasiri wake wa Kuto kuogopa Chochote kile Simba ana patience kubwa na yupo tayari kufa katika battle field hakati tamaa hata kidogo, Chui akiona haelewi tu ni mbio kitu ambacho simba hana ni mara chache ukute battle yao katika open space kwanza chui hana time na simba akishamuona ataendelea na mishe zake ila in real sense ukiwaweka kwenye Cage basi Simba ana likely chance ndogo sana kuchomoka mana Chui yupo na advantage nyingi sana haswa flexibility compare na simba. Tiger ni msala sana wazee ni kama unavyo ona ujinga wa Mbwa kujimwambafai akiwa na binadamu wanakimbiza Paka kwa support ya binadamu na mbwa wako wengi paka ana weza kupoteza ila fungia kwenye cage wawili ndo utajua Mbwa hafui dafu hata kidogo
 
ushasema mbwa ,yeye kaongelea aina ya paka sio ya mbwa

Ila nina swali moja mkuu. Umesema Simba ndio mnyama wa aina ya paka anaewinda kwa pamoja. Je mbwa mwitu hawako kwenye kundi hili maana wao haswaa ndio wawindaji kwa group
[/QUOTE]
 
Upo sahihi mkuu, mamba hawindwi akiwa majini, never ever. Hao wanawindaga alligators
Sidhani kama uko sahihi huyo unaemsema wewe anaitwa jaguar anapatikana marekani ya kusini huyo unaemuita mamba ni alligator ... tiger kwa asili anapatikana Asia ... na kwa taarifa tu hakuna mnyama anaeweza kufanya huo upumbavu wa kuwinda mamba mtoni ( the strongest bite on earth ) Hakuna mnyama anaeweza kuwinda hawa jamaa nile crocodile au salt crocodile labda alligator they’re more like lizards than mazafaka crocs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakurekebisha ,kiboko(hippopotamus) ndiye mnyama mwenye mng'ato wenye nguvu zaidi duniani (strongest bite on earth).

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana niko sahihi strongest bite on earth 🌎 wa kwanza nia mamba wapili ni MAMBA (1. Salt crocodile wa kule India 2.Nile crocodile wa pale Nyumba ya Mungu 3.Hippopotamus ) Hippo 🦛 anashikilia ya record ya mammals wote duniani Crocs wanashikilia ya wanyama wote duniani
 
Mkuu jaguar ni mweusi, hapa namzungumzia chui huyu mwenye mabaka nikipata link ntaiweka hapa

Na huyu chui inafahamika chakula chake anachokipendelea ni mamba
Kuna jaguar 🐆 wa rangi mbili kuna weusi na ambao wanafanana na chui hata chui kuna weusi japo ni nadra kuwaona lakini wapo
 

Attachments

  • Screenshot_2020-04-28-12-29-14.png
    Screenshot_2020-04-28-12-29-14.png
    311.5 KB · Views: 9
clips kibao zinaonyesha feilure ya simba kwenye harakati za kuwinda.

ufalme wa nyika simba amepewa sababu ya uvumilivu wa hali ngumu,na si vinginevyo.

tiger ana tabia na hulka kama za paka,(ubosi)ndio maana alashindwa hapo.otherways alikuwa ni kiumbe asiye na mzaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana niko sahihi strongest bite on earth 🌎 wa kwanza nia mamba wapili ni MAMBA (1. Salt crocodile wa kule India 2.Nile crocodile wa pale Nyumba ya Mungu 3.Hippopotamus ) Hippo 🦛 anashikilia ya record ya mammals wote duniani Crocs wanashikilia ya wanyama wote duniani
Yes! Ni sawa mkuu nimechimba kidogo upo sahihi kwa 100%
Top 10 Most Powerful Animal Bites - The Mysterious World
Nimepitia link hiyo wa kwanza ni mamba tena wa nile .
 
Simba kupewa ufalme wa Pori si kwamba ata win kila battle ila ni ule ujasiri wake wa Kuto kuogopa Chochote kile Simba ana patience kubwa na yupo tayari kufa katika battle field hakati tamaa hata kidogo, Chui akiona haelewi tu ni mbio kitu ambacho simba hana ni mara chache ukute battle yao katika open space kwanza chui hana time na simba akishamuona ataendelea na mishe zake ila in real sense ukiwaweka kwenye Cage basi Simba ana likely chance ndogo sana kuchomoka mana Chui yupo na advantage nyingi sana haswa flexibility compare na simba. Tiger ni msala sana wazee ni kama unavyo ona ujinga wa Mbwa kujimwambafai akiwa na binadamu wanakimbiza Paka kwa support ya binadamu na mbwa wako wengi paka ana weza kupoteza ila fungia kwenye cage wawili ndo utajua Mbwa hafui dafu hata kidogo
Upo sawa mpangilio wa wanyama wenye nguvu na wawindaji hodar 1. Ni jagwa. 2 African lion 3. Tiger. 4ndo utakuta chui na wengine wanafata. Pia kwa wanaosema jagwa hawind mamba bas sio wafuatiliaji wa wanyama. Most jagwa anapendelea kukaa kwenye misitu minee kama Amazon hivo chakula chao kikuu ni mamba na viumbe wengine wanaopatikana misituni. Simba anapewa heshima kwasababu tu anavumilia sana wataalamu wanasema simba mmoja anaweza kuwinda prey aliyemzid mara mbili tofaut na hapo itabid wawe kund kubwa ndo wapate chakula. Ila jagwa anasifika kwa kuwinda mwenyewe na huwa akimbiz yy anateka anakamata na kuua.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom