THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,727
- 3,286
Imekua ni utaratibu kwa Mashabiki wa Simba kuwa na wivu wakiona Team za Ligi kuu zinafungwa kama wao.
Yani wanatamani sana zile 5 walifungwa wao zibaki wao tu wawe wa kipekeee.
Saiv najua bado Mapopoma yapo huko yanamalizia kuoga yaanze kutiririka hapa Mara goli za offside mara goli la 5 limedundia nje.
Na sisi tunakubali yale ni makosa ya kibinadamu ...hatukatai ila kumbuken na nyie refa aliamuru Kona Mapinduzi wakat sio sahihi.
Naomba tuanze mapema kujadili haya magoli ya YANGA maana sisi tumejiweka kuzisemea kila Team zikifungwa na yanga Mara yanga katoa bahasha kwa Refa mara kwa Team.
#SHABIKI LIALIA WA KOLO WAS HERE
Yani wanatamani sana zile 5 walifungwa wao zibaki wao tu wawe wa kipekeee.
Saiv najua bado Mapopoma yapo huko yanamalizia kuoga yaanze kutiririka hapa Mara goli za offside mara goli la 5 limedundia nje.
Na sisi tunakubali yale ni makosa ya kibinadamu ...hatukatai ila kumbuken na nyie refa aliamuru Kona Mapinduzi wakat sio sahihi.
Naomba tuanze mapema kujadili haya magoli ya YANGA maana sisi tumejiweka kuzisemea kila Team zikifungwa na yanga Mara yanga katoa bahasha kwa Refa mara kwa Team.
#SHABIKI LIALIA WA KOLO WAS HERE