MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Dodoma Jiji FC kabla ya Kucheza na Simba SC kuanzia Msemaji wao, Mlezi wao Mkuu na Mbinge Antony Mavunde hadi Kiongozi wao Mwandamizi Kunambi walikuwa mara kwa mara wakizungumza, wakiitishia Simba SC huku wakiikamia ile mbaya Mechi husika.
Je, mmeshajiuliza ni kwanini Viongozi hawa hawa niliowataja hapa kuelekea Mechi yao ya Leo dhidi ya Yanga SC wamekaa Kimya na hata Mbunge Mavunde hajatoa Ahadi yake ya Pesa Tsh Milioni 10 au 20 kwa Wachezaji wa Dodoma Jiji FC kama ambavyo aliwaahidi kipindi kile wanacheza na Simba SC pale Jamhuri Stadium Dodoma?
Nawapa Pole wale Wote ambao mnadhani na Kujidanganya kuwa leo Yanga SC itafungwa au itatoka Sare na Tawi lake la Dodoma Jiji FC Mkapa Stadium ila kwa Watu wa Mpira tunajua leo Dodoma Jiji FC anaenda kugawa Takrima ya Kalamu ya Magoli kwa Yanga SC ili waiache mbali Simba SC kwa idadi Kubwa ya Magoli kwani mwendo wa Simba SC wa zile Goli 4 zilizoanza kwa KMC FC zimeitisha.
GSM natumai kuwa mmeshamaliza Kazi.
Je, mmeshajiuliza ni kwanini Viongozi hawa hawa niliowataja hapa kuelekea Mechi yao ya Leo dhidi ya Yanga SC wamekaa Kimya na hata Mbunge Mavunde hajatoa Ahadi yake ya Pesa Tsh Milioni 10 au 20 kwa Wachezaji wa Dodoma Jiji FC kama ambavyo aliwaahidi kipindi kile wanacheza na Simba SC pale Jamhuri Stadium Dodoma?
Nawapa Pole wale Wote ambao mnadhani na Kujidanganya kuwa leo Yanga SC itafungwa au itatoka Sare na Tawi lake la Dodoma Jiji FC Mkapa Stadium ila kwa Watu wa Mpira tunajua leo Dodoma Jiji FC anaenda kugawa Takrima ya Kalamu ya Magoli kwa Yanga SC ili waiache mbali Simba SC kwa idadi Kubwa ya Magoli kwani mwendo wa Simba SC wa zile Goli 4 zilizoanza kwa KMC FC zimeitisha.
GSM natumai kuwa mmeshamaliza Kazi.