Mawawa
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,569
- 5,051
Mnyama mkali kuwahi kutokea dunian, Simba sc atakuwa dimbani kuchezea dhidi ya timu ndogo Yanga sc nusu fainali ya Azam federation cup jumamosi hii.
Ikumbukwe kuwa Simba sc wamekuwa wakiifumua vilivyo watani zao 🐸 katika mashindano haya.
Wamekutana mara mbili, huku mnyama huyo mkali akiibuka mshindi katika mechi zote mbili nakufunga jumla ya magoli matano huku mtani wake 🐸 akiambulia goli moja pekee.
Natabiri tena Simba sc kuendeleza dozi kali jumamosi hii dhidi ya timu ndogo Yanga sc.
Ikumbukwe kuwa Simba sc wamekuwa wakiifumua vilivyo watani zao 🐸 katika mashindano haya.
Wamekutana mara mbili, huku mnyama huyo mkali akiibuka mshindi katika mechi zote mbili nakufunga jumla ya magoli matano huku mtani wake 🐸 akiambulia goli moja pekee.
Natabiri tena Simba sc kuendeleza dozi kali jumamosi hii dhidi ya timu ndogo Yanga sc.