ohh kidedea..oh kidedea tuu...mwaka huu hakuna mchezo tuu...dozi baada dozi....timu imjengwa na vifaa vyote kuanzia mbinu,saikolojia hakuna ubishi wala nini..kambini chakula ya hali ya juu...posho wanapewa kila baada ya mchezo na Patrick Phiri anawalea wachezaji kama mzazi....tukirudi mwanza ubigwa utakuwa tayari kukabidhiwa....