WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Ulishaona mtu ambaye kashindikana ( mke au mume) lakini akafika mahali akawa mpoleeee! Mnadhani inawezekana vipi? hakuna mzizi wala hirizi hapo!
Kazi kwenu!
Kazi kwenu!
Kwa kila kitu....Kasindikana kwa lipi..hebu tuanzie hapo kwanza!!
Ulishaona mtu ambaye kashindikana ( mke au mume) lakini akafika mahali akawa mpoleeee! Mnadhani inawezekana vipi? hakuna mzizi wala hirizi hapo!
Kazi kwenu!
Inakuwa vigumu sana kwa mme/mke kushindikana kwa kila kitu,labda tuambie katika vyanja gani?Kazini,nyumbani,mapenzi,mtaani au ni mwizi,jambazi,malaya?Kwa kila kitu....
Mh yani....Mlevi,Malaya,Mwizi, Mgomvi,........etc !! zote izi character ya mtu mmoja? :help:Kwa kila kitu....
Kwa kila kitu....
Ulishaona mtu ambaye kashindikana ( mke au mume) lakini akafika mahali akawa mpoleeee! Mnadhani inawezekana vipi? hakuna mzizi wala hirizi hapo!
Kazi kwenu!
Kwa kila kitu....
Hommie ushawahi kuhisi kuhitaji kitu fulani lakini hukijui....?nimekusoma between the lines WOS, na hapo niseme tu kwamba sio lazima awe ni mke/mume by then....kuna hata wale ambao hawajaingia kwenye huio mchakato lakini wanaonekana wameshindikana.....but wanafika mahali wanakuwa wapole tu...ila inatakiwa pia kuwa na aklili za ziada na ubunifu kuwa win back....
Ulishaona mtu ambaye kashindikana ( mke au mume) lakini akafika mahali akawa mpoleeee! Mnadhani inawezekana vipi? hakuna mzizi wala hirizi hapo!
Kazi kwenu!
Ulishaona mtu ambaye kashindikana ( mke au mume) lakini akafika mahali akawa mpoleeee! Mnadhani inawezekana vipi? hakuna mzizi wala hirizi hapo!
Kazi kwenu!
Mh yani....Mlevi,Malaya,Mwizi, Mgomvi,........etc !! zote izi character ya mtu mmoja? :help:
HAHAHAAAAAAAAAAAAAA..... yaani hapo bado sio kila kitu... kila kitu ni balaa
labda tukiongeza na hali, hanyi, haogi, hafui, haongei, hasikilizi, hatazami, hajui, haelewi, havai, havui, hatembei, hakai, hasimami, halali, hagusi, haguswi... hapo labda ndio itakua kila kitu!!! in short hakuna binadamu aliyeshindwa kila kitu jamani, AU NAKOSEA?
Ulishaona mtu ambaye kashindikana ( mke au mume) lakini akafika mahali akawa mpoleeee! Mnadhani inawezekana vipi? hakuna mzizi wala hirizi hapo!
Kazi kwenu!
Ulishaona mtu ambaye kashindikana ( mke au mume) lakini akafika mahali akawa mpoleeee! Mnadhani inawezekana vipi? hakuna mzizi wala hirizi hapo!
Kazi kwenu!