Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Excellent mkuu. Kupata kwake ziro si kwamba hakuwa na akili, kumbuka kule Simanjiro ndipo kitovu cha tanzanite. Utajuaje kama Sendeka alikuwa pia anazamia migodini na kusoma pia hivyo muda wake ukagawanyika??
once again we are discussing about the merit of people instead of issues
Sielewi Mdondoaji unam challenge nini Maane, Maane alisema kupata kwake Div 0 si kwamba Sendeka hakuwa na akili wewe ukamwambia asi discuss Merit a discuss issues nikakwambia issue ya Div0 ni Millya mwenyewe kaileta nafikiri mlaumu Millya na si mwingine afterall naona hata wewe sasa unaongelea yaleyaleHivi Kingunge ana division gani? let alone kusoma? Does politics needs someone to have a division? mbona US kuna marais hawakwenda hata darasa moja but wamekuwa marais? Acheni kucomplicate issue mie nadhani la muhimu ni mtu kuwajali wananchi na kuwa na hekima na busara basi.
Swali la shule ni additional qualification tu!!!!