Wazee, huyu millya ni kilaza kupita maelezo. Chuo alichosoma mtu akimaliza masters lazima afanye publication in pieer reviewed journal. Lakini thesis yake haijatoa paper hata moja na ni 54 pages. Sasa hii kazi alinakili mahali au alifanya utafiti? na kama ni tafiti why not published? Was it of low quality or not even needed in journals. maojiano yake na waandishi yamenifanya nifikie kuuliza hayo maswali hapo. Wana jamvi nisaidieni.
Uwezo wa Kitila kila siku unashuka,haiwezekani katika maandishi yote hata wewe huwezi kuona hoja ata moja,Mengi ni ***** moja ambalo linamtetea mtu bila kujali ata kama amekosa,Millya sio kichaa ila niwazi kuwa walinunua mashahidi wake ili wakamruke,as inawezekana vipi mtu awe shahidi Millya then awe mwenyekiti wa kamati ya mapokezi baada ya Sendeka kushinda kesi.....shame upon you all mn aomtetea kichaa sendeka kwa mwavuli dhaifu wa ufisadi uliojengwa kwenye misingi ya wivu na uchocheziSasa hapa amemlipua au kajilipua? Ajue kuwa jamii haipendi watu wanafiki na wanaopenda kujipatia mafanikio kwa njia za mkato. Anamlaumu bure tu Mengi wa watu. Haya yote alijitakia mwenyewe. Hujitangazii umakini au usafi. Acha jamii waone, watasema. Kwa sasa jamii inamuona kijana huyu kuwa ni mtu aliyepotoka kwa unafiki na kutumiwa kisiasa na wanasiasa waliochafuka katika macho ya jamii. Katika siasa ukijiunga na wachafu kisiasa nawe unachafuka. Milya ulishachafuka, na kujisafisha sio kumlaumu Mengi.
Uwezo wa Kitila kila siku unashuka,haiwezekani katika maandishi yote hata wewe huwezi kuona hoja ata moja,Mengi ni ***** moja ambalo linamtetea mtu bila kujali ata kama amekosa,Millya sio kichaa ila niwazi kuwa walinunua mashahidi wake ili wakamruke,as inawezekana vipi mtu awe shahidi Millya then awe mwenyekiti wa kamati ya mapokezi baada ya Sendeka kushinda kesi.....shame upon you all mn aomtetea kichaa sendeka kwa mwavuli dhaifu wa ufisadi uliojengwa kwenye misingi ya wivu na uchochezi
Uwezo wa Kitila kila siku unashuka,haiwezekani katika maandishi yote hata wewe huwezi kuona hoja ata moja,Mengi ni ***** moja ambalo linamtetea mtu bila kujali ata kama amekosa,Millya sio kichaa ila niwazi kuwa walinunua mashahidi wake ili wakamruke,as inawezekana vipi mtu awe shahidi Millya then awe mwenyekiti wa kamati ya mapokezi baada ya Sendeka kushinda kesi.....shame upon you all mn aomtetea kichaa sendeka kwa mwavuli dhaifu wa ufisadi uliojengwa kwenye misingi ya wivu na uchochezi
Mzee kingunge Ngombale Mwiru au Keaton Morris ni University graduate tena wa enzi zileHivi Kingunge ana division gani? let alone kusoma? Does politics needs someone to have a division? mbona US kuna marais hawakwenda hata darasa moja but wamekuwa marais? Acheni kucomplicate issue mie nadhani la muhimu ni mtu kuwajali wananchi na kuwa na hekima na busara basi.
Swali la shule ni additional qualification tu!!!!