EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Si unajua tena mafisi yakimuona fisi mwenzao kadondokewa na damu kidogo tu wanamtafuna mzima-mzima.
wache WAUANEE....wache WAUANE🪕
Si unajua tena mafisi yakimuona fisi mwenzao kadondokewa na damu kidogo tu wanamtafuna mzima-mzima.
Hawamuheshimu mwenyekiti.Wamefanyaje
Mhhhh!Hawamuheshimu mwenyekiti.
Ni kawaida hata Membe bila shaka aliitwa then akafurushwa ndani ya Chama.....sio jambo la kushangaza ni utaratibu wa CCM kwa wanachama wake....
Bila shaka hata vyama vingine vina taratibu zake, tuheshimu taratibu za vyama vyetu....Ndio demokrasia, ukikosea unaitwa unasikilizwa then hukumu inatoka...
Utabiri unazidi kutimia
"Wakitumaliza sisi wataanza wenyewe kwa wenyewe"
Hio inahusiana nini? Kwani Membe, sofia simba na wengine si walifukuzwa na CC na wamerudi ishu ni kuumana tu.Kuitana CC na kunyooshana kupo miaka na miaka oabla hajazaliwa Lissu
Hawatamuweza.Hapo anayetafutwa ni polepole wengine wamechomekewa tu.
Pole pole hata akifukuzwa CCM ubunge wake utabaki palepale maana ni wakuteuliwa na Rais labda apate teuzi nje a.k.a Ubalozi kama ilivyokuwa kwa oHapo anayetafutwa ni polepole wengine wamechomekewa tu.
Two wrongs can't make it right.Alihoji Bernad Membe kuhusu haki yake ya kuwa mgombea Urais kwenye chama 2020 na matokeo yake alifukuzwa uwanachama.
Ni mwepesi sana nje ya CCM hakuna mkubwa zaid ya chamaHawatamuweza.
Kwangu mimi kuitwa kuhojiwa kwa mwanaCCM au Kiongozi wa CCM sio jambo geni. Ila hoja inakuja kwamba akiwaambia ukweli watakubali? Wataufanyia kazi?Kujikosoa ni msingi imara wa taasisi yoyote ile. Maana mnapojikosoa ndio hapo mnajiweka sawa na kujirekebisha.
Kwa muda mfupi tangu hayati JPM atutoke watanzania kwa macho yao wameshuhudia mabadiliko makubwa.
kuna dalili mradi mkubwa kama JNHP hautakamilika kama ilivyopangwa, kuna dalili za rushwa kama za Escrow kurudi kupitia mgao wa umeme, harufu za ufisadi kila kona mbaya zaidi ni hata mwaka haujaisha tokea hayati JPM afariki.
Je kwa mwanaCCM kama Polepole kuhoji na kukosoa haya mabaya yanahochafua serikali na chama cha CCM ni kosa?