Sikuwa mjinga, niliamini niko sahihi, leo Ndugai amejibu

HII NCHI INA UPUMBAVU MWINGI SANA, MIKATABA YA BANDARI YA BAGAMOYO UMEIONA AU UNATAKA KUSHABIKIA VITU ILIMRADI NA WEWE UJIONE NI MCHAMBUZI WA SIASA.
 
Njama kuu zinatokea South Africa kwani Bandari ya Darban ndiyo Bandari kuu kwa upande huu na ndiyo tegemezi kwa zimbabwe Botswana Zambia na hata msumbiji yenyewe hivyo uwepo wa Bandari kubwa mpya ni pigo kwa Bandari za Angora, Tanzania, kenya congo Brazzaville nk

Asante kwa Ufafanuzi mzuri. Ila ni Durban na siyo Darban. Kumbe nilichokuwa nakihisi kuhusu haya Machafuko huko nchini Msumbiji na baadhi Wafuatiliaji wema wa Masuala nanyi pia mmehisi hivyo hivyo.
 
Kama ambavyo awamu ya tano ilificha ficha taarifa na ninyi ndivyo mnavyokazana kuficha ficha mikataba ya huo mradi, mkataba upelekwe sehemu husika, upitiwe upya na wananchi tuambiwe ABC, ili siku yakianza kwenda ndivyo sivyo tujue wakumshika shati.

Msitumie hizi kelele za kukosolewa kwa awamu ya tano kupitisha mambo yenu binafsi. Hii nchi ni yetu sote.
Ikumbukwe Bunge bado ni la awamu ya tano

Wasituuzie Mbuzi kwenye gunia
 
Karibu mkuu

OFA YA KARUME DAY inaisha saa sita usiku

Kitabu cha "MTU BAADA YA MTU" 20,000/= Badala ya 80,000

Kitabu cha UJASUSI kwa 20,000/= Badala ya 80,000

Lpia kwa:

TigoPesa 0715865544
M-Pesa 0755865544
Airtel Money 0788887887
HaloPesa 0624452045
(Yericko Nyerere)

Tuma majina yako na ulipo

Kwa Dar ni free delivery

Nje ya Dar nauli ni 8,000/=
We yericko yaani kutoa kitabu dar hadi moro ni 8000? Acha wizi
 
Marehemu alitikisa kiberiti avute mpunga tokea kwa Wachina lakini kwa kuwa ile kampuni ni ya Serikali wakagoma kwa kudai kuwa tayari walitumia pesa nyingi kulipa wakazi wa Bagamoyo fidia na kufanya upembuzi yakinifu kwa gharama kubwa ndipo marehemu akaamua kuwasingizia kuwa watakusanya mapato wenyewe pasipo gawio na mengineyo kwa lengo la kuwakomoa, Cha muhimu ni Mkataba kuanikwa wazi hata kwenye mitandao au hata magazeti ili watanzania wote wauchambue vizuri wapate kubaini mapungufu yote kisha waje na jawabu sahihi la kufanikisha ujenzi wa Bandari pasipo Athari kwa pande zote mbili
Mtu ameshakufa basi muache kumsingizia tena maana hawezi kujibu na si utamaduni wetu,mmemsingizia mambo akiwa hai hiyo inatosha haina haja ya kuendelea kumsingizia hadi akiwa amefariki. Mlimsingizia kachanjwa chanjo ya corona kisirisiri ila alivyokufa mnasema kafa kwa corona,muacheni hizi mambo.
 
MIKATABA IWE REVIEWED NA KAMATI ZA NDUGAI? DO THEY HAVE THE CAPACITY TO DO THAT?
Kwani wananchi huwa hawatoi maoni kamati za bunge zikiwa zina review miswada? Issue hapa ni mkataba kuwa wazi kwa wananchi and since hauwezi tu kutolewa mtandaoni hakuna namna zaidi ya walau kufika bungeni ili tujue content na fall back position zetu.
 
Mtu ameshakufa basi muache kumsingizia tena maana hawezi kujibu na si utamaduni wetu,mmemsingizia mambo akiwa hai hiyo inatosha haina haja ya kuendelea kumsingizia hadi akiwa amefariki. Mlimsingizia kachanjwa chanjo ya corona kisirisiri ila alivyokufa mnasema kafa kwa corona,muacheni hizi mambo.
Kasingiziwa nini tena ina maana CAG kafoji namba kumchafua? Kule SGR watu wameongeza interest rate na Kubadili Forex kutumia rate ya siku tofauti na siyo hta ya BOT ili tu hela zizae wapige cha juu. Sasa hapo utasema kasingiziwa?
 
Kuhusu Bandari ya bagamoyo,haujadadavua vzr,kipengere Cha miaka 99,umekuwa shallow sana,
Hati zinatolewa mpka miaka 33,66, na 99 kwahiyo kisheria mwekezaji anaweza kupewa hadi miaka 99. Sasa nashangaa sheria zetu wenyewe ghafla inaonekana kama nchi imeuzwa. Sina details za mkataba lakini kwenye upande wa 99 years hiyo ipo kwenye sheria zetu hta wakatoliki tu kuna maeneo makubwa wame lease for 99 years so sio kitu kipya kwenye utoaji hati.

Na Mradi mkubwa kma huo huwezi toa 33 years ni ndogo sana ku break even au kumaximize capacity ya mradi. So lazma tu wangetoa maximum threshold ya miaka kulease ardhi i.e. miaka 99.
 
Ungepitia Kwanza mkataba neno kwa neno ndo uzungumze hayo yote unless otherwise alieusoma na kutafsiri mkataba anaendelea kuwa sahihi.
 
Huo mradi wa Bagamoyo as long as yupo Mchina, sisi wabongo tunapaswa kuutazama mkataba kwa upya neno hadi neno...wale wapumbavu macho madogo wana hila kuliko mwanadamu yoyote juu ya uso wa nchi...
CCM Kila Siku wanadai kuwa China ni marafiki zetu.... Sasa inakuwaje leo hatuwaamini rafiki zetu wa kweli? Ina maana China na Mabeberu yupi ni bora?
 
Huo mradi wa Bagamoyo as long as yupo Mchina, sisi wabongo tunapaswa kuutazama mkataba kwa upya neno hadi neno...wale wapumbavu macho madogo wana hila kuliko mwanadamu yoyote juu ya uso wa nchi...
Macho madogo wameona fursa ya bwagamoyo for 99yrs mbele. Mchina akisema kila kitu atafanya yeye means huo mradi utakuwa wake mpaka gharama zirudi na kipindi hicho atakuwa amesha exploit mission zake kila kona. Duniani wenzetu wapo kwenye vita vya kiuchumi sasa mchina kaona Africa ndio sehemu anapoweza kupenya kirahisi kwa sababu ya njaa za viongozi wanafiki. Huo mradi kuna %za watu itakuwa sio bure.
 
Back
Top Bottom