BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,020
Details za mkataba ziwekwe hadharani ili tuuchambue kwa kina. Jiwe akiwa Mbunge na Waziri wa Ujenzi halikutia neno bungeni kuhusu mkataba huo.
Huo mradi wa Bagamoyo as long as yupo Mchina, sisi wabongo tunapaswa kuutazama mkataba kwa upya neno nadi neno...wale wapumbavu macho madogo wana hila kuliko mwanadamu yoyote juu ya uso wa nchi...