miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Hata hua hazipandi hizo bora hata li Amarula lile kubwaa eti misschagga
kitu chenye spirit kidogo ndo kinafaaa.. eti ninywe soda aku mie
Last edited by a moderator:
Hata hua hazipandi hizo bora hata li Amarula lile kubwaa eti misschagga
dah umenifanya nicheke tu, hivi kuna wanawake wa dizaini hii kweli?
basi kavuna alichopanda, nimempiga chini.
Umemnunulia pombe, unataka anywe maziwa?! Hii miujiza kwa kweli.
uyo hajaona future kwako, inategemea umri wake mdogo, au ndo kidenti au ndo hivo tena kakuweka special for buziWanajamvi, wanawake kama hamtakubali kubadilika basi mtasubili saaaaana, sisemi ni kosa kunywa pombe ila nashangaa siku ya kwanza tu ya kutoka na mwanaume unajiachia kiasi hiki, unakunywa pombe tena za kutosha utadhani tunajuana miaka 50, jamani jamani, kwa taarifa yenu hata mwanaume mywa pombe anatamani awe na mwanamke asiyekunywa. Hata kama unahusudu pombe, siku za mwanzo za kusomana jizuie kijiexpose kiasi hicho, nimeamua kupiga chini.
Wanajamvi, wanawake kama hamtakubali kubadilika basi mtasubili saaaaana, sisemi ni kosa kunywa pombe ila nashangaa siku ya kwanza tu ya kutoka na mwanaume unajiachia kiasi hiki, unakunywa pombe tena za kutosha utadhani tunajuana miaka 50, jamani jamani, kwa taarifa yenu hata mwanaume mywa pombe anatamani awe na mwanamke asiyekunywa. Hata kama unahusudu pombe, siku za mwanzo za kusomana jizuie kijiexpose kiasi hicho, nimeamua kupiga chini.
Hiyo mijug na mibirika wenyewe wanaiita Shisha basi vijana wetu wanaharibika kweli kwenye hayo madubwasha.Kwa kweli mwanamke mlevi havutii hata kidogo. Pamoja na wavutaji - iwe bangi, sigara, madawa ya kulevya au yale madubwana ya siku hizi (yapo yanakuwa na kimpira hivi na li-jug/ birika...sijui hata wanayaitaje).
I think it's just very unladylike for a female kuwa mlevi. To me it's a deal-breaker.
Halafu ukute janamke lilevi linakunywa mibia halafu linaanza kucheua kama mbuzi...yuck!
Hiyo mijug na mibirika wenyewe wanaiita Shisha basi vijana wetu wanaharibika kweli kwenye hayo madubwasha.
Hookah smoking is typically done in groups, with the same mouthpiece passed from person to person. Source
Mbona sehemu kibao2 hakuna pombe? Nyumbani kwako/kwake/uwanja wa Taifa/viwanja vya ikulu n.k. Siku nyingine ukitoka na Ndito utafute mkwanja wa kutosha. Sio unakuwa na hela ya mawazo halafu unakuja kulialia hapa. Unalia hivi je, kama angekuambia "Sweety naomba na take away Heineken za kopo 10 si ungezimia?ulitaka tukutanie wapi ambako hakuna pombe? kanisani au msikitini? si kila kichaka unachokiona unataka kujisaidia.