Siku ya kwanza mwanamke unaninywea pombe!

Siku ya kwanza mwanamke unaninywea pombe!

Aende bongo movies atawapa wengi tu !wanajifanya hawanywi hata wine wanajifanya ni watakatifu sana hata gesti hawajawahi ingia wanajifanya walikuwa virginated kwa bahati mbaya na kwa kulazimishwa wanajifanya wana muda mrefu hawajakutana na ile timu ya soka ya Zambia Libolo Fc!!!!! Loh ukizamisha tu brake p.u.m.b lakini anajifanya anaumia

maisha ya kuigiza nayapinga mpaka kaburini aiseee.... jitu kubwa linaona aibu si uongo huo
 
Khaaaa!Kaonyesha tabia yake mapema kosa lake ni lipi?

Unataka awe kama X wangu siku za kwanza alivyoniambia yy hatumii kitimoto kumbe bila ya nyama hiyo week yake huwa inaharibika?
 
ahahahahahah
na wewe hutaki mnywaji?
tatizo kuna viwango na kiasi. mnakutana basi walau anywe bila mbili laini au kama castle lite au tatu. sasa mtu siku ya kwanza anapiga safari fasta anachanganya na viroba vya konyagi kama sita au saba. hapo kweli pagumu kuendelea, alafu anapiga na fegi(sigara ) kama nusu pakti ndani ya kama masaa 2. hapo kweli moyo unasita kuendelea.
 
Kwenye monthly budget weka crate 10 za mama ,atakuwa anakunywa hm
 
Watu wengine mnapenda maisha ya kuigiziwa mtu kuonyesha maisha yake halisi kosa
 
Mi mtoko wa kwanza niliagiziwaa samaki na chipsii nikafutaa vyotee bila aibu halaf samaki mkubwaa kwelii lol mpaka leo hua ananitaniaaaa
 
Wanajamvi, wanawake kama hamtakubali kubadilika basi mtasubili saaaaana, sisemi ni kosa kunywa pombe ila nashangaa siku ya kwanza tu ya kutoka na mwanaume unajiachia kiasi hiki, unakunywa pombe tena za kutosha utadhani tunajuana miaka 50, jamani jamani, kwa taarifa yenu hata mwanaume mywa pombe anatamani awe na mwanamke asiyekunywa. Hata kama unahusudu pombe, siku za mwanzo za kusomana jizuie kijiexpose kiasi hicho, nimeamua kupiga chini.

hahaha inategemea mmekutana wapi pia maana kama mmekutana hapohapo katika pombe unategemea nini?
 
Wanajamvi, wanawake kama hamtakubali kubadilika basi mtasubili saaaaana, sisemi ni kosa kunywa pombe ila nashangaa siku ya kwanza tu ya kutoka na mwanaume unajiachia kiasi hiki, unakunywa pombe tena za kutosha utadhani tunajuana miaka 50, jamani jamani, kwa taarifa yenu hata mwanaume mywa pombe anatamani awe na mwanamke asiyekunywa. Hata kama unahusudu pombe, siku za mwanzo za kusomana jizuie kijiexpose kiasi hicho, nimeamua kupiga chini.
Na wewe huwa unaonyesha the true colour zako au unaficha ili baadaye utoe makucha!!! Ninapenda sana mtu ninayenzisha naye mahusiano awe tru or himself or herself. Namsifu sana bidada kwa kuwa wazi ili uamue. Tena kama una mpango naye kimaisha ni bora akuonyeshe mapema kabisa to avoid regrets!!! Bravo dada mnywa pombe!!!!
 
Wanajamvi, wanawake kama hamtakubali kubadilika basi mtasubili saaaaana, sisemi ni kosa kunywa pombe ila nashangaa siku ya kwanza tu ya kutoka na mwanaume unajiachia kiasi hiki, unakunywa pombe tena za kutosha utadhani tunajuana miaka 50, jamani jamani, kwa taarifa yenu hata mwanaume mywa pombe anatamani awe na mwanamke asiyekunywa. Hata kama unahusudu pombe, siku za mwanzo za kusomana jizuie kijiexpose kiasi hicho, nimeamua kupiga chini.

sidhani kama kafanya vibaya kuwa muwazi kwako,anasitahiri sifa
 
Nadhani walienda kutangaza injili ndio maana anamshangaa. Kaka JEKI, ukienda bar kazi ni moja tu, KUNYWA POMBE
Eti yeye anataka akupeleke outing bar halafu ukabugie maji ya uhai!!! Ukajaze tumbo na pH yake kwanza ni mbovu!!! Bar ni pombe kwa kwenda mbele!!! sasa akipata wale vicheche wanakuchuna halafu wanaenda chooni kupunguza kwa kukojoa au kutapita ili aje aanze moja atafanyaje!!! Ila mwanamke kama huyu kama ulimpatia Bar unategemea kitu gani.
 
Na wewe huwa unaonyesha the true colour zako au unaficha ili baadaye utoe makucha!!! Ninapenda sana mtu ninayenzisha naye mahusiano awe tru or himself or herself. Namsifu sana bidada kwa kuwa wazi ili uamue. Tena kama una mpango naye kimaisha ni bora akuonyeshe mapema kabisa to avoid regrets!!! Bravo dada mnywa pombe!!!!

kama unawapenda watu wa namna hiyo basi chukua huyu mkuu.
 
kama unawapenda watu wa namna hiyo basi chukua huyu mkuu.
Mkuu nimesema ninapenda mtu na true colour zake ili nipata kufanya maamuzi sahihi. Huyu wa kwako ni mlevi na katika mazingira yangu ya kumpata mke ulevi haukuhusika. Pia hana nafasi kwangu kwa kuwa wa aina yake hakutakiwa hata kidogo na angenionyesha tabia ya ulevi namwacha on the spot. Sasa wewe usilalamike kuwa umekutana na pipa la pombe, wewe shukuru umamfahamu alivyo ili uweze kufanya maamuzi sahihi.
 
tatizo kuna viwango na kiasi. mnakutana basi walau anywe bila mbili laini au kama castle lite au tatu. sasa mtu siku ya kwanza anapiga safari fasta anachanganya na viroba vya konyagi kama sita au saba. hapo kweli pagumu kuendelea, alafu anapiga na fegi(sigara ) kama nusu pakti ndani ya kama masaa 2. hapo kweli moyo unasita kuendelea.

dah umenifanya nicheke tu, hivi kuna wanawake wa dizaini hii kweli?
 
Back
Top Bottom