Siku ya kwanza mwanamke unaninywea pombe!

Siku ya kwanza mwanamke unaninywea pombe!

Wanajanvi, wanawake kama hamtakubali kubadilika basi mtasubili saaaaana, sisemi ni kosa kunywa pombe ila nashangaa siku ya kwanza tu ya kutoka na mwanaume unajiachia kiasi hiki, unakunywa pombe tena za kutosha utadhani tunajuana miaka 50, jamani jamani, kwa taarifa yenu hata mwanaume mywa pombe anatamani awe na mwanamke asiyekunywa. Hata kama unahusudu pombe, siku za mwanzo za kusomana jizuie kijiexpose kiasi hicho, nimeamua kupiga chini.
Nampenda huyo anajiachia from day one kwanini afiche makucha mwache akuonyeshe alivyo ili uchague
Kunyoa au kusuka mapemaaaaaa......!
kumbuka first impression last conclusion
 
hapo nampa big up bidada kwa kuwa muwazi anjificha ili iweje ? siku ya kwanza jua ulitongoza nini neno i love u lisininyime uhuru mie nakunywa mpaka unanibeba loh..... kuwa mnafki kwenye maisha ya sasa haina maana we only live once... its better to be you kuliko kuigiza ,,,, wenginee na sauti wanabana ili ionekane ndogo unatoa sauti mpaka ya mwisho ili ujue ulitongoza nini?

hahahaaaaaa uuuiwiiii miss chagga I rav yuu nimekupenda bureeeee
 
utapata tabu sana dada yangu.

nitakula mema ya inchi kwa sababu siigizi naishi nitakavyo mimi na si mwingine atakavyo elimradi tu nisivunje sheria ya eneo husika na kukwaza watu mkuu.... mpaka umri huu sijapata shida kabisa i hope sitakaa nipate shida
 
Nampenda huyo anajiachia from day one kwanini afiche makucha mwache akuonyeshe alivyo ili uchague
Kunyoa au kusuka mapemaaaaaa......!
kumbuka first impression last conclusion
anataka wa kuigiza akishaingia ndani akibadilika oooh mke wangu mlevi oa ukijua ni mlevi utamuhandla vipi... hongera kwa kuwa na productive idea
 
nitakula mema ya inchi kwa sababu siigizi naishi nitakavyo mimi na si mwingine atakavyo elimradi tu nisivunje sheria ya eneo husika na kukwaza watu mkuu.... mpaka umri huu sijapata shida kabisa i hope sitakaa nipate shida

Wewe mchagga na yeye msukuma lazima mkubaliane kutofautiana tu
 
Sasa ulitaka akuviche baada ya miezi mitano ulalamike mpenzi kabadilika sasa hivi anashinda baa?
 
..a drunkard is a big NO to me!!!
ndo wale wanawanywesha watoto wao pombe hao...
 
Tatizo unafki umetutawala mtu akiwa muwazi shiiiiiida so angejipretend ndio ungeona mwanamke.wa maana!!!!!!!!
 
anataka wa kuigiza akishaingia ndani akibadilika oooh mke wangu mlevi oa ukijua ni mlevi utamuhandla vipi... hongera kwa kuwa na productive idea

Aende bongo movies atawapa wengi tu !wanajifanya hawanywi hata wine wanajifanya ni watakatifu sana hata gesti hawajawahi ingia wanajifanya walikuwa virginated kwa bahati mbaya na kwa kulazimishwa wanajifanya wana muda mrefu hawajakutana na ile timu ya soka ya Zambia Libolo Fc!!!!! Loh ukizamisha tu brake p.u.m.b lakini anajifanya anaumia
 
mlikubalinaje kwenye mkataba wenu.. kama mmekutana kwenye mazingira ya konyagi, ulitaka aagize fanta?

by the way, bora mneelezana ukweli kabla kama hupendi nini na unapenda nini.. the na yeye akwambia DO'S na DONT'S zake.. nadhani mngeshindana mapema kabisa....!!!

sometimes huwa nachukiwa sababu ya kuwa mkweli..
 
Back
Top Bottom