mwenzio kaamua kuwa muwazi we unampiga chini?
ukute hapo ndo mwenzio alijitahidi kutojiexpose.
Tatizo ulimpeleka chura kwenye maji alikozoea ulitegemea nini?
.......Vile hupendi mnywa pombe njoo kwa Yesu Kristo wa Nazarethi wako kibao utawapata wasio kunywa wameokoka.
....."Nanyi mtaifahamu kweli na hiyo kweli itawaweka huru."
basi kavuna alichopanda, nimempiga chini.
Hii haina tofauti na mwanamke anayekutongoza mwanaume..Ndiyo! Mwanamke naye anapenda, ila akisha kutongoza inaonesha yupo Cheap sana(Maharage ya Mbeya)....... Mwanamke shurti aringe kidogo bana siyo kujiachia....Kuwa mgumu kidogo hata wiki mbili hivi sio unakubali tuu.....
tatizo kuna viwango na kiasi. mnakutana basi walau anywe bila mbili laini au kama castle lite au tatu. sasa mtu siku ya kwanza anapiga safari fasta anachanganya na viroba vya konyagi kama sita au saba. hapo kweli pagumu kuendelea, alafu anapiga na fegi(sigara ) kama nusu pakti ndani ya kama masaa 2. hapo kweli moyo unasita kuendelea.
nagopandekaga nyuka wane.
hapo nampa big up bidada kwa kuwa muwazi anjificha ili iweje ? siku ya kwanza jua ulitongoza nini neno i love u lisininyime uhuru mie nakunywa mpaka unanibeba loh..... kuwa mnafki kwenye maisha ya sasa haina maana we only live once... its better to be you kuliko kuigiza ,,,, wenginee na sauti wanabana ili ionekane ndogo unatoa sauti mpaka ya mwisho ili ujue ulitongoza nini?
wabeja gete nkoi, nashoke doho gokaya nagatole, neho likima lya mashima gete, aamujini makoye gete gete, manhwi awalwa doho.