Huu ni aina ya ulevi mpya? Ndio nausikia na kuona leo.
Kinachovutwa ni tumbaku au bhange?
Mkuu unaweza kutupa ka experience kako kwa hao wanawake walevi na wasio walevi,kwa mtazamo wangu mie mwanamke anaekunywa kidogo haboi kama usemavyo labda kama wewe una kitambi.:nod:tuwe wakweli mwanamke MNYWA POMBE no matter ni mlevi au sio mlevi ANABOA
Men! You can't live with them BUT you can't live without them. Anaeficha true colors ataitwa mnafiki na kuwa alidanganya cause alitaka ndoa - na huyu atapigwa chini vile vile. Anayeonyesha true colors...naye anapigwa chini vile vile tena shurti kwa kutoa ushuhuda JF!!:thinking:angekuonyesha huko mbeleni si ungesema amekubadilikia?
mwenzio kaamua kuwa muwazi we unampiga chini?
. Lol! Mbavu zangu mie! Binti anataka Club 07 Vodka Lemon wakati pale mtaani kwa Mangi hata Heineken kuipata ni issuehehehe, sikufikiria hiyo. afu ukute kadada kenyewe kanakula savannah au zile pombe zao za kuona kwnye tv! hukawii kuomba poo
Men! You can't live with them BUT you can't live without them. Anaeficha true colors ataitwa mnafiki na kuwa alidanganya cause alitaka ndoa - na huyu atapigwa chini vile vile. Anayeonyesha true colors...naye anapigwa chini vile vile tena shurti kwa kutoa ushuhuda JF!!:thinking:
Nilivyoelewa hakutakiwa kunywa nyingi kama alizokunywa maana pombe inakishawishi kikubwa sana hasa inapozidi kipimo
Sent from my iPhone using JamiiForums
kwa hiyo alitakiwa afiche makucha kwa kuwa ni mtoko wa kwanza?..huyu hata kama angeficha,halafu baadae akajionyesha,inaelekea angempiga chini tu..muhimu wawe wanawauliza,unatumia kilevi,akisema YES unabadili mawazo faster
Sina maana hiyo nazungumzia mkilewa ni rahisi sana kufanya mambo mabaya kuliko mkiwa timamu
Sent from my iPhone using JamiiForums
ahaaa..
hivi bdo hujaoa wewe mtoto six? Joe Nyandigira
Acha tu aisee! Mwanamke kuwa mlevi mbwa hata haipendezi, haina mvuto kabisa.
Halafu awe mlevi na mvutaji. Yuuuck. Nasty nasty nasty!
afu ukute we mwanaume hunywi....
sisi wanaume level za uvumilivu ni ndogo hasa kwenye mambo kama hayo... imagine mkeo kalewa chakari anarudi home watoto sijui wanamuangaliaje
Ndo maana ni vyema, kama wewe mwanaume si mlevi mbwa, basi usijihusishe kabisa kindoa na mwanamke mlevi. Hao ni wa kumega tu, basi.