Siku ya kwanza mwanamke unaninywea pombe!

Siku ya kwanza mwanamke unaninywea pombe!

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,967
Wanajamvi, wanawake kama hamtakubali kubadilika basi mtasubili saaaaana, sisemi ni kosa kunywa pombe ila nashangaa siku ya kwanza tu ya kutoka na mwanaume unajiachia kiasi hiki, unakunywa pombe tena za kutosha utadhani tunajuana miaka 50, jamani jamani, kwa taarifa yenu hata mwanaume mywa pombe anatamani awe na mwanamke asiyekunywa. Hata kama unahusudu pombe, siku za mwanzo za kusomana jizuie kijiexpose kiasi hicho, nimeamua kupiga chini.
 
Ulitaka akufiche aje aanze kulewa ukimuoa??

hapana, ajizuie kwanza tufahamiane, siku ya kwanza tu kama tulijuana miaka 500 ilopita, si kwamba hela ya bia ya kumnunulia sina, la hasha!
 
Kunywa pombe ni kosa? Kwa taarifa yako huyo binti si mnafiki na ndiyo mke material.
 
Big up kwa huyo mwanamke na kwa wanaume wote waio mapretenda! What you see is what you get!
 
Big up kwa huyo mwanamke na kwa wanaume wote waio mapretenda! What you see is what you get!

wewe hunaga siri? kila kitu unakimwaga hadharani kisa usiwe pretenda? nadhani vingine unajizuia kidogo.
 
hapana, ajizuie kwanza tufahamiane, siku ya kwanza tu kama tulijuana miaka 500 ilopita, si kwamba hela ya bia ya kumnunulia sina, la hasha!

C ndo mmeanza fahamiana la kwanza umejua anakunywa au?? Wataks kufahamiana vp? Alitaka kukusaidia uwah kumjua
 
ulitaka tukutanie wapi ambako hakuna pombe? kanisani au msikitini? si kila kichaka unachokiona unataka kujisaidia.

tatizo la kukariri ndio hilo

lazima mwende wanapouza pombe ndio ujue umetoka

mbna sisi tusiokunywa tunapeleka candle light dinner wapenzi wetu na sehem ziko kibao

au unaishi wapi huko hadi restauraunt, wanauza pombe
 
tatizo la kukariri ndio hilo

lazima mwende wanapouza pombe ndio ujue umetoka

mbna sisi tusiokunywa tunapeleka candle light dinner wapenzi wetu na sehem ziko kibao

au unaishi wapi huko hadi restauraunt, wanauza pombe

Nimekupata mkuu, ila nadhani imenisaidia nimemjua mapema.
 
tuwe wakweli mwanamke MNYWA POMBE no matter ni mlevi au sio mlevi ANABOA
 
Back
Top Bottom