finnest
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 834
- 1,240
Khaaaa nilishindwaaa kabisa ...
Tulikuwa na mikwaruzano na beb nilikuwa naona anapunguza mahaba(care) kumwambia anadai ubusy +uchovu wa kazi !!!
Nakumbuka siku hiyo nilipanga kabisa kujiongeza maana inawezekana mwenzangu ndo ananipotezea hivyo ,Tupo sehemu nakunywa na huyo kaka mara Beb akaanza kupiga simu nikapunguza sauti kapiga wee roho ikaanza kuniuma nahisi kama yupo pemben ananiangalia mara text ikaingia amendika maneno mazuri [emoji85][emoji85]roho iliniuma saana huku nahic utumbo unavurugika.... ikabidi niage naenda chooni nikabeba pochi yangu nikaondoka zangu ,huyo kaka nikamblock tu maana sikutaka aanze kunilaumu kwanin nmemkimbia ...
Tulikuwa na mikwaruzano na beb nilikuwa naona anapunguza mahaba(care) kumwambia anadai ubusy +uchovu wa kazi !!!
Nakumbuka siku hiyo nilipanga kabisa kujiongeza maana inawezekana mwenzangu ndo ananipotezea hivyo ,Tupo sehemu nakunywa na huyo kaka mara Beb akaanza kupiga simu nikapunguza sauti kapiga wee roho ikaanza kuniuma nahisi kama yupo pemben ananiangalia mara text ikaingia amendika maneno mazuri [emoji85][emoji85]roho iliniuma saana huku nahic utumbo unavurugika.... ikabidi niage naenda chooni nikabeba pochi yangu nikaondoka zangu ,huyo kaka nikamblock tu maana sikutaka aanze kunilaumu kwanin nmemkimbia ...