Siku ya kwanza kuchepuka nililia machozi

Siku ya kwanza kuchepuka nililia machozi

Ulishaliwa tayari xo kulia ni uchuro tu, haina maana!
 
Hope now utakuwa ushazoea na umeacha hiyo tabia ya kulia, wanawake wengi wa siku hizi hawana uhaminifu, i dont trust them
 
Etii??....sijajua...wapo wazoefu hata hawajali...nahisi sina hakika...mke wangua alinisaliti hata hajali kanenepa kama mbuyu...anakula bata mlima siti na mme wake mpyaaaa....
Hahaha ulimfanya nini mkuu hadi akakusaliti
 
duuh! me sjawai nlienae ndo the first uyo uyo, nikifkikiaga mfano tukiachana naanzaje kuanza kufanya na mwingine nakosa jibu, naisi ka kaumbiwa yeye tu. asa ka yeye anacheat uko mi cjui
Mkuu sahz huwezi jua kama utaweza au laah ila ikifika wakati wake ndo utajionea
 
Aisee there is no excuse in cheating...

Ukalia..ukaondoka...naela ukamrushia ...Wanawake bana akili zenu...so hapo ukaona umemkomoa...Umeshaliwa....naumeliwa bure...km ni mimba angekupa...hufikiri tena kuhusu ukimwi.........

Alafu unasema "ulilia sababu unampenda?"...yaleyale.
 
Etii??....sijajua...wapo wazoefu hata hawajali...nahisi sina hakika...mke wangua alinisaliti hata hajali kanenepa kama mbuyu...anakula bata mlima siti na mme wake mpyaaaa....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Lakini utamu wa njemba ulikuwaje? Uwe mkweli.

Habari wanajamvi

Hiki kisa kimewahi kunikuta kwenye maisha yangu,siku ya kwanza nachepuka nililia machozi.

Ilikuwa hivi,kipindi hicho nilikuwa kwenye mahusiano na kaka mmoja niliyekuwa nimempenda sana,lakin kuna kaka mwingine alinilaghai kwa maneno na vipesa nikajikuta nimemkubalia
Siku naenda na huyu mpenzi mpya faragha tukiwa sita kwa sita,baada ya round ya kwanza kumalizika,SMS ilingia kwenye sim yangu,kuangalia alikuwa mpenzi wangu "baby wangu uko wapi"

Ghafla nilishikwa na kitu Fulani kilichoniingia mwilini,nikahisi kutomtendea haki mpenzi wangu,nikaanza kububujikwa na machozi,jamaa akawa ananiuliza kulikoni,nikamwambia naumwa,ila hakuona wakati nasoma ile SMS alikuwa bafuni
Nililia nikaamka nikavaa nguo,nikachukua mkoba wangu na kuondoka,hela alizokuwa amenipa nikamrushia.Tangia siku hiyo sikurudiana na huyo mkaka,SMS zake sikumjibu,wala kupokea sim yake

Je wewe imewahi kukuta hali hiyo?
 
Mwanzo mgumu, ila ungendelea ungezoea tu ungejionea kawaida tu. Ha ha haaa
 
Back
Top Bottom