Siku ya kwanza kuchepuka nililia machozi

Siku ya kwanza kuchepuka nililia machozi

Mimi kuna siku nipo na mwanamke halafu mama watoto akanipigia ananiambia anahisi kitu kibaya kinatokea,nilipanga kupiga bao 2 lkn nikapiga moja nikarudi home shingo upande.

Wanawake wakiwa na mimba huwa wana machale sana
Mtoto aliruka ruka kuashiria ubaya
 
Mimi hata nikiachana na mwanaume ninaelala nae baada yake lazima nilie. Tena na kwikwi juu. Siku hizi nimekua naona ufala kulia wakati mtu mkiachana anaenda kwa madem zake wengine.
kweli my
 
Back
Top Bottom