Umenikumbusha mbali sana..maumivu makubw niliyowahi kupata katika mahusiano yalisababishwa na mtu ambaye mimi nilimchukulia kama rafiki yangu kutoka moyoni na siku niliogundua yeye ameacha kunichukulia kama mtu wake wa karibu basi nilijisemeaga sitakuwa na rafiki wa krb...hadi leo sina mtu wa karibu ingawa nina kampani kubwaMimi hakuwa mpenzi ila alikuwa best friend. Sikujua kuwa tulikuwa na competition kati yetu. Kila nilichomfanyia alinichukulia for granted. Siku nilipoacha kupokea simu zake na kujibu text zake aliwatafuta mpaka ndugu zangu waongee na mimi. Niliamua basi
Pamoja mkuuMkuu islets nimeamua kukupa ka.like...maana umenena vyema....heshima kwako....
Mbona umefurahi mkuu
Duh pole sana mamii, hakuwa wa kwako huyo! Ila jifunze kupenda tena ili uinjoy mapenz mengine yajayo yatafurahisha!Sikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
asante dear. nataka kupenda bado ila moyo haujapata PERFECT MATCH badoDuh pole sana mamii, hakuwa wa kwako huyo! Ila jifunze kupenda tena ili uinjoy mapenz mengine yajayo yatafurahisha!
You talk a good game, ipo siku isio na jina wala saa nitakutafta in person tuzungumze kirefu!asante dear. nataka kupenda bado ila moyo haujapata PERFECT MATCH bado
Duuh, pole sana mkuu!! I hope now usharudi katika hali yako ya kawaida!!Sikumbuki kuambiwa tuachane ila aliacha kupokea simu bila sababu. Nilivyokuaa nampenda yule kaka Nilijua maisha yamefika Mwisho. Nililia nikalia na nikalia tena.
Akaondoka na mapenzi yangu. Mpaka sasa ni miaka mitatu sijawahi kupenda tena
Okay dearYou talk a good game, ipo siku isio na jina wala saa nitakutafta in person tuzungumze kirefu!
Nimesharudi mkuu. Sasa hivi niko freeDuuh, pole sana mkuu!! I hope now usharudi katika hali yako ya kawaida!!
Madame unamanisha best friend alikuwa ana compete na wewe kwa mwanaume? Vipi huku msamehe?Mimi hakuwa mpenzi ila alikuwa best friend. Sikujua kuwa tulikuwa na competition kati yetu. Kila nilichomfanyia alinichukulia for granted. Siku nilipoacha kupokea simu zake na kujibu text zake aliwatafuta mpaka ndugu zangu waongee na mimi. Niliamua basi
Ki maisha tuMadame unamanisha best friend alikuwa ana compete na wewe kwa mwanaume? Vipi huku msamehe?
Oooh, sawa sawa!!! Amani iwe naweKi maisha tu
Duuh, pole sana! Ujumbe huo alituma muhusika au? Vipi kifo chake kilitokea mkiwa mpo katika mahusiano ?Nilipokea ujumbe "F is no more". Kwanza nilihisi ujumbe umeandikwa kichina maana nilikuawa nasoma ila sielewi, nilishindwa kulia nikabaki nimezubaa tu. Nilijua anaumwa ila nilitegemea angepona hivyo kifo chake kiliniuma hadi kwenye mifupa. Hivyo ndivyo nilivyoachwa na mwanaume pekee nilowahi kumpenda sanaaaaaa.
Kuanzia hapo sijawahi kupenda tena hivyo ukiniacha unajisumbua tu na sijui kama nimewahi kuachwa au naacha hata suelewi.
Hongeraa!! Kikubwa samehee, Shukuru Mungu kwa yote na zaidi usipende kumuumiza MTU kwa kuwa ulipitia njia hiyo!!! God is good!!Nimesharudi mkuu. Sasa hivi niko free
Asante mkuu. Siwezi kabisa kumfanya mwingine apitie nilichopitiaHongeraa!! Kikubwa samehee, Shukuru Mungu kwa yote na zaidi usipende kumuumiza MTU kwa kuwa ulipitia njia hiyo!!! God is good!!